How small mistakes cost in marriage life

Kisoda2

JF-Expert Member
May 30, 2008
2,475
745
CHECK THE VERSES BELOW AND SEE HOW SMALL MISTAKES COST IN YOUR MARRAIAGE LIFE.

A baker was asked to print 1 John 4 verses 18 on a wedding cake. He forgot and printed John 4 verses 18.
The 1 John 4 verses 18 reads:
"There is no fear in love; but perfect love cast out fear: because fear has torment. He that fears is not made perfect in love".

John 4 verses 18 reads:
"For you have had five husbands; and he whom you now have is not your husband: in that said thou truly".

What would you do if you were the owner especially realizing the mistake on your wedding day?


 
Be blessed and remember small mistakes are not all that small.
 
CHECK THE VERSES BELOW AND SEE HOW SMALL MISTAKES COST IN YOUR MARRAIAGE LIFE.

A baker was asked to print 1 John 4 verses 18 on a wedding cake. He forgot and printed John 4 verses 18.
The 1 John 4 verses 18 reads:
"There is no fear in love; but perfect love cast out fear: because fear has torment. He that fears is not made perfect in love".

John 4 verses 18 reads:
"For you have had five husbands; and he whom you now have is not your husband: in that said thou truly".

What would you do if you were the owner especially realizing the mistake on your wedding day?


The best thing about it is that no one knew what it meant, coz people never read Bibles!...So every body left for home happy without any bit of grudge!...lol!
 
No one will notice anyway so why bother? Just enjoy the celebtarions, eat the cake including the verses.
 
Ni kweli ndugu,vitu ambavyo vinaonekana ni vidogo ndio huwa vinaharibu ndoa.Si vizuri kupuuzia vimakosa vidogo vinavyoonekana ni minor.Kwa mfano unaweza kuwa unatofautiana na mwenzi wako katika TV,yeye anapenda mieleka na wewe unapenda tamthilia.Inafika kipindi inabidi u-sacrifice japo utaumia kwa ajili ya kuepuka ugomvi.Kuna vitu vingine vingi watu wanaviona vidogo lakini mara nyingi ndio huzaa mambo makubwa.So be careful enyi wanandoa wote.
 
Ni kweli ndugu,vitu ambavyo vinaonekana ni vidogo ndio huwa vinaharibu ndoa.Si vizuri kupuuzia vimakosa vidogo vinavyoonekana ni minor.Kwa mfano unaweza kuwa unatofautiana na mwenzi wako katika TV,yeye anapenda mieleka na wewe unapenda tamthilia.Inafika kipindi inabidi u-sacrifice japo utaumia kwa ajili ya kuepuka ugomvi.Kuna vitu vingine vingi watu wanaviona vidogo lakini mara nyingi ndio huzaa mambo makubwa.So be careful enyi wanandoa wote.

umenena ZD zamani mie nilikuwa nagombana sana na mwenzangu yaani yeye masaa mengi alikuwa anapenda Mipira ,Miziki ya Kina Tupac ,sijui Snoppy ukirudi kwenye mieleka utasikia ma Bukati ,undertaker yaani nilikuwa natamani kupasuka ikabidi aninunulie kideo chumbani ila baadae nikawaza hebu na mie nijaribu kupenda kile anachopenda mwenzangu ..now days hata kama hayupo lazima niwachi mieleka ,mipira ndo mpaka usiseme maisha yanaenda Ukija kwenye hizo snoppy angalau naweza kusikiliza na kuangalia video
 
Ni kweli ndugu,vitu ambavyo vinaonekana ni vidogo ndio huwa vinaharibu ndoa.Si vizuri kupuuzia vimakosa vidogo vinavyoonekana ni minor.Kwa mfano unaweza kuwa unatofautiana na mwenzi wako katika TV,yeye anapenda mieleka na wewe unapenda tamthilia.Inafika kipindi inabidi u-sacrifice japo utaumia kwa ajili ya kuepuka ugomvi.Kuna vitu vingine vingi watu wanaviona vidogo lakini mara nyingi ndio huzaa mambo makubwa.So be careful enyi wanandoa wote.
..Ulijuaje?? Mi imenikumba juzi wakati nataka kucheki mechi ya Liverpool na Blackburn ilikuwa tabu kwa kweli ilibidi ni-apply ubabe kidogo maana Ma-1st lady yeye mbovu sana wa hivi vi-tamthilia..!!! Mtu alilalamika mpaka basi na mzigo nikanyimwa usiku huo!!
 
..Ulijuaje?? Mi imenikumba juzi wakati nataka kucheki mechi ya Liverpool na Blackburn ilikuwa tabu kwa kweli ilibidi ni-apply ubabe kidogo maana Ma-1st lady yeye mbovu sana wa hivi vi-tamthilia..!!! Mtu alilalamika mpaka basi na mzigo nikanyimwa usiku huo!!

For the sake of harmony and in oder to accomodate ur selfishness ( wote wewe na FL wako mko selfish) invest in a second TV.
Kuna couple moja, tena watu wazima sana walikuwa wanagombea vitu kama hivi, bwana anataka kusikiliza habari, mke anataka tamthilia ilibidi kuwashauri kununua TV ya pili na ugomvi kwisha!
 
For the sake of harmony and in oder to accomodate ur selfishness ( wote wewe na FL wako mko selfish) invest in a second TV.
Kuna couple moja, tena watu wazima sana walikuwa wanagombea vitu kama hivi, bwana anataka kusikiliza habari, mke anataka tamthilia ilibidi kuwashauri kununua TV ya pili na ugomvi kwisha!

Unajua vera,unaweza kukuta huo uwezo wa tv 2 kapo nyingi hawana,sasa nao wafanyaje?isitoshe hili la tofauti lipo hata kwenye vyakula.kwa mfano mimi sipendi makande sasa kama mwenzangu ndio ugonjwa wake ,dah inaweza kuwa ngumu kweli.
 
