Collegue at work out of control

PRECIOUSDOE

Senior Member
Feb 3, 2009
114
12
Nahitaji mawazo how to deal with a male collegue Ive been working with for 5 years.He is married with 2 kids.Wa mwisho anamiezi michache yule mwingine ananza skuli.Bibi ni housewife.Huyu mwenzangu tumekaa kwenye desk moja throughout.Tuliingia job na yeye.

Shida imeanza ambapo alianza kusoma masters.Malipo yakawa yanamzidia.Akawa yuko broke throughout.Tena akapewa kazi stressful.Akawa nikama anarukwa na akili.Anajiongelesha,anapata migraine,analia na ana nose bleed.Mimi na wenzangu tuliyo kuwa karibu naye tuka approach boss wake amepatia kazi light.Akakubali.Tena tukamwelekeza kwa company counselor akaanza counselling.Akawa anaimprove.

Lakini juzi alipokwenda kujisaidia akapakaa sabuni ili anawe mikono akapata maji yameisha kwa sink akaflush choo na kunawa pale ndani ya ile toilet bowl.Waliyoyashuhudia haya wakaanza kumshuku ama kweli kichwa kinamruka ama vipi.

For me Im tired manake amenigeuza kuwa mama yake tena ananiambia mambo ya aibu ambayo hayafai hata kidogo.Ati niwachane na urafiki na wanaume wa department zingine kwa sababu haja yao nikunimega.Na kwanini niendee nje ilhali yeye yupo kwa sababu yangu.Ofisini huwa anamwambia kila mtu shida yake.Mimi nimechoka na vituko vyake na ninataka kuhama lakini wenzangu wanasema hakuna mwengine anayeweza kumvulia jinsi ambayo nimevumilia.

Pls advice what to do because tumejaribu kabisa hapa ofisini kusaidia huyu bwana lakini inaonekana hatuja fanikiwa.Mambo yanaendelea kuzorota na bado anaimba wimbo wa vile ako na stress kibao.
 
Uko nchi gani? Una Employee Handbook, kama unayo inatoa guidance gani? Ushaongea na watu wa HR kuhusu hili?
 
Huyo mtu pamoja na kusoma kwake si mstaarabu na huenda kweli ana shida kidogo kichwani.

Lakini kama ulivyosema, hayo matatizo aliyonayo kwa kiasi kikuwa yanaweza kuchangia sana msongo kichwani na hatimaye kupagawa akili.

Vipi bosi wenu hawezi kumsaidia kidogo kusolve baadhi ya matatizo ya nayohusu cash ili angalau apate relief?

Lakini pia, msongo mwingine wa mawazo unakuja kwaajili yako weye dada unaekaa naye desk moja, huoni kwamba anakuhitaji kimapenzi, hali ambayo inamfanya achanganyikiwe juu yako?

Kweli huyu mtu ana multiple problems...! Councellors please do the needful!
 
Uko nchi gani? Una Employee Handbook, kama unayo inatoa guidance gani? Ushaongea na watu wa HR kuhusu hili?
Mkuu ukisoma kiswahili chake hicho ni Mkenya tu si unajua tena kiswahili cha Nairobeee!
 
Naona huyu anahitaji zaidi counceling than any other thing. yawezekana hata home maza house anampeleka spidi mbaya na ukichangia ukata lazima achizike.
 
Nahitaji mawazo how to deal with a male collegue Ive been working with for 5 years.He is married with 2 kids.Wa mwisho anamiezi michache yule mwingine ananza skuli.Bibi ni housewife.Huyu mwenzangu tumekaa kwenye desk moja throughout.Tuliingia job na yeye.

Shida imeanza ambapo alianza kusoma masters.Malipo yakawa yanamzidia.Akawa yuko broke throughout.Tena akapewa kazi stressful.Akawa nikama anarukwa na akili.Anajiongelesha,anapata migraine,analia na ana nose bleed.Mimi na wenzangu tuliyo kuwa karibu naye tuka approach boss wake amepatia kazi light.Akakubali.Tena tukamwelekeza kwa company counselor akaanza counselling.Akawa anaimprove.

Lakini juzi alipokwenda kujisaidia akapakaa sabuni ili anawe mikono akapata maji yameisha kwa sink akaflush choo na kunawa pale ndani ya ile toilet bowl.Waliyoyashuhudia haya wakaanza kumshuku ama kweli kichwa kinamruka ama vipi.

For me Im tired manake amenigeuza kuwa mama yake tena ananiambia mambo ya aibu ambayo hayafai hata kidogo.Ati niwachane na urafiki na wanaume wa department zingine kwa sababu haja yao nikunimega.Na kwanini niendee nje ilhali yeye yupo kwa sababu yangu.Ofisini huwa anamwambia kila mtu shida yake.Mimi nimechoka na vituko vyake na ninataka kuhama lakini wenzangu wanasema hakuna mwengine anayeweza kumvulia jinsi ambayo nimevumilia.

Pls advice what to do because tumejaribu kabisa hapa ofisini kusaidia huyu bwana lakini inaonekana hatuja fanikiwa.Mambo yanaendelea kuzorota na bado anaimba wimbo wa vile ako na stress kibao.

a)nadhani tatizo lako ni kwamba unamuendekeza (unampa attention) hivyo anachukua advantage through your weakness , jaribu kumuonesha how serious are you wakati anapoleta maongezi ambayo sio ya kikazi.
b)mripoti kwa uongozi wa hapo kazini kwenu na tumia neno hili "anakunyanyasa kisaikolojia" na kama unavyoongea ni kweli kwamba wengi wamemjua hapo kazini basi ni kwamba utakuwa na ushahidi wa kutosha wa malalamiko yako. (usiache kazi wala usihame, huko ni kujidhalilisha)

quiet
 
Nahitaji mawazo how to deal with a male collegue Ive been working with for 5 years.He is married with 2 kids.Wa mwisho anamiezi michache yule mwingine ananza skuli.Bibi ni housewife.Huyu mwenzangu tumekaa kwenye desk moja throughout.Tuliingia job na yeye.

Shida imeanza ambapo alianza kusoma masters.Malipo yakawa yanamzidia.Akawa yuko broke throughout.Tena akapewa kazi stressful.Akawa nikama anarukwa na akili.Anajiongelesha,anapata migraine,analia na ana nose bleed.Mimi na wenzangu tuliyo kuwa karibu naye tuka approach boss wake amepatia kazi light.Akakubali.Tena tukamwelekeza kwa company counselor akaanza counselling.Akawa anaimprove.

Lakini juzi alipokwenda kujisaidia akapakaa sabuni ili anawe mikono akapata maji yameisha kwa sink akaflush choo na kunawa pale ndani ya ile toilet bowl.Waliyoyashuhudia haya wakaanza kumshuku ama kweli kichwa kinamruka ama vipi.

For me Im tired manake amenigeuza kuwa mama yake tena ananiambia mambo ya aibu ambayo hayafai hata kidogo.Ati niwachane na urafiki na wanaume wa department zingine kwa sababu haja yao nikunimega.Na kwanini niendee nje ilhali yeye yupo kwa sababu yangu.Ofisini huwa anamwambia kila mtu shida yake.Mimi nimechoka na vituko vyake na ninataka kuhama lakini wenzangu wanasema hakuna mwengine anayeweza kumvulia jinsi ambayo nimevumilia.

Pls advice what to do because tumejaribu kabisa hapa ofisini kusaidia huyu bwana lakini inaonekana hatuja fanikiwa.Mambo yanaendelea kuzorota na bado anaimba wimbo wa vile ako na stress kibao.

a)nadhani tatizo lako ni kwamba unamuendekeza (unampa attention) hivyo anachukua advantage through your weakness , jaribu kumuonesha how serious are you wakati anapoleta maongezi ambayo sio ya kikazi.
b)mripoti kwa uongozi wa hapo kazini kwenu na tumia neno hili "anakunyanyasa kisaikolojia" na kama unavyoongea ni kweli, kwamba wengi wamemjua maudhi yake hapo kazini basi ni kwamba utakuwa na ushahidi wa kutosha wa malalamiko yako. (usiache kazi wala usihame, huko ni kujidhalilisha)

quiet
 
Naona huyu anahitaji zaidi counceling than any other thing. yawezekana hata home maza house anampeleka spidi mbaya na ukichangia ukata lazima achizike.

