Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Kama kuna kitu ambacho sipendi kitokee maishani ni kuacha kutandika kitanda baada ya kuamka Hivi wewe unaamka unamwachia nani akutandikie kitanda chako,,,kuna familia yaani wanandoa mwenzao...
0 Reactions
130 Replies
13K Views
John Stephen Akhawari ni mtanzania mwenye sifa ya pekee kwa kumaliza marathon na si kushinda. Kwa maelezo zaidi soma hapa Ndoa inafanana sana na ukimbiaji wa mbio ndefu (marathon) na hutoa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Mwanamke ni Kusikilizwa! Mashitaka mengi tunayopata wanaume kutoka kwa wake zetu ni kwamba; “Huwa hatuwasilikizi na pia hatuwajali” Kumsikiliza mwanamke anapoongea ni pamoja na kuachana na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Qn: What is Sex? Ans “DUTY” if done with wife!!!! “ART” if done with a lover!!!!! “EDUCATION” if done with a virgin boy!!!!!!!!!!! “SCIENCE” if done with a...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
...baada ya miaka kadhaa ughaibuni na mkewe mkubwa, mshkaji alikwenda kuoa bongo kinyemela bila mkewe kujua. Ili kuuziba nyufa, mheshimiwa aliamua kufa na kupona, iwe isiwe bi mdogo huyo, (ambaye...
0 Reactions
44 Replies
7K Views
Mwanaume hakwepi, atakuona tu! Tabasamu hufungua dirisha la Upendo na kujiamini. Mungu alituumba wanadamu kwa namna ambayo mwanaume huvutiwa na mwanamke kama sumaku hata hivyo kuna wakati...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nini maana ya chaja ya kobe...kwa wale waishio bongo watajua naongelea ile chaja iko kama kobe ambayo huwa aijalishi ni aina gani ya betri inaingia...yenyewe ukiseti iwe simu ya...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Mzee Jongwe na mabaluni yake, yakipasuka hana lake tena! Life is too short to wake up with regrets. So love the people who treat you right. Forget about the one's who don't. Believe everything...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Maksi ni zilezile! Zawadi ni zawadi, muhimu ni Caring anayopata kutoka kwa mwanaume Wanaume wengi (si wote) hudhani kwamba kumpa mwanamke zawadi kubwa, au kumnunulia kitu cha thamani kubwa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
When one door of happiness closes, another opens; but often we look so long at the closed door that we do not see the one which has been opened for us. Also To Forgive is the Highest, most...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kitinda Mimba Eti vitinda mimba wengi hudeka sana? Wataaalamu wa masuala ya haiba na saikolojia ya watu wana mengi ya kusema kuhusu nafasi unayozaliwa katika familia (birth order) na athari...
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Bei ya Ndoa Mpaka kifo kitakapotutenganisha! Kama upo kwenye ndoa na upo kwenye tatizo kubwa, shida au mgogoro wowote na unajisikia kama ni wewe mwenyewe tu mwenye Matatizo ya ndoa, ukweli...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wanaume Huchochea Mwendo! Risasi tu zitoke basi! Wanawake hupunguza mwendo wakati wanaume huchochea na kuongeza mwendo. Wanawake hupenda kuguswa mwili mzima (mwili wake wote ni single sex...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Baada ya kuidadavua mada ya ‘ Hisia zinaweza kukugeuza katuni mapenzini’, leo tunapiga bao kwingine na kuibuka na somo safi kabisa ambalo linatanguliwa na kichwa kinachosema “Uchawi mdogo...
0 Reactions
0 Replies
13K Views
Unatafuta Mchumba? Ushauri wa Bure wa Michelle Obama Mke wa rais wa Marekani, Michelle ObamaTuesday, November 17, 2009 10:32 AM Mke wa rais wa Marekani, Michelle Obama, ameamua kumwaga busara...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wanaume wengine Ovyo! Mwanaume ajulikanaye kwa jina la Bakari akimsaidia mke wake hawa kuosha vyombo baada ya mlo huko Senegal. Huyu mwanaume si ovyo!Umemfanyia vitu vyote ambavyo mwanaume...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kucheza kimapenzi Katika moja ya misingi ya kujenga mahusiano kati ya mke na mume ni pamoja na mke na mume kuwa na muda wa kucheza pamoja. Kabla hatujafika mbali hivi ni lini wewe na mume...
0 Reactions
23 Replies
9K Views
Leo nimepanda daladala asubuhi wakati nakwenda kibaruani, bahati mbaya nikakosa siti nikawa nimesimama pembeni yangu kulikuwa na mdada ambaye alikuwa amekaa, kwa kuwa gari ilikuwa fupi nikawa...
0 Reactions
61 Replies
8K Views
nimekuwa nikijiuliza sana kuhusu mapenzi hasa kwa hawa dada zetu.nimefikia mahali nimeshindwa kuelelewa kbs.ukiongea nao watasema wanataka mwanaume mpole,msikivu,atayempenda na kumjali nn...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
wana JF, ni mambo gani ambayo sipaswi kuyafanye nikiwa 'outing' kwa mara ya kwanza na totoz??
0 Reactions
149 Replies
15K Views
Back
Top Bottom