Kuna aina tofauti!ya "TUNDA"

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,875
21,952
Kuna aina tofauti!



Aina za tendo la ndoa
Kuna wakati wanandoa hujikuta wanahitaji kuwa na tendo la ndoa ambalo ni perfect, kama tetemeko la ardhi, kama fireworks na kufika kileleni kwa mpigo na raha ya ajabu.

Hata hivyo hii haina maana kwamba kila mtakapoamua kupeana mwili kati ya mume na mke wako mara zote mtajisikia hivyo na wala haina shida kwani jambo la msingi ninyi wawili ni kuhakikisha mpo connected kupitia sex.

Kuna wakati itakuwa just functional sex, huna mood ila mume wako au mke wako anataka, unampa.
Kuna wakati maisha yanaweza kuwapa wakati mgumu, mkawa na wakati mrefu wa kuomboleza na mnaweza kupeana faraja (comfort sex) na mkapeana faraja kwa zawadi ya tendo la ndoa na kila mmoja kujisikiaraha ajabu na zaidi kuwa na mtu muhimu kama wewe.

Utakuwa umepiga hatua kubwa sana au umefanikiwa sana katika ndoa kama utafahamu kuwa kuna aina mbalimbali za sex na wakati mwingine haitajalisha kama utafika kileleni au la kwani lengo ni kuhakikisha mke wako au mume wako yupo connected katika feelings zake na wewe.

Ubarikiwe na Bwana!
 
mhhh! kumbe! Elimu huwa haina mwisho.

Haswaaaaaaaaa hasa ukiwakuta wanawake waliofundwa vilivyo we....wanasoma nyakati tu..yaani wanaupa kutokana na mwelekeo leo amekasirika unashngaa kawahi kbla ya muda wake wa kawaida
 
...Hata hivyo hii haina maana kwamba kila mtakapoamua kupeana mwili kati ya mume na mke wako mara zote mtajisikia hivyo na wala haina shida kwani jambo la msingi ninyi wawili ni kuhakikisha mpo connected kupitia sex.

Kuna wakati itakuwa just functional sex, huna mood ila mume wako au mke wako anataka, unampa.
Kuna wakati maisha yanaweza kuwapa wakati mgumu, mkawa na wakati mrefu wa kuomboleza na mnaweza kupeana faraja (comfort sex) na mkapeana faraja kwa zawadi ya tendo la ndoa na kila mmoja kujisikiaraha ajabu na zaidi kuwa na mtu muhimu kama wewe.​

Utakuwa umepiga hatua kubwa sana au umefanikiwa sana katika ndoa kama utafahamu kuwa kuna aina mbalimbali za sex na wakati mwingine haitajalisha kama utafika kileleni au la kwani lengo ni kuhakikisha mke wako au mume wako yupo connected katika feelings zake na wewe...

...ama kwa hakika huu ni ujumbe uliotimia. Yaani ukiangalia, hakuna sababu yeyote ya kutembea nje ya ndoa bana,

...si kila wakati ni krismasi!!!
 
Kuna aina tofauti!



Aina za tendo la ndoa
Kuna wakati wanandoa hujikuta wanahitaji kuwa na tendo la ndoa ambalo ni perfect, kama tetemeko la ardhi, kama fireworks na kufika kileleni kwa mpigo na raha ya ajabu.

Hata hivyo hii haina maana kwamba kila mtakapoamua kupeana mwili kati ya mume na mke wako mara zote mtajisikia hivyo na wala haina shida kwani jambo la msingi ninyi wawili ni kuhakikisha mpo connected kupitia sex.

Kuna wakati itakuwa just functional sex, huna mood ila mume wako au mke wako anataka, unampa.
Kuna wakati maisha yanaweza kuwapa wakati mgumu, mkawa na wakati mrefu wa kuomboleza na mnaweza kupeana faraja (comfort sex) na mkapeana faraja kwa zawadi ya tendo la ndoa na kila mmoja kujisikiaraha ajabu na zaidi kuwa na mtu muhimu kama wewe.

Utakuwa umepiga hatua kubwa sana au umefanikiwa sana katika ndoa kama utafahamu kuwa kuna aina mbalimbali za sex na wakati mwingine haitajalisha kama utafika kileleni au la kwani lengo ni kuhakikisha mke wako au mume wako yupo connected katika feelings zake na wewe.

Ubarikiwe na Bwana!

Well said mkuu.Kuna jamaa yangu alienda kwa mwalimu wake kumpa taarifa kwamba anaoa.Moja ya vitu alivyoambiwa na huyo mwalimu ni hili kuwa tendo la ndoa laweza kutuliza hali ya mambo ndani ya nyumba.Na hili lina effect sana kama wife atakuwa analijua kwani wanaume wengi maisha uwa yanatuchanganya sana,sasa akifika nyumba ukamuwashia video atazame na ukawa unabadilisha chanel kama vile umeweka dstv,atatuliza akili na kuanza kufikiri upya.
 
yaani ilivyowekwa heading ya Tunda na picha ya matunda kimtizamo nikaanza kuwaza labda hayo matunda yanaongeza hamu ya perfomance kuna 6 by 6 by

asante Pdidy
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom