ahahaaa mkuu yamekuwa hayoniko tayari kuishi na wewe kwa sababu uko tofauti na wengine. Uko tofauti kwa sababu hupendi makuu, una adabu nzuri, ni mzuri kushinda wanawake wote duniani, hauna tamaa ya pesa, haujakeketwa na pia haujajichubua na kuwa mwekundu
Yaani mimi nivutiwe na Ghosts wa JF? hapa nadhani utakuwa umependa keyboard. atleast kidogo facebook inasound kwenye swali lako, lakini bado kuna kina mwanakijiji wao wanatumia vikatuni ndio profile pic zao.Nipe sababu 10 kwanini unadhani unataka /unatamani kuishi na mimi for the rest of your life? Why me na sio wengine? Au mjibie mpenzi wako kwa nini yeye?
Nipe sababu 10 kwanini unadhani unataka /unatamani kuishi na mimi for the rest of your life? Why me na sio wengine? Au mjibie mpenzi wako kwa nini yeye?
Yaani mimi nivutiwe na Ghosts wa JF? hapa nadhani utakuwa umependa keyboard. atleast kidogo facebook inasound kwenye swali lako, lakini bado kuna kina mwanakijiji wao wanatumia vikatuni ndio profile pic zao.
ndipo akili yako ilipo!!!!!sababu ni kama unaweza mchezo wa 6*6 mengine sijui eti.
ndipo akili yako ilipo!!!!!
wapi vile!!!!!!kwani we ya kwako ipo wapi?utazunguka we!!lakin akili yako na wewe ipo hapo hapo!!!!
Nipe sababu 10 kwanini unadhani unataka /unatamani kuishi na mimi for the rest of your life? Why me na sio wengine? Au mjibie mpenzi wako kwa nini yeye?