mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
Kuna taarifa kuwa wanawake wanaogoza kuwapiga waume zao hasa kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Lindi na Zanzibar. Kama ni kweli nani atapona na nani atawalinda hawa wahanga wa vipigo vya akina mama? Je tatizo ni nini? Je haya ni maendeleo au kutendeana haki au kulipiza visasi ikizingatiwa kuwa akina baba ndiyo walikuwa wakiwadunda akina mama kwa karne nyingi. Je kibao kimegeuka? Kwa taarifa zaidi BONYEZA hapa