Ni utamaduni kuwa mwanaume atongeze mwanamke na mwanamke akitongoza kwa mwanaume anajishushia heshima.
anauliza hivi kwanini wamejitosa kwenye magazeti ama mitandao kutafuta wachumba??
Fikiria , wanaume wana nafasi nzuri zaidi kutongoza mwanamke amtakaye.
unajua vera hii kitu mm iwa inaumiza kichwa sana unajua kutongoza ni sanaa kuna watu wataalamu sana wa kumlisha mwanamke maneno matamu na mwanamke akalainika mm binafsi siwezi nashindwa kabisa kutongoza mm nikitamka nampenda kwa mwanamke alafu akanitosa sinaga muda tena wakubembelezea...
Unajua Vera hii kitu mm iwa inaumiza kichwa sana unajua kutongoza ni sanaa kuna watu wataalamu sana wa kumlisha mwanamke maneno matamu na mwanamke akalainika mm binafsi siwezi nashindwa kabisa kutongoza mm nikitamka nampenda kwa mwanamke alafu akanitosa sinaga muda tena wakubembelezea...
Kwa maana hiyo wanawake wanakufaga na tai shingoni? Kwanini wasiwe wazi na hii inawezekana ndi sababu ya kuolewa na watu ambao sio machaguo yao kwa sababu kuogopa kujishushia hadhiNi utamaduni kuwa mwanaume atongeze mwanamke na mwanamke akitongoza kwa mwanaume anajishushia heshima.
wanaogopa kuapproach live
kuna mmoja hapa atakuja kujibu ni sababu gani zimemfanya aingie kwenye mtandao kutafuta mwenza
Unajua Vera hii kitu mm iwa inaumiza kichwa sana unajua kutongoza ni sanaa kuna watu wataalamu sana wa kumlisha mwanamke maneno matamu na mwanamke akalainika mm binafsi siwezi nashindwa kabisa kutongoza mm nikitamka nampenda kwa mwanamke alafu akanitosa sinaga muda tena wakubembelezea...