Kila mwanaume anaetangaza kuniowa namuacha

Mankaa

Senior Member
Jan 21, 2012
156
49
habari wana jamii forums me ni mgen kwenye jamvi hli.mimi ni msichana nna miaka 23 nipo chuo mwaka wa pili na nina mtoto.tatizo langu mi kwamba nahisi nina shida katika mapenzi kwani kwa mwaka iliopita nimekuwa ma mahusiano na wanaume watatu kwa nyakati tofauti

Tatizo ni kuwa kiukweli nina bahati cna ya kupendwa na wanaume wa ukweli tu na kila mwanaume nnayekuwa nae huonyesha niaya kutaka kunioa..lakini tatizo nnlilonalo ni kuwa nikikaa na mwanaume kma miezi mitatu tu namuacha bila sababu yyote mpaka sasa kuna b frind ambaye nlikuwa nae mwaka jana tokamwezi wa kumi na hivi naandika nimemkatia mawasiliano sijisikii kuonana nae mkaka alinipenda cna na kunijali kwa kila kitu sasa ananililia kwenye simu ananiomba niende kwake tukaongee km labda kanikosea lakini ukweli hajanikosea ila tu cjisikii kuwa nae tena
Wadau nisaidieni je naweza kuwa na tatizo su ni hali ya kawaida nachanganyikiwa kwani kunuacha.mtu mliekuwa mnapendana anaweza hata kuniloga au kubifanyia kitu kibaya pia nahisi namkosea hata mungu kwa kufanya hivi.
 
Subiria umri ukupite ukifika miaka 38 na kuendelea wemwenyewe utaanza kuwapenda, na wao watakuwa wanaku2mia miez mi3 thn hawajiskii kuendelea na wewe
 
subconsciously kuna jambo linakuathiri ila hujalijua tu. Linahusiana na maisha yako ya kimahusiano ya kimapenzi. Inatetemea pia ni mazingira gani ulimpatia huyo mtoto. Aidha ulibakwa au haikuwa ridhaa yako kuwa na mtoto. Pengine ulijaribu abortion ikakataa. Cha msingi hii thread yako hapa si mahala pake. Unahitaji ushauri wa kidaktari zaidi
 
Wadau nisaidieni je naweza kuwa na tatizo su ni hali ya kawaida nachanganyikiwa kwani kunuacha.mtu mliekuwa mnapendana anaweza hata kuniloga au kubifanyia kitu kibaya pia nahisi namkosea hata mungu kwa kufanya hivi.
ulipofika hapa ujaeleweka hata wanaochangia wanakufariji tu lakini hakuna anaetambua ulitaka kusema nini .headng imetulia bt conclusion ni zero.
 
Kwa kawaida mtu mwenye tatizo huwa hajitambui sasa wewe unajua na unajitambua kuwa unachofanya si kizuri afu unataka ushauri sioni haja wewe chukua uamuzi wa kuwa na msimamo upate wa kukaa naye otherwise utaishia kupata HIV na kumwacha mwanao hujamwachia chochote cha kujikimu naye aje kuwa chokoraa. Fanya maamuzi na uende kwenye maombi uombewe kama ni mkristo by the way.
Fanya sasa. Nakutakia maamuzi mema
 
Phobia ya kuwa na mahusiano au nymphomania. Whatever yhe case muone shrink.
 
the whole damn thing iko ndani ya uwezo wako - huhitaji ushauri wa mtu yeyote kwa sababu unayajua matatizo yako vizuri zaidi kuliko anybody else
 
habari wana jamii forums me ni mgen kwenye jamvi hli.mimi ni msichana nna miaka 23 nipo chuo mwaka wa pili na nina mtoto.tatizo langu mi kwamba nahisi nina shida katika mapenzi kwani kwa mwaka iliopita nimekuwa ma mahusiano na wanaume watatu kwa nyakati tofauti

Tatizo ni kuwa kiukweli nina bahati cna ya kupendwa na wanaume wa ukweli tu na kila mwanaume nnayekuwa nae huonyesha niaya kutaka kunioa..lakini tatizo nnlilonalo ni kuwa nikikaa na mwanaume kma miezi mitatu tu namuacha bila sababu yyote mpaka sasa kuna b frind ambaye nlikuwa nae mwaka jana tokamwezi wa kumi na hivi naandika nimemkatia mawasiliano sijisikii kuonana nae mkaka alinipenda cna na kunijali kwa kila kitu sasa ananililia kwenye simu ananiomba niende kwake tukaongee km labda kanikosea lakini ukweli hajanikosea ila tu cjisikii kuwa nae tena
Wadau nisaidieni je naweza kuwa na tatizo su ni hali ya kawaida nachanganyikiwa kwani kunuacha.mtu mliekuwa mnapendana anaweza hata kuniloga au kubifanyia kitu kibaya pia nahisi namkosea hata mungu kwa kufanya hivi.

Ha! yaani ndo umeamua kubadili ID na kuja kunizungumzia humu?
Naomba nisamehe kama nimekukosea switie, rudi rudi tafadhali.
 
Asanteni wadau kwa ushauri lakn tatiz langu ni kuwa najifill vibaya kumuacha mtu bila kosa na pia nafikiria labda inawezekana sijampata mtu sahihi wa maisha yangu au nina tatizo lingine.sijawahi kuumizwa mwanaume niliyezaa pia ananipenda ila nae sijui kam nampenda
 
1. Wewe sio mgeni huku jamvini. wageni wote wanabisha hodi
2. Wewe sio mchanga kwenye mambo ya mapenzi....kitendo cha kufikia una mtoto umefuzu kwenye mambo ya kikubwa...age aint nothing..
3. Una matatizo kisaikolojia...unahitaji kuonana na wataalamu wa saikolojia watakushauri vizuri endapo utakuwa mkweli na kuweka wazi matatizo yako....huenda unajiona wewe ni mzuri mno, ubinafsi au dharau na kutochukulia relationship serious issue.

Huna upendo wa kweli na wa dhati kwa hao wanaume unaobahatika kuwa nao. unajenga uhusiano kwa maslahi tofauti au kwa sababu tuu basi mwanamke anatakiwa awe na boyfriend au mwanaume awe boyfriend kama fashion.

Baada ya kusema hayo basi ningependa kuchukua nafasi hii kukushauri kwamba chukulia wanaume wote ni sawa..usijali kipato, elimu au sura. Angalia busara na hekima za mtu na upendo wa dhati. Usichukulie mzaha mzaha inapofikia issue ya mahusiano. badili mwenendo ondoa hisia hasi juu ya wanaume na utafanikiwa kuwa na uhusiano wa muda mrefu au hata wa maisha na mwanaume utakayempenda kwa dhati.
 
1. Wewe sio mgeni huku jamvini. wageni wote wanabisha hodi
2. Wewe sio mchanga kwenye mambo ya mapenzi....kitendo cha kufikia una mtoto umefuzu kwenye mambo ya kikubwa...age aint nothing..
3. Una matatizo kisaikolojia...unahitaji kuonana na wataalamu wa saikolojia watakushauri vizuri endapo utakuwa mkweli na kuweka wazi matatizo yako....huenda unajiona wewe ni mzuri mno, ubinafsi au dharau na kutochukulia relationship serious issue.

Huna upendo wa kweli na wa dhati kwa hao wanaume unaobahatika kuwa nao. unajenga uhusiano kwa maslahi tofauti au kwa sababu tuu basi mwanamke anatakiwa awe na boyfriend au mwanaume awe boyfriend kama fashion.

Baada ya kusema hayo basi ningependa kuchukua nafasi hii kukushauri kwamba chukulia wanaume wote ni sawa..usijali kipato, elimu au sura. Angalia busara na hekima za mtu na upendo wa dhati. Usichukulie mzaha mzaha inapofikia issue ya mahusiano. badili mwenendo ondoa hisia hasi juu ya wanaume na utafanikiwa kuwa na uhusiano wa muda mrefu au hata wa maisha na mwanaume utakayempenda kwa dhati.

Asante kwa ushauri mzuri umenigusa
 
habari wana jamii forums me ni mgen kwenye jamvi hli.mimi ni msichana nna miaka 23 nipo chuo mwaka wa pili na nina mtoto.tatizo langu mi kwamba nahisi nina shida katika mapenzi kwani kwa mwaka iliopita nimekuwa ma mahusiano na wanaume watatu kwa nyakati tofauti

Tatizo ni kuwa kiukweli nina bahati cna ya kupendwa na wanaume wa ukweli tu na kila mwanaume nnayekuwa nae huonyesha niaya kutaka kunioa..lakini tatizo nnlilonalo ni kuwa nikikaa na mwanaume kma miezi mitatu tu namuacha bila sababu yyote mpaka sasa kuna b frind ambaye nlikuwa nae mwaka jana tokamwezi wa kumi na hivi naandika nimemkatia mawasiliano sijisikii kuonana nae mkaka alinipenda cna na kunijali kwa kila kitu sasa ananililia kwenye simu ananiomba niende kwake tukaongee km labda kanikosea lakini ukweli hajanikosea ila tu cjisikii kuwa nae tena
Wadau nisaidieni je naweza kuwa na tatizo su ni hali ya kawaida nachanganyikiwa kwani kunuacha.mtu mliekuwa mnapendana anaweza hata kuniloga au kubifanyia kitu kibaya pia nahisi namkosea hata mungu kwa kufanya hivi.
Miaka 23 tu?, tayari na mtoto unaye! inaonekana ulianza hili game zamani,vp..na baba wa huyo mtoto ulishamtupilia mbali? Au humjui? Ushauri wangu ni kwamba, muogope mungu! acha ufuska na utubu haraka sana!!!
 
at 23 huwezi kuwa umechanganyikiwa
its normal....
endelea tu kuchagua
utampata wa kukutuliza
 
Ndio lile kabla wanalosema hawajui malov dav. akija wa ahadi ya kukujengea pale shambani kwa mzee usimkatae mwaya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom