hivi kina umuhimu gani wa hiyo pati,?kama kuna kitu wanajifunza ni nini na kwani nilazima wafanye kwenye ukumbi na watu wengi?uswahilini utakuta kuna watoto na vitu vinavyo onyeshwa si sahihi.je...
Jamani mimi ni kijana wa kiume nimeoa miezi mitatu iliyopita, naomben wadau mnisaidie kina jambo linanitatiza. Mimi kwetu ni Dar es Salaam na wazazi wangu wanakaa Dar es Salaam. Lakini mke wangu...
...hivi, ghafla bin vuu mwenzio anashikwa na dege dege kisha 'anakaukia' kwenye ma-au-nanihii yako...hivi utapiga kelele au 'unakufa' na tai yako shingoni?
Dont ask! ...I don't do 'these'...
Mods please msihamishe hii mana huko mnapopeleka sina access!
Sasa nauliza, ndizi bukoba inaongeza vaginal fluid? Mana there z friend of mine 4rm bukoba alinidokeza kuwa zinachangia sana ndo...
mimi nna mpenzi wangu kwa miaka saba sasa,mimi nipo dar yeye alienda kusini kusoma,kiukweli natoa huduma zote vizuri ata yeye shahidi,siku nikaenda kumtembelea nkamfuma kwenye cmu anajamaa huko...
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Nina rafiki yangu wa kiume,mshikaji wangu sana anasema ana demu ila hamuelewi elewi. Story kwa kifupi iko hivi.. Demu anafanya kazi yake kwenye maeneo ambayo...
Hivi jamani inakuwaje sikuhizi vijana wengi kupenda mabinti walioajiriwa? Mara nyingi vijana hawa shule ni ndogo na wanawadanganyika mabinti kuwa wanafanya na kumiliki biashara kubwa...
Kuna kaka nilikutana naye facebook, tukapeana namba za simu tukawa tunawasiliana vizuri mpaka sasa tumefikisha mwaka mmoja. Wakati nikitafakari undani wa upendo wetu ikaonesha ya kuwa mkaka hana...
Kuna taarifa kuwa wanawake wanaogoza kuwapiga waume zao hasa kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Lindi na Zanzibar. Kama ni kweli nani atapona na nani atawalinda hawa wahanga wa vipigo vya akina mama...
Watu wengi wamejikuta wakijiingiza kwenye mahusiano ya kimapenzi yasiotarajia kisa tu,kaumizwa na boyfnd wake au galfnd wake.Mapenzi ya namna hii huishia pabaya sana,na kuanza kulaumiana,kwanza...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30, ni handsome, mrefu , maji ya kunde. nimeajiriwa. natafuta mwanamkeke wa kuoa awe na tabia nzuri, awe mwenye mvuto. umri kuanzia miaka 25 - 30. awe majiliwa...
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 41. Ninaye mtoto mmoja wa kike ana umri wa miaka 10. Tatizo ni kwamba mke wangu hashiki mimba nyingine. Tumeishaangaika vya kutosha kwa madaktari wa kawaida...
Wadau mi nataka kujua hawa wamasai wanauza dawa za kweli au na wao wamekuwa n ujanja ujanja wa mjini mjini!!!! Manake wamekuwa wengi sana kwenye biashara hii, mliokumbana nao na mkapata vidonge...
Tathmini ya wanachuo waishio na VVU kwa mwaka 2011 kwa vyuo hivi viwili imepanda kulinganisha na mwaka 2010 ambapo UDSM ilikua 0.6%
Sasa hebu ona hii;
UDSM~2.3%
Mzumbe~200+
Kwa takwimu hii...
mamboz wana jf, polen kwa kuimiss jf. Hivi ni kwanini watu wanaweza kumudu kuwa wapenzi "boyfriend na girlfriend" kwa muda wa mwaka au zaidi ya mwaka then wakifunga ndoa hawamalizi hata mwaka...
Helo how are you! Am a boy aged 23 am a unv student at Dar am realy looking for a girlfriend being living in dar age 18-23 for any wishes to be with me please send sms "pm" or you may sms me on...
Wadau hebu tumbizane jamani hivi hizi kitchen Party zinasaidia/zina faida gani (tuwe wa kweli) kwenye kutunza ndoa au tunaliana hela tu,maana mimi mwezi huu nina harusi za ndugu jamaa na marafiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.