PRECIOUSDOE
Senior Member
- Feb 3, 2009
- 114
- 12
Nahitaji mawazo how to deal with a male collegue Ive been working with for 5 years.He is married with 2 kids.Wa mwisho anamiezi michache yule mwingine ananza skuli.Bibi ni housewife.Huyu mwenzangu tumekaa kwenye desk moja throughout.Tuliingia job na yeye.
Shida imeanza ambapo alianza kusoma masters.Malipo yakawa yanamzidia.Akawa yuko broke throughout.Tena akapewa kazi stressful.Akawa nikama anarukwa na akili.Anajiongelesha,anapata migraine,analia na ana nose bleed.Mimi na wenzangu tuliyo kuwa karibu naye tuka approach boss wake amepatia kazi light.Akakubali.Tena tukamwelekeza kwa company counselor akaanza counselling.Akawa anaimprove.
Lakini juzi alipokwenda kujisaidia akapakaa sabuni ili anawe mikono akapata maji yameisha kwa sink akaflush choo na kunawa pale ndani ya ile toilet bowl.Waliyoyashuhudia haya wakaanza kumshuku ama kweli kichwa kinamruka ama vipi.
For me Im tired manake amenigeuza kuwa mama yake tena ananiambia mambo ya aibu ambayo hayafai hata kidogo.Ati niwachane na urafiki na wanaume wa department zingine kwa sababu haja yao nikunimega.Na kwanini niendee nje ilhali yeye yupo kwa sababu yangu.Ofisini huwa anamwambia kila mtu shida yake.Mimi nimechoka na vituko vyake na ninataka kuhama lakini wenzangu wanasema hakuna mwengine anayeweza kumvulia jinsi ambayo nimevumilia.
Pls advice what to do because tumejaribu kabisa hapa ofisini kusaidia huyu bwana lakini inaonekana hatuja fanikiwa.Mambo yanaendelea kuzorota na bado anaimba wimbo wa vile ako na stress kibao.
Shida imeanza ambapo alianza kusoma masters.Malipo yakawa yanamzidia.Akawa yuko broke throughout.Tena akapewa kazi stressful.Akawa nikama anarukwa na akili.Anajiongelesha,anapata migraine,analia na ana nose bleed.Mimi na wenzangu tuliyo kuwa karibu naye tuka approach boss wake amepatia kazi light.Akakubali.Tena tukamwelekeza kwa company counselor akaanza counselling.Akawa anaimprove.
Lakini juzi alipokwenda kujisaidia akapakaa sabuni ili anawe mikono akapata maji yameisha kwa sink akaflush choo na kunawa pale ndani ya ile toilet bowl.Waliyoyashuhudia haya wakaanza kumshuku ama kweli kichwa kinamruka ama vipi.
For me Im tired manake amenigeuza kuwa mama yake tena ananiambia mambo ya aibu ambayo hayafai hata kidogo.Ati niwachane na urafiki na wanaume wa department zingine kwa sababu haja yao nikunimega.Na kwanini niendee nje ilhali yeye yupo kwa sababu yangu.Ofisini huwa anamwambia kila mtu shida yake.Mimi nimechoka na vituko vyake na ninataka kuhama lakini wenzangu wanasema hakuna mwengine anayeweza kumvulia jinsi ambayo nimevumilia.
Pls advice what to do because tumejaribu kabisa hapa ofisini kusaidia huyu bwana lakini inaonekana hatuja fanikiwa.Mambo yanaendelea kuzorota na bado anaimba wimbo wa vile ako na stress kibao.