For the sake of harmony and in oder to accomodate ur selfishness ( wote wewe na FL wako mko selfish) invest in a second TV.
Kuna couple moja, tena watu wazima sana walikuwa wanagombea vitu kama hivi, bwana anataka kusikiliza habari, mke anataka tamthilia ilibidi kuwashauri kununua TV ya pili na ugomvi kwisha!
...Hata mimi nilikuwa na wazo hilo maana mkuu mtu alivyosala sikuamini kuwa ni kwa ajili ya TV tu au alikuwa na mambo mengine!!!! - Kaushauri kazuri sana!!!
 
Hapa hapawajawahi zungumzwa lkn panaleta sana ugomvi hasa kukiwa na TV moja tu ya kuangalia. Kila mtu anapenda program zake, wanaume wengi tunapenda mpira, mieleka, sometimes kuna vipindi km fear factor etc, haha nakumbuka wife alipenda sana kuangalia TWAARAB mie mpira unanipita, nikapiga akili nikagundua udhaifu wake uko wapi, nikajidai naishobokea twaarab hasa mijimama yenye kuzungusha kiuno na ule mtindo wao wa kutikisa makalio, hohoo nikasifia kimtindo aaaaaaaaah kilichofuata hapo ni kuzimwa kabsa TV tehe, nikamwambia tuangalie tu mpira, basi toka siku hiyo hapendi tena kuangalia taarab nikiwepo
 
Unajua vera,unaweza kukuta huo uwezo wa tv 2 kapo nyingi hawana,sasa nao wafanyaje?isitoshe hili la tofauti lipo hata kwenye vyakula.kwa mfano mimi sipendi makande sasa kama mwenzangu ndio ugonjwa wake ,dah inaweza kuwa ngumu kweli.
ZD,
Unajua watu ambao ni maskini sana mara nyingi kugombea kama hivi inakuwa nadra.Wengi wenye hizi hulka za umimi ni wale ambao wameshafikia level fulani - siyo lazima wawe matajiri.Fikiria maskini wa kikweli achague chakula aseme ati hawezi kula makande au ugali! Maskini wa kweli atakachokuta kama rizki atakula na kushukuru tu.Akianza kuchagua ujue basi anaweza kumudu angalau kilo ya mchele!

Back to the TV thing - ikiwa basi couple haina uwezo kununua TV ya pili, inawezekana kabisa kupeana zamu kama watoto wadogo lol! Leo zamu yangu kuchagua vipindi vyangu, kesho ya kwako.Ikiwa siku ya mwenzio kuna kipindi chako basi itabidi ku negotiate na kutoa trade-offs... inawezekana kabisa.
 
Kama mtu hupendi kitu hata ukijilazimisha kwa kiwango gani, kuna wakati utaboreka kimoyo moyo tuu, na utajiuliza maswali bila majibu, mi nadhani cha muhimu ni kupeana muda tuu hata kama TV ni moja ndani ya nyumba, ni kujipanga tu this time nani anaangalia chake na nexttime mwingine anaendelea, kwa utaratibu huu nadhani mambo ndani ya nyumba yatakuwa swafii.. hata mikwaruzano midogo midogo haitakuwepo.
 
For the sake of harmony and in oder to accomodate ur selfishness ( wote wewe na FL wako mko selfish) invest in a second TV.
Kuna couple moja, tena watu wazima sana walikuwa wanagombea vitu kama hivi, bwana anataka kusikiliza habari, mke anataka tamthilia ilibidi kuwashauri kununua TV ya pili na ugomvi kwisha!

Du kumbe tuko wengi, na mimi yalinikuta last weekend wakati nataka kuangalia mechi ya Arsenal na Wolverhampton, mamsap aling'ang'ania kuangalia akina Zembwela. Ikabidi next day tununue tv nyingine.
 
Hapa hapawajawahi zungumzwa lkn panaleta sana ugomvi hasa kukiwa na TV moja tu ya kuangalia. Kila mtu anapenda program zake, wanaume wengi tunapenda mpira, mieleka, sometimes kuna vipindi km fear factor etc, haha nakumbuka wife alipenda sana kuangalia TWAARAB mie mpira unanipita, nikapiga akili nikagundua udhaifu wake uko wapi, nikajidai naishobokea twaarab hasa mijimama yenye kuzungusha kiuno na ule mtindo wao wa kutikisa makalio, hohoo nikasifia kimtindo aaaaaaaaah kilichofuata hapo ni kuzimwa kabsa TV tehe, nikamwambia tuangalie tu mpira, basi toka siku hiyo hapendi tena kuangalia taarab nikiwepo


Kaka hii si mchezo, nimecheka mpaka basi!
 
Hapa hapawajawahi zungumzwa lkn panaleta sana ugomvi hasa kukiwa na TV moja tu ya kuangalia. Kila mtu anapenda program zake, wanaume wengi tunapenda mpira, mieleka, sometimes kuna vipindi km fear factor etc, haha nakumbuka wife alipenda sana kuangalia TWAARAB mie mpira unanipita, nikapiga akili nikagundua udhaifu wake uko wapi, nikajidai naishobokea twaarab hasa mijimama yenye kuzungusha kiuno na ule mtindo wao wa kutikisa makalio, hohoo nikasifia kimtindo aaaaaaaaah kilichofuata hapo ni kuzimwa kabsa TV tehe, nikamwambia tuangalie tu mpira, basi toka siku hiyo hapendi tena kuangalia taarab nikiwepo
haaaa heeeeeeeeeeee
wee mama mbavu zanguuuu kweekweekweeeeeeeee

Duuuuuuhhhhh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom