Simpendi mno shemeji yangu.

Nduka

JF-Expert Member
Dec 3, 2008
8,552
2,359
Huyu mdogo wake na hanei wangu, huwa anapenda kufuatilia issue zangu kila kukicha. Mara kwa mara ugomvi wetu na dada yake yeye ndio chanzo au kichocheo, kosa hanei wangu akiliona dogo akilijua yeye litakuwa kubwa, ka kosa kidogo hata dada yake akisamehe yeye anaendelea kuninunia hadi nimuombe msamaha na yeye. Ningeweza kumpotezea lakini kwa bahati mbaya hanei kwao wamezaliwa wawili tu na huyo mdogo wake wanapenda sana. Njia zote za kumkwepa huwa zinaleta ugomvi kati yangu na dada yake. Kuna watu waliambia labda kwa kuwa hana relation ya maana ndio maana ana tym ya kutufuatilia sisi, wengine wakasema na yeye ananitaka hivyo kuondoa dhahma nimmege, kummega ni out of options maana nampenda sana dada yake akiniacha naweza data.Nimejitahidi kuficha chuki yangu lakini naona kama ninajiumiza tu, sasa sijui nimtafutie mpwa mmoja amuweke busy asitusmbue.
 
Huyo anataka kumegwa, lakini usimmege bora mtafutie mtu wa kumuweka bize hatawasumbua.
 
Huyu mdogo wake na hanei wangu, huwa anapenda kufuatilia issue zangu kila kukicha. Mara kwa mara ugomvi wetu na dada yake yeye ndio chanzo au kichocheo, kosa hanei wangu akiliona dogo akilijua yeye litakuwa kubwa, ka kosa kidogo hata dada yake akisamehe yeye anaendelea kuninunia hadi nimuombe msamaha na yeye. Ningeweza kumpotezea lakini kwa bahati mbaya hanei kwao wamezaliwa wawili tu na huyo mdogo wake wanapenda sana. Njia zote za kumkwepa huwa zinaleta ugomvi kati yangu na dada yake. Kuna watu waliambia labda kwa kuwa hana relation ya maana ndio maana ana tym ya kutufuatilia sisi, wengine wakasema na yeye ananitaka hivyo kuondoa dhahma nimmege, kummega ni out of options maana nampenda sana dada yake akiniacha naweza data.Nimejitahidi kuficha chuki yangu lakini naona kama ninajiumiza tu, sasa sijui nimtafutie mpwa mmoja amuweke busy asitusmbue.


sasa Burn...kumbe ulikuwa wanirusha roho bureeeeee...sawa tu. back to business kwani lazima upende ukoo wote?? huna lazima ya kumuomba msamaha.
 
Huyu mdogo wake na hanei wangu, huwa anapenda kufuatilia issue zangu kila kukicha. Mara kwa mara ugomvi wetu na dada yake yeye ndio chanzo au kichocheo, kosa hanei wangu akiliona dogo akilijua yeye litakuwa kubwa, ka kosa kidogo hata dada yake akisamehe yeye anaendelea kuninunia hadi nimuombe msamaha na yeye. Ningeweza kumpotezea lakini kwa bahati mbaya hanei kwao wamezaliwa wawili tu na huyo mdogo wake wanapenda sana. Njia zote za kumkwepa huwa zinaleta ugomvi kati yangu na dada yake. Kuna watu waliambia labda kwa kuwa hana relation ya maana ndio maana ana tym ya kutufuatilia sisi, wengine wakasema na yeye ananitaka hivyo kuondoa dhahma nimmege, kummega ni out of options maana nampenda sana dada yake akiniacha naweza data.Nimejitahidi kuficha chuki yangu lakini naona kama ninajiumiza tu, sasa sijui nimtafutie mpwa mmoja amuweke busy asitusmbue.
ndiyo shem wako lkn, vumilia
 
Ina maana na shemeji nae unaishi naye kwenu? Sasa hapo pagumu. Ndio maana wakasema 'kila munu ave na kwavo'. Huwezi kupata amani kama una wanawake wawili ndani kwako, na wote wanataka wawe kwenye level moja.

Aondoke huyo shemejiyo, lau kama dadake hataki, basi umuulize kama anataka uwaoe wote!
 
sasa yeye kinachomnunisha ni nini, mbona hayamuhusu hayo yenu? kwani na nyie ishu zenu ni mpaka na yeye azijue? kwani mnashindwa kuzimaliza wenyewe.......
 
...Acha kuyumbishwa 'kimapenzi', Jiwekee msimamo wako, uusimamie na wao wautambue na kuuheshimu. "samaki mkunje angali mbichi!"
 
sasa Burn...kumbe ulikuwa wanirusha roho bureeeeee...sawa tu. back to business kwani lazima upende ukoo wote?? huna lazima ya kumuomba msamaha.


halafu kakosewa mwingine aombwe msamaha mwingine, khaa ndoa hizi.....huyu bwana mie sioni hata sababu ya kumuendekeza, ugombane na dada yake anune yeye? eeh
 
sasa Burn...kumbe ulikuwa wanirusha roho bureeeeee...sawa tu. back to business kwani lazima upende ukoo wote?? huna lazima ya kumuomba msamaha.

Shishi mimi ni muafrika asilia usijali kunanafasi za kupenda zaidi ya kingi muswati kwenye moyo wangu ila yako ni namba wani. Back to biziness kwa hao unaweza sema ni muhimu kuwa nao karibu wote kwakuwa wamezaliwa wawili tu, halafu dingi alitangulia mbele za haki wanaishi na mama yao tu, halafu wanapenda sana unaweza kudhani ni mapacha, nisipokuwa na amani na mdogo mtu hanei naye namuona hana raha kabisa, ndio maana nikimuuzi tu, hata tukiyamaliza ataniambia alimuhadithia mdogo wake kwa hiyo nimuombe msamaha pia.
 
halafu kakosewa mwingine aombwe msamaha mwingine, khaa ndoa hizi.....huyu bwana mie sioni hata sababu ya kumuendekeza, ugombane na dada yake anune yeye? eeh


nakwambia tena ananuna hapatoshi kabisa hapakaliki...we Burn bwana! mmm kupenda gani huku !
 
...Acha kuyumbishwa 'kimapenzi', Jiwekee msimamo wako, uusimamie na wao wautambue na kuuheshimu. "samaki mkunje angali mbichi!"

Mzee moskwito mimi ni mtu mwenye misimamo kuliko hittler, ila nimekuja gundua kwenye suala la mapenzi nikijifanya na misimamo namna hii naweza kupoteza tunda langu na maisha yangu yakawa mizarabo. mkuu umeshawahi kupenda wewe?
 
Shishi mimi ni muafrika asilia usijali kunanafasi za kupenda zaidi ya kingi muswati kwenye moyo wangu ila yako ni namba wani. Back to biziness kwa hao unaweza sema ni muhimu kuwa nao karibu wote kwakuwa wamezaliwa wawili tu, halafu dingi alitangulia mbele za haki wanaishi na mama yao tu, halafu wanapenda sana unaweza kudhani ni mapacha, nisipokuwa na amani na mdogo mtu hanei naye namuona hana raha kabisa, ndio maana nikimuuzi tu, hata tukiyamaliza ataniambia alimuhadithia mdogo wake kwa hiyo nimuombe msamaha pia.


Lahaula!!!! sasa itakuwa mambo yenu yote anahadithiwa pia? mmmm mbona hapo pana tabu tu huoni wee hutokuwa na siri za kwako ni kila mnachofanya usipomridhisha kuleeee anakwenda kuhadithia pia uombe msamaha!!!! agggggggggggh jamani!

noooo hapo sasa umeni let down kabisa....mmmmmm. hata mapacha wana siri zao sembuse wao ni dada tu! mbona una kazi nyingi tu!!! basi lazima hata mama mzazi ahadithiwe pia.
 
hapo mkuu kuna namna!.
huyo mai hanei wako lazima anamtumia huyo shemeji yako kukuspai na kukupima moyo wako kama ni wa kubabaikia mashori ama vp, stuka mkuu mtego huo!!.
 
Shishi mimi ni muafrika asilia usijali kunanafasi za kupenda zaidi ya kingi muswati kwenye moyo wangu ila yako ni namba wani. Back to biziness kwa hao unaweza sema ni muhimu kuwa nao karibu wote kwakuwa wamezaliwa wawili tu, halafu dingi alitangulia mbele za haki wanaishi na mama yao tu, halafu wanapenda sana unaweza kudhani ni mapacha, nisipokuwa na amani na mdogo mtu hanei naye namuona hana raha kabisa, ndio maana nikimuuzi tu, hata tukiyamaliza ataniambia alimuhadithia mdogo wake kwa hiyo nimuombe msamaha pia.


duu...hiyo kali!....sasa nyie hamna cri zenu/mambo yenu binafc?...
 
Biblia imeandikwa kuwa mwanaume atamwacha Baba yake na mama yake na ataambatana na mkewe(kwa maana kuwa wataacha familia zao).
Sasa wewe Chagua moja kuilinda ndoa yako au kumuendekeza shemeji.By the way sijui anakaa kwako? kama ndivyo fukuza.Tumia hata wazazi kuwaelezea ukweli na uwe muwazi kuwa huipendi tabia hiyo.
Mfivha maradhi kilio humuumbua,hivyo take care ,hali hiyo si nzuri kwa vile mkeo anapaswa kukupenda wewe kwanza na sie mdogo wake,na ndio maana alikubali mkataba wa kuja kwako.
 
Lahaula!!!! sasa itakuwa mambo yenu yote anahadithiwa pia? mmmm mbona hapo pana tabu tu huoni wee hutokuwa na siri za kwako ni kila mnachofanya usipomridhisha kuleeee anakwenda kuhadithia pia uombe msamaha!!!! agggggggggggh jamani!

noooo hapo sasa umeni let down kabisa....mmmmmm. hata mapacha wana siri zao sembuse wao ni dada tu! mbona una kazi nyingi tu!!! basi lazima hata mama mzazi ahadithiwe pia.

Sidhani kama naweza kumuhadithia yote maana na hanei wangu anamiakili sana, ila huwa anatabia kumuhadithia yale makaraha ya burn, mfano kuchelewa kurudi, au kumaliza mshahara tarehe 4 na vitu kama hivyo. Usibaki chini maidia maana hawa watu maisha yao yote wamekuwa pamoja sitegemei ani trust mimi zaidi ya mdogo wake, ninacho kasirika hiyo tabia ya huyo dogo kushika bango kabisa hata kama dada kalegeza kamba.
 
hapo mkuu kuna namna!.
huyo mai hanei wako lazima anamtumia huyo shemeji yako kukuspai na kukupima moyo wako kama ni wa kubabaikia mashori ama vp, stuka mkuu mtego huo!!.

ahahahahah yaani kumbe hii ni my honey...lo! nilikuwa sijaelewa! mmmmmmnh! haya twende kazi!
 
Mzee moskwito mimi ni mtu mwenye misimamo kuliko hittler, ila nimekuja gundua kwenye suala la mapenzi nikijifanya na misimamo namna hii naweza kupoteza tunda langu na maisha yangu yakawa mizarabo.

...doooh, hakuna exceptions ndugu yangu, msimamo ni msimamo tu popote pale. Una macho yako lakini kuangalia hutaki, yanini kujitia upofu? ...ukaribu wao "usikupofue!" hila unayotendewa.

mkuu umeshawahi kupenda wewe?

...:) mkuu, nilishapenda na kutendwa ndio maana leo hii "...nikiona au kusikia unyasi nashtuka!"
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom