isamilo1982
Member
- Jan 17, 2012
- 55
- 5
niliachana najamaa m1 toka 2009 sasa toka juz ananisumbua sana et anadai bado ananipenda minkakataa ila jamaa anakuwa haelewi kiukweli mi simtaki manake alitenda isivo kawaida
wala cjangata vidole nimemkataa kiukweli anatumia namba tofaut kuntumia text
badilisha simu mwaya.....