Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

hivi kina umuhimu gani wa hiyo pati,?kama kuna kitu wanajifunza ni nini na kwani nilazima wafanye kwenye ukumbi na watu wengi?uswahilini utakuta kuna watoto na vitu vinavyo onyeshwa si sahihi.je...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Jamani mimi ni kijana wa kiume nimeoa miezi mitatu iliyopita, naomben wadau mnisaidie kina jambo linanitatiza. Mimi kwetu ni Dar es Salaam na wazazi wangu wanakaa Dar es Salaam. Lakini mke wangu...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
...hivi, ghafla bin vuu mwenzio anashikwa na dege dege kisha 'anakaukia' kwenye ma-au-nanihii yako...hivi utapiga kelele au 'unakufa' na tai yako shingoni? Dont ask! ...I don't do 'these'...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
NANI KASEMA WANAUME HATUNA KUMBUKUMBU???? Soma hii...... Mwanamke kashituka kutoka usingizini usiku wa manane na kugungua mumewe hayupo kitandani. Mwanamke akachanganyikiwa na kuamua...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Mods please msihamishe hii mana huko mnapopeleka sina access! Sasa nauliza, ndizi bukoba inaongeza vaginal fluid? Mana there z friend of mine 4rm bukoba alinidokeza kuwa zinachangia sana ndo...
0 Reactions
52 Replies
10K Views
mimi nna mpenzi wangu kwa miaka saba sasa,mimi nipo dar yeye alienda kusini kusoma,kiukweli natoa huduma zote vizuri ata yeye shahidi,siku nikaenda kumtembelea nkamfuma kwenye cmu anajamaa huko...
0 Reactions
66 Replies
7K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Nina rafiki yangu wa kiume,mshikaji wangu sana anasema ana demu ila hamuelewi elewi. Story kwa kifupi iko hivi.. Demu anafanya kazi yake kwenye maeneo ambayo...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Hivi jamani inakuwaje sikuhizi vijana wengi kupenda mabinti walioajiriwa? Mara nyingi vijana hawa shule ni ndogo na wanawadanganyika mabinti kuwa wanafanya na kumiliki biashara kubwa...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Kuna kaka nilikutana naye facebook, tukapeana namba za simu tukawa tunawasiliana vizuri mpaka sasa tumefikisha mwaka mmoja. Wakati nikitafakari undani wa upendo wetu ikaonesha ya kuwa mkaka hana...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
..
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna taarifa kuwa wanawake wanaogoza kuwapiga waume zao hasa kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Lindi na Zanzibar. Kama ni kweli nani atapona na nani atawalinda hawa wahanga wa vipigo vya akina mama...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Watu wengi wamejikuta wakijiingiza kwenye mahusiano ya kimapenzi yasiotarajia kisa tu,kaumizwa na boyfnd wake au galfnd wake.Mapenzi ya namna hii huishia pabaya sana,na kuanza kulaumiana,kwanza...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Dah hii ni hatari kwa maisha haya ya kiafrika na Mwenyezimungu hatoonana na watu hawa siku ya Kiama.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30, ni handsome, mrefu , maji ya kunde. nimeajiriwa. natafuta mwanamkeke wa kuoa awe na tabia nzuri, awe mwenye mvuto. umri kuanzia miaka 25 - 30. awe majiliwa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 41. Ninaye mtoto mmoja wa kike ana umri wa miaka 10. Tatizo ni kwamba mke wangu hashiki mimba nyingine. Tumeishaangaika vya kutosha kwa madaktari wa kawaida...
2 Reactions
53 Replies
6K Views
Wadau mi nataka kujua hawa wamasai wanauza dawa za kweli au na wao wamekuwa n ujanja ujanja wa mjini mjini!!!! Manake wamekuwa wengi sana kwenye biashara hii, mliokumbana nao na mkapata vidonge...
0 Reactions
12 Replies
9K Views
Tathmini ya wanachuo waishio na VVU kwa mwaka 2011 kwa vyuo hivi viwili imepanda kulinganisha na mwaka 2010 ambapo UDSM ilikua 0.6% Sasa hebu ona hii; UDSM~2.3% Mzumbe~200+ Kwa takwimu hii...
0 Reactions
42 Replies
5K Views
mamboz wana jf, polen kwa kuimiss jf. Hivi ni kwanini watu wanaweza kumudu kuwa wapenzi "boyfriend na girlfriend" kwa muda wa mwaka au zaidi ya mwaka then wakifunga ndoa hawamalizi hata mwaka...
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Helo how are you! Am a boy aged 23 am a unv student at Dar am realy looking for a girlfriend being living in dar age 18-23 for any wishes to be with me please send sms "pm" or you may sms me on...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau hebu tumbizane jamani hivi hizi kitchen Party zinasaidia/zina faida gani (tuwe wa kweli) kwenye kutunza ndoa au tunaliana hela tu,maana mimi mwezi huu nina harusi za ndugu jamaa na marafiki...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom