Don't say you want a real man

EMT

Platinum Member
Jan 13, 2010
14,483
15,308
400233_3136039846743_1437248770_33354070_280634027_n.jpg
 
Ndo mnavyopenda
Wanaenda na swaga zenu
Sasa hivi mwanamke mwenye kipilipili, akipita anatizamwa mara mbili

Hata hivyo, the "thing " is real
That's what matters!!
 
Ndo mnavyopenda
Wanaenda na swaga zenu
Sasa hivi mwanamke mwenye kipilipili, akipita anatizamwa mara mbili

Hata hivyo, the "thing " is real
That's what matters!!

I bet you mean the 'thingy' thing. Hiyo itakuwa real tu.
 
I want a real man because I am a real woman, not because I don't put on fake lashes or use mascara to add volume to my lashes.
 
I want a real man because I am a real woman, not because I don't put on fake lashes or use mascara to add volume to my lashes.

So, who is a real man? Does he differ from a gentleman?
 
Ndo mnavyopenda
Wanaenda na swaga zenu
Sasa hivi mwanamke mwenye kipilipili, akipita anatizamwa mara mbili

Hata hivyo, the "thing " is real
That's what matters!!

Mimi penda huyu. Hata kipilipili hana.
Flaviana-ICE5.jpg
 
Kukubadilisha kwani ukoje sasa?

EMT, nimeshajijua mimi ni fake bora nitafute real man angalau tuneutralize tabia. Lol.
Hivi kama wewe mwanaume mlevi utatafuta mwanamke mlevi? Bora utafute mwanamke ambae si mnywaji ili angalau nyumba isiyumbe. Mi natafuta yule ambae mabaya niliyonayo yeye hana ili tuweze kuoneshana njia sahihi kuliko wote kuwa njia moja.
 
... Its all very subjective , its all in our subjective mind ... let every one choose according to her/his mental making ... Its always very beautifully that way... and add a .. sense of freedom ... and fully satisfaction!!
 
EMT, nimeshajijua mimi ni fake bora nitafute real man angalau tuneutralize tabia. Lol.
Hivi kama wewe mwanaume mlevi utatafuta mwanamke mlevi? Bora utafute mwanamke ambae si mnywaji ili angalau nyumba isiyumbe. Mi natafuta yule ambae mabaya niliyonayo yeye hana ili tuweze kuoneshana njia sahihi kuliko wote kuwa njia moja.

There you go.

chauvinist-guy-man.png


chauvinist-guy-man-2.png
 
Back
Top Bottom