Sipo,
.....kuna mashoga wengine inasemekana huzaliwa mashoga......
NO, sorry.You are wrong? What is huzaliwa mashoga.......? the anatomy must be there!
yah sio kuzaliwa kuwa mashoga, lakini wanakuwa na homony nyingi za kike na akishafika muda wa kubalehe ndio vichocheo hivyo vya kike vinakuwa juu na unakuta mtu anaanza kuplactice hayo mambo na ndio maana akasema wapo waliozaliwa hivyoNO, sorry.You are wrong? What is huzaliwa mashoga.......? the anatomy must be there!
katika sababu zilizotolewa kuna kijana mmoja mwenye umri wa miaka 18 ambaye naye ni shoga ambaye yeye alisema kuwa anajisikia kuwa na ahamu ya kuwa mwanamke. Na alipopelekwa hospitali na mama yake madaktair walisema hawana vipimo vya kitaalamu lakini walimwambia kuwa inaonyesha kuwa ana hormones nyingi za kike kuliko za kiumeyah sio kuzaliwa kuwa mashoga, lakini wanakuwa na homony nyingi za kike na akishafika muda wa kubalehe ndio vichocheo hivyo vya kike vinakuwa juu na unakuta mtu anaanza kuplactice hayo mambo na ndio maana akasema wapo waliozaliwa hivyo
Ni wengi sana na cha kutisha sasa hivi wengi ni vijana wenye umri kuanzia miaka 16 hadi 25 na kuendeleaKilicho dhahiri ni kwamba mashoga wapo tena kwa idadi kubwa mno miongoni mwetu tupende tusipende.
Ni wengi sana na cha kutisha sasa hivi wengi ni vijana wenye umri kuanzia miaka 16 hadi 25 na kuendelea
Ila kinachosikitisha sana ni hao wateja wao ambao ni ELITES na watu wenye nafasi zao nzuri sana kwenye jamii na wengine wanasimama na kupinga ufisadi, UKIMWI na uovu mwingine
MUNGU atusaidie tuepukane na janga ili maana hukumu yake nu kubwa na ya jabu hapa duniani na jehanamu
Angalia ya Caster Semenya yule dada msauzi je akiwa msagaji watu watashangaa? hapana hii ni kutokana na matokeo yaliyotolewa kuwa ana homoni za kiume mara tatu kuliko za kike.yah sio kuzaliwa kuwa mashoga, lakini wanakuwa na homony nyingi za kike na akishafika muda wa kubalehe ndio vichocheo hivyo vya kike vinakuwa juu na unakuta mtu anaanza kuplactice hayo mambo na ndio maana akasema wapo waliozaliwa hivyo
Hii tabia imeongezeka siku hizi, kuna jamaa wanasema watoto wa kike wa mjini wengi wanatabia za kufanya mapenzi kinyume na maumbile. japo pia kuna madingi wakubwa tu halafu ni mashoga cha ajabu watafuta vijana wa kutoka nao. sijui ndio utanda wazi, au makemikali ya kwenye vyakula au ndio kama sodoma na gomola
Zakumi, una umri gani?Kwa hiyo wanaofanya mapenzi kama Adamu na Eva, wanafanya kimbele na maumbile au kisahihi na maumbile?
Zakumi, una umri gani?
Niilishiriki Tamasha la Jinsia 2009 kwenye viwanja vya TGNP Mabibo toka tarehe 8 hadi 11 Septemba mwaka huu. Kusema kweli kuna mada moja ambayo ilinigusa sana nayo ilikuwa ni kuruhusu mtu kujichagulia maumivu au raha kwenye masuala ya mapenzi. Katika mada hii lengo ilikuwa ni kuwapa MASHOGA NA WASAGAJI pamoja na MACHANGUDOA kuwa na uhuru wa kufanya wafanyacho pasipo kubugudhiwa.
NB: Kusema kweli binafsi yangu nilijisikia vibaya sana na nilihuzunika sana kwa historia hii ambayo kwa dunia ya sasa ya YATIMA wengi tunaweza kuwa na mashoga wengi sana hapo mbeleni kama tutaendelea kuwa na wazazi na walezi mabaradhuli kama baba mkubwa wa kijana huyu niliyemfahamu
Hii habari niliwahi kuisikia kabla, ila ilkuwa kenye format tofauti kidogo, anyway... Kwa kuwa ulizungumza naye na kumuonea huruma (Kama si huruma za mamba) je ulimshauri kitu huyo schoolmate wako!?...alipompata mpenzi na kugundua kuwa ana tena nguvu za kiume na alipokwenda hospitali na kumweleza daktari ukweli daktari alimjibu kuwa kutokana na vitendo alivyofanya vya kishoga haotokuwa na uwezo tena wa kuwa na nguvu za kiume maishani mwake...
...Na tokea hapo ndipo aliendelea kufanya kazi hii hadi leo.
NB: Kusema kweli binafsi yangu nilijisikia vibaya sana na nilihuzunika sana kwa historia hii ambayo kwa dunia ya sasa ya YATIMA wengi tunaweza kuwa na mashoga wengi sana hapo mbeleni kama tutaendelea kuwa na wazazi na walezi mabaradhuli kama baba mkubwa wa kijana huyu niliyemfahamu