Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,875
- 21,952
Kuna aina tofauti!
Aina za tendo la ndoa
Kuna wakati wanandoa hujikuta wanahitaji kuwa na tendo la ndoa ambalo ni perfect, kama tetemeko la ardhi, kama fireworks na kufika kileleni kwa mpigo na raha ya ajabu.
Hata hivyo hii haina maana kwamba kila mtakapoamua kupeana mwili kati ya mume na mke wako mara zote mtajisikia hivyo na wala haina shida kwani jambo la msingi ninyi wawili ni kuhakikisha mpo connected kupitia sex.
Kuna wakati itakuwa just functional sex, huna mood ila mume wako au mke wako anataka, unampa.
Kuna wakati maisha yanaweza kuwapa wakati mgumu, mkawa na wakati mrefu wa kuomboleza na mnaweza kupeana faraja (comfort sex) na mkapeana faraja kwa zawadi ya tendo la ndoa na kila mmoja kujisikiaraha ajabu na zaidi kuwa na mtu muhimu kama wewe.
Utakuwa umepiga hatua kubwa sana au umefanikiwa sana katika ndoa kama utafahamu kuwa kuna aina mbalimbali za sex na wakati mwingine haitajalisha kama utafika kileleni au la kwani lengo ni kuhakikisha mke wako au mume wako yupo connected katika feelings zake na wewe.
Ubarikiwe na Bwana!
Kuna wakati wanandoa hujikuta wanahitaji kuwa na tendo la ndoa ambalo ni perfect, kama tetemeko la ardhi, kama fireworks na kufika kileleni kwa mpigo na raha ya ajabu.
Hata hivyo hii haina maana kwamba kila mtakapoamua kupeana mwili kati ya mume na mke wako mara zote mtajisikia hivyo na wala haina shida kwani jambo la msingi ninyi wawili ni kuhakikisha mpo connected kupitia sex.
Kuna wakati itakuwa just functional sex, huna mood ila mume wako au mke wako anataka, unampa.
Kuna wakati maisha yanaweza kuwapa wakati mgumu, mkawa na wakati mrefu wa kuomboleza na mnaweza kupeana faraja (comfort sex) na mkapeana faraja kwa zawadi ya tendo la ndoa na kila mmoja kujisikiaraha ajabu na zaidi kuwa na mtu muhimu kama wewe.
Utakuwa umepiga hatua kubwa sana au umefanikiwa sana katika ndoa kama utafahamu kuwa kuna aina mbalimbali za sex na wakati mwingine haitajalisha kama utafika kileleni au la kwani lengo ni kuhakikisha mke wako au mume wako yupo connected katika feelings zake na wewe.
Ubarikiwe na Bwana!