Pretty
JF-Expert Member
- Mar 19, 2009
- 2,575
- 552
-----Ni mdada unatarajia kufunga pingu za maisha hivi karibuni. Wakati mpo kwenye maandalizi ya harusi mnaanza kutambulishana kwa ndugu.
Kumbe huko nyuma kabla ya kukutana na huyu mume mtarajiwa, mdogo wake alishawahi kukutongoza na ukamkatalia, na kipindi hicho wala hukujua kama hawa watu ni ndugu.
Sasa mdogo mtu kashafahamu kwamba kaka yake anaenda kuoa msichana ambaye aliyemtolea nje .
Tatizo linakuja hapa, mdogo mtu roho inamuuma kwa nini yeye alikataliwa halafu kaka yake amekubaliwa. Huyu mdogo mtu anamfanyia visa shemeji yake mtarajiwa, kaka mtu anashindwa kuelewa kwa nini mdogo wake ana bifu na shem wake?
Je huyu msichana amwambie ukweli mumewe mtarajiwa kwamba mdogo wako aliwahi kumtongoza na akamkatalia ndio maana ana bifu naye? Kama ungekuwa wewe ungefanyaje kwenye situation like this?
Kumbe huko nyuma kabla ya kukutana na huyu mume mtarajiwa, mdogo wake alishawahi kukutongoza na ukamkatalia, na kipindi hicho wala hukujua kama hawa watu ni ndugu.
Sasa mdogo mtu kashafahamu kwamba kaka yake anaenda kuoa msichana ambaye aliyemtolea nje .
Tatizo linakuja hapa, mdogo mtu roho inamuuma kwa nini yeye alikataliwa halafu kaka yake amekubaliwa. Huyu mdogo mtu anamfanyia visa shemeji yake mtarajiwa, kaka mtu anashindwa kuelewa kwa nini mdogo wake ana bifu na shem wake?
Je huyu msichana amwambie ukweli mumewe mtarajiwa kwamba mdogo wako aliwahi kumtongoza na akamkatalia ndio maana ana bifu naye? Kama ungekuwa wewe ungefanyaje kwenye situation like this?