Babylon
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 1,332
- 82
Unafanya kazi pamoja na mke wa Bosi , mara kwa anakukueleza how much she want your body ,ukawa unarusha na kutowa vijisababu , siku moja mupo ofisini peke yenu akakuvamia maungoni katika purukushani za huku na kule umemuweka alama katika mwili wake na nguo imechanika na hilo ndio lilkuwa kusudia lake baada ya hapo akakwambia(kukueleza) leo unifanye au nitasema umenibaka kwa nguvu ,Jee nini utakuwa uwamuzi wako?