Mathalan umekutokea mtihani kama huu utafanya mamuzi gani?

Babylon

JF-Expert Member
Feb 5, 2009
1,332
82
Unafanya kazi pamoja na mke wa Bosi , mara kwa anakukueleza how much she want your body ,ukawa unarusha na kutowa vijisababu , siku moja mupo ofisini peke yenu akakuvamia maungoni katika purukushani za huku na kule umemuweka alama katika mwili wake na nguo imechanika na hilo ndio lilkuwa kusudia lake baada ya hapo akakwambia(kukueleza) leo unifanye au nitasema umenibaka kwa nguvu ,Jee nini utakuwa uwamuzi wako?
 
Purukashani za nini?????
Unampinda bila wasiwasi.

Mi kwanza hata sitafika hadi huko akishaonesha tu anataka nammega mapemaa si ndo anachokitaka? We unaogopa kutumia kwani hiyo ni chaki itaisha?
 
we mkandamize tu, hayo mengine yatajulikana baadae, si kataka mwenyewe bana
 
Unafanya kazi pamoja na mke wa Bosi , mara kwa anakukueleza how much she want your body ,ukawa unarusha na kutowa vijisababu , siku moja mupo ofisini peke yenu akakuvamia maungoni katika purukushani za huku na kule umemuweka alama katika mwili wake na nguo imechanika na hilo ndio lilkuwa kusudia lake baada ya hapo akakwambia(kukueleza) leo unifanye au nitasema umenibaka kwa nguvu ,Jee nini utakuwa uwamuzi wako?
It all depends on your worthness, how much worth is your body, your dignity and your principles in life. If you are cheap you will act cheaply, if you are focused you will act responsibly, so it all depends on you.
 
Yani watu wa humu hawajatulia kwa kweli.Mnavyosema mnamega mjue na wake zenu nao wanafanyiwa hayohayo,na msingefanya basi na wako hatafanyiwa.
Mkumbukeni YUSUFU wa Israel enzi hizo.alimkimbia mke wa bosi,akasingiziwa alitaka kubaka lakini siku moja ukweli ulijulikana na heshima yake iliongezeka mara mia kidogo.Na wewe ukifanya na ikigundulika heshima yako yote itapotea.
 
Yani watu wa humu hawajatulia kwa kweli.Mnavyosema mnamega mjue na wake zenu nao wanafanyiwa hayohayo,na msingefanya basi na wako hatafanyiwa.
Mkumbukeni YUSUFU wa Israel enzi hizo.alimkimbia mke wa bosi,akasingiziwa alitaka kubaka lakini siku moja ukweli ulijulikana na heshima yake iliongezeka mara mia kidogo.Na wewe ukifanya na ikigundulika heshima yako yote itapotea.
mtu akimega mke wangu NIKAPROVE,
i just shoot him,period
 
huo mtihani mkubwa na katika mazingira hayo sijui kama protective gear inakuwepo??
 
Back
Top Bottom