carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 262
Ningependa kujua hapahapa janvini, wewe uwe mwanaume au mwanamke, ungependa kuwa na watoto wangapi katika familia yako kama hujaanza kuzaa au kama unaeye mmoja tayari. Jibu baada ya kuangalia factors zote za gharama za maisha especially kama unataka mwanao aishi maisha mazuri, elimu bora ili in one day aweze kufanya mambo ya maana na sio kuishi kwa wasiwasi bila kujua kesho itakuwaje. Pia zingatia kipato cha kawaida kwa mtanzania na gharama za elimu zilivyo. Ni kama reseach na ninaamini itatusaidia wengi ambao tuko kwenye dillema ya suala hili.