FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,373
ni mahusiano na urafiki wa familia zao ndio uliopelekea yeye na mwenzi wake kuwa wife & husband mwaka mmoja na nusu sasa
Mwanaume alikuwa anasoma urusi -mwanamke akiwa TZ anafanya kazi kutokana na ukaribu wa familia zao na maelewano ..ndipo wakaamua wafanye muunganiko kati ya sistery and brother
mahusiano ya muda mfupi yakafanyika na ndoa takatifu ikafungwa
Sasa ndani ya nyumba mme hashikiki ni mlevi kupindukia anarudi usiku wa manane akirudi home bibie hapewi haki yake na akipewa ni kwa ugomvi na masimango
eti we Q sio choise yangu ni family ndo zilituunganisha imekuwa kama wimbo wa Taifa
Q anauliza je aondoke katika hii ndoa ya masimango au afanye nini
Mwanaume alikuwa anasoma urusi -mwanamke akiwa TZ anafanya kazi kutokana na ukaribu wa familia zao na maelewano ..ndipo wakaamua wafanye muunganiko kati ya sistery and brother
mahusiano ya muda mfupi yakafanyika na ndoa takatifu ikafungwa
Sasa ndani ya nyumba mme hashikiki ni mlevi kupindukia anarudi usiku wa manane akirudi home bibie hapewi haki yake na akipewa ni kwa ugomvi na masimango
eti we Q sio choise yangu ni family ndo zilituunganisha imekuwa kama wimbo wa Taifa
Q anauliza je aondoke katika hii ndoa ya masimango au afanye nini