Huyu mdogo wake na hanei wangu, huwa anapenda kufuatilia issue zangu kila kukicha. Mara kwa mara ugomvi wetu na dada yake yeye ndio chanzo au kichocheo, kosa hanei wangu akiliona dogo akilijua...
Hazikunishangaza habari hizi angalau hawa jamaa wanasema yaliyokuwe ndani ya jamii zao
Brits among the 'ugliest people in the world'
Last updated at 5:04 PM on 11th November 2009...
Ni wazo tu ndugu zanguni msinitafune
Mara nyingi tunaambiwa uwezo wa kumdhibiti mwanamme uko mikononi mwa mwanamke mwenyewe kwa maana ya mahaba, vionjo na ubunifu wake hasa katika suala zima la...
TO MY FRIENDS WHO ARE
TO MY FRIENDS WHO ARE... SINGLE

:
Love is like a butterfly...

The more you chase it, the more it eludes you

, But if you just let it...
ni mahusiano na urafiki wa familia zao ndio uliopelekea yeye na mwenzi wake kuwa wife & husband mwaka mmoja na nusu sasa
Mwanaume alikuwa anasoma urusi -mwanamke akiwa TZ anafanya kazi...
Imefikia kipindi sasa wanaume tumekuwa hatuhitajiki na wanawake kama zamani.
Sasa hivi wanawake wengi wanajifanyia mambo yao wenyewe kama kulipia karo/ada za watoto, wanajingea nyumba, wananunua...
Labda kwa wale wasiofahamu niwaambie tu kwamba dhana ya mapenzi ni dhana yenye wigo mpana sana na ndio maana hutasikia hata siku moja tumepumzika kulizungumzia. Hata hivyo, tunachofanya siku zote...
CHECK THE VERSES BELOW AND SEE HOW SMALL MISTAKES COST IN YOUR MARRAIAGE LIFE.
A baker was asked to print 1 John 4 verses 18 on a wedding cake. He forgot and printed John 4 verses 18.
The 1...
wana JF mi nina swali naomba mawazo yenu.Hivi kwa nini sisi wanaume hatupendani na kujaliana wenyewe kwa wenyewe? hivi punde nilichomoka ofisini na kwenda bank ya NMB kwenya ATM nikakutana na...
Haya madudu wanayofanyiwa baadhia ya wanaume na akina mama yapo kwa kila kabila, utafiti umebaini kuwa ni moja ya taaluma ya Kibantu katika kuongeza au kuthibiti chachu ya mapenzi na ambayo...
http://www.dullonet.com/cloudsfm-11-11-2009.php
Wadau hebu tusaidiane mawazo katika mkasa huu, haya mambo ndo yakoje,jaribu kubofya link hapo juu,kama huipati Mods tuasaidiane its important
Kuna swala linanitatiza kidogo naomba wenzangu mnipe maoni yenu.
Mimi na wife tunaenjoy maisha yetu ya kuwa pamoja kwa kama miaka miwili sasa tukiwa huku mwisho wa reli, Kigoma na tumebahatika...
Kati ya wanaume na wanawake ni wapi wanaogopa Ukimwi sana kuliko mimba na ni wapi wanaogopa mimba sana kuliko Ukimwi? Hasa kwenye mahusiano ambayo bado hayajawa kwenye mfumo wa ndoa.
mambo vip wana JF,hivi mmeshawahi kujiuliza kama kiungo mb.. cha mwanaume kingekuwa kama ufutio wa penseli je ni wangapi wangekuwa na vifutio mpaka sasa.nawakilsha na tujadili.
mambo vipi wana JF,hivi mmeshawahi kujiuliza kama kiungo cha mwanaume kingekuwa kama kifutio je ni wangapi wangekuwa na hivyo vifutio mpaka sasa toka wabarehe.nawakilisha kwa pamoja tujadili.
Kuna aina tofauti!
Aina za tendo la ndoa
Kuna wakati wanandoa hujikuta wanahitaji kuwa na tendo la ndoa ambalo ni perfect, kama tetemeko la ardhi, kama fireworks na kufika kileleni kwa mpigo...
Habari jamani...Nadhani hapa nitapata majibu mazuri na ya maana kuhusu hili swala.....Problem ni kwamba hapa nilipo nina demu wa kigambia ambaye nilikutana nae hapa ninapoishi,kukutana...
Stay married if you want kids
By Leah Ward Sears, Special to CNN
November 10, 2009 9:39 a.m. EST
STORY HIGHLIGHTS
Leah Ward Sears: Couples unwilling to make commitment to rewarding...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.