Bibi yake ako supportive kabisa.Siku moja alipokuwa anaumwa kichwa baada ya kutuimbia wimbo wa jinsi anvyo umwa,akatwambia hatuna sympathy za kutosha ati wacha apigie bibi.Alipompigia akamwambia amezidiwa na headache.
Huyu bwana ni kama mtoto mdogo.Bibi atamshughulikia yeye ama mtoto mchanga aliyemzaa juzi?
 
a)nadhani tatizo lako ni kwamba unamuendekeza (unampa attention) hivyo anachukua advantage through your weakness , jaribu kumuonesha how serious are you wakati anapoleta maongezi ambayo sio ya kikazi.
b)mripoti kwa uongozi wa hapo kazini kwenu na tumia neno hili "anakunyanyasa kisaikolojia" na kama unavyoongea ni kweli, kwamba wengi wamemjua maudhi yake hapo kazini basi ni kwamba utakuwa na ushahidi wa kutosha wa malalamiko yako. (usiache kazi wala usihame, huko ni kujidhalilisha)

quiet

Ok! Kweli nimempa attention lakini nikwasababu nilihisi anataka kujinyonga after alianza kuumwa sana tena akasema life yake haina hata meaning.Usiku huwa anashindwa kulala anamwamsha bibi amuombe,that is what he tells us.

Ofisini watu wengine wanamcheka na wengine anampity.Hata siwezi kumstaki kwasababu huenda akarukwa na akili kwa sababu mimi ndiye rafiki wake wa karibu pale ofisini.Hata nimeshindwa kuhama kwa sababu anaweza hata lia nikimwacha.Yaani ni kama mtoto kabisa.Kumbe utu uzima sio umri ama hata life experience.Yuko unstable so sote tunam handle with kid gloves mpaka mabosses!
 
Poleni sana,
Nadhani mpelekeni clinic ya akili akaangaliwe vizuri. Tatizo lake linaweza kwisha kwa ushauri wa madaktari.
 
Ok! Kweli nimempa attention lakini nikwasababu nilihisi anataka kujinyonga after alianza kuumwa sana tena akasema life yake haina hata meaning.Usiku huwa anashindwa kulala anamwamsha bibi amuombe,that is what he tells us.

Ofisini watu wengine wanamcheka na wengine anampity.Hata siwezi kumstaki kwasababu huenda akarukwa na akili kwa sababu mimi ndiye rafiki wake wa karibu pale ofisini.Hata nimeshindwa kuhama kwa sababu anaweza hata lia nikimwacha.Yaani ni kama mtoto kabisa.Kumbe utu uzima sio umri ama hata life experience.Yuko unstable so sote tunam handle with kid gloves mpaka mabosses!

kwanza poleni sana

a)naomba jibu la suali hili:-

kwa ulivyomuangalia , je matatizo yake ni ya akili kweli au ni acting ili atimize haja zake kwako? (wanaume wana ujanja mwingi wanapomtaka mwanamke)

nauliza suali hili kwa sababu kama ofisi nzima imegundua kwamba huyu kijana hayupo normal sasa ni kwanini mpaka leo anaendelea kuwepo hapo ofisini? kwanini wasimpeleke sehemu husika za kuangaliwa akili zake?

b) zingatia hili: kuna baadhi ya matatizo hayahitaji huruma katika kuyakimbia au kuyatatua , tahadhari sana usije ukawa victim of the situation kutokana na huruma zako kwa huyo kijana.

c) ushauri wenye nguvu: mshaurini akaonane na daktari


 
je bado anaendelea na masomo? kama ndio
mshauri aahirishe kitabu.

i
 
Back
Top Bottom