Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
mabinti mabinti mabinti hii ni kutoka kwa wadada wafanyakazi tanzania(wwt)
kunawimbi la vijana especially wa chuo wanapenda kushobokea wadada wanaofanya kazi.inakuwa ni kazi kwako kumlipia ada,akae kwako.umlishe umvishe na mapenzi umpe.akimaliza chuo mapenzi kwishney
nimeshuhudia wadada watatu wapo kwenye huu mtego.vijana wenyewe hawajatulia wala nini.kuna mdada wa kwake kampa na gari kabisa,.asubuhi wanaondoka wote hme kwa mdada anamwacha mdada job anampitia demu wake wa chuo haooo chuo kwa raha zao
na katika tafiti zilizofanywa hapa mjini wanaume wanaopenda kulelewa ni wa iringa,songea,sumbawanga na singida. matapeli wa mapenzi.
mimi wachaga,wapare ,wasukuma,wagita.wahaya pamoja saaaana na nyie wakuu. mimi na nyie damdam huko sumbawanga aku babu
ila ushauri wangu kwa wanawake wenzangu
msipende kufanya maisha kuwa magumu,sio kwamba mtafute watu wenye kipato la maisha ni popote
msiwe na pupa kutafuta wapenzi usipanic by the way sio lazima.ishi maisha yako jinsi utakavo na sio watu watakavo. maisha ni haya haya furahia maisha
hv utaakaaje na mtu akupi furaha moyoni?
unaishi na mwanaume nyumbani kwako hana hata future na wewe ,kwanza anakupatia aibu kwa ndugu zako,mwenyewe si mkaaji kesho anaondoka utaweka wapi sura yako
mimi namshukuru sana mungu kwa busara alionijalia mimi siwezi kuishi na mwanaume kinyumba iwe kwangu au kwake
kama mwanaume ana malengo na wewe afate taratibu .huu ulimbukeni jamani unawacosti wanawake.
mimi mwenyewe nilishawai kuwa na mpenzi loh namshukuru mungu kunitoa huko.yaani very iresponsible lakini mimi nilikuwa naona sawa tu as long tunapendana.kumbe nilikuwa najidanganya.usikae na mtu kwa kujidanganya
take this example unavaa kiatu no 9 ukaenda shop ukakuta kiatu no 7 kizuuuri sio saizi yako kinakubana ukakichukua.nini kitatokea?
dunia ni kubwa hii wanaume wapo kibao tulia muombe mungu.
always mungu anajibu nothing bad comes from heaven
have a nice wkend
bye
kunawimbi la vijana especially wa chuo wanapenda kushobokea wadada wanaofanya kazi.inakuwa ni kazi kwako kumlipia ada,akae kwako.umlishe umvishe na mapenzi umpe.akimaliza chuo mapenzi kwishney
nimeshuhudia wadada watatu wapo kwenye huu mtego.vijana wenyewe hawajatulia wala nini.kuna mdada wa kwake kampa na gari kabisa,.asubuhi wanaondoka wote hme kwa mdada anamwacha mdada job anampitia demu wake wa chuo haooo chuo kwa raha zao
na katika tafiti zilizofanywa hapa mjini wanaume wanaopenda kulelewa ni wa iringa,songea,sumbawanga na singida. matapeli wa mapenzi.
mimi wachaga,wapare ,wasukuma,wagita.wahaya pamoja saaaana na nyie wakuu. mimi na nyie damdam huko sumbawanga aku babu
ila ushauri wangu kwa wanawake wenzangu
msipende kufanya maisha kuwa magumu,sio kwamba mtafute watu wenye kipato la maisha ni popote
msiwe na pupa kutafuta wapenzi usipanic by the way sio lazima.ishi maisha yako jinsi utakavo na sio watu watakavo. maisha ni haya haya furahia maisha
hv utaakaaje na mtu akupi furaha moyoni?
unaishi na mwanaume nyumbani kwako hana hata future na wewe ,kwanza anakupatia aibu kwa ndugu zako,mwenyewe si mkaaji kesho anaondoka utaweka wapi sura yako
mimi namshukuru sana mungu kwa busara alionijalia mimi siwezi kuishi na mwanaume kinyumba iwe kwangu au kwake
kama mwanaume ana malengo na wewe afate taratibu .huu ulimbukeni jamani unawacosti wanawake.
mimi mwenyewe nilishawai kuwa na mpenzi loh namshukuru mungu kunitoa huko.yaani very iresponsible lakini mimi nilikuwa naona sawa tu as long tunapendana.kumbe nilikuwa najidanganya.usikae na mtu kwa kujidanganya
take this example unavaa kiatu no 9 ukaenda shop ukakuta kiatu no 7 kizuuuri sio saizi yako kinakubana ukakichukua.nini kitatokea?
dunia ni kubwa hii wanaume wapo kibao tulia muombe mungu.
always mungu anajibu nothing bad comes from heaven
have a nice wkend
bye