Naombeni ushauri wenu wanajamvi, ni hivi kwenye familia yetu ya upande wa mama tumezaliwa watano
wanawake watatu na wanaume wawili , hao wanne wa mwanzo yaani wavulana wawili na hao
wasichana...
Mwenzenu nimehamia Jijini Dar hivi karibuni baada ya kupata kibarua katika taasisi moja ya Serikali. Katika harakati za kutafuta makazi, nilibahatika kuunganishwa na mwenye nyumba ambaye pia ni...
Unapoamua kumfuga mbwa au paka,anakukubali ulivyo,hata uwe huna mguu mmoja,uwe mweusi,uwe na chongo au uwe huna hela yeye hajui hayo anachojua yeye ni kukupenda tu,hawezi kuhamia nyumba ya jirani...
Wadau wa jamii napenda kwanza niwajulie hali habari zeinu bana...
Kuna mtu ananitesa sana anafanya nisijisikie poa coz...nilipokua mdogo yani ile miaka ya kubarehe kuna msichana hapa mtaani...
Umenitoka Moyoni kwa kusema kweli!
nilikupenda sana kuliko mtu yeyote hapa Duniani lakini matendo yako..
yamenichosha sana unipigii simu mpaka uwenashida,uniambii unanipenda mpaka nikiwa...
hivi jamani duniani ni wawili wawili kweli? mbona sielewi/nna mpenzi ananipenda sana ila mm nimetokea kumpenda msichana mwingine mpka nashangaa sijui nifanye nn.msaada plz:A S embarassed::A S...
Siku hizi wanawake wengi wamekuwa artificial, i mean wanapendeza kwa bidhaa za kichina zinazobabilisha mwonekano wao, kuanzia vichwani (mawigi and such stuffs), vipozozi (cream,mapouda n.k) na...
Player ni fataki na hana taswira nyingine ingawaje huificha
Wasifu wake huvuma kwani vigezo vingi huvikamilisha bayana
Mabinti humpapatikia na tamaa yao huwa ndiyo suluba yao
Player ana...
Dubai trip = Kiwanja cha Eka 1 hapo Boko
1 Brazilian Wigi = Mifuko 68 ya
Simenti
1 Handbag ya Jimmy Cho = 10
Tankers of water
1 Quality High Heel shoe = 1 Trailer of sand
1 BB Torch = 1500 Blocks...
Hiv MUNGU acngeweka sheria kwamba Mwanaume/mwanamke utakayekutana nae na kupendana ndo awe huyo huyo mume/mke aliyekupangia ili kuondoa huu uongo uongo uliotawala sahv,mtu anapenda waschana zaid...
Wana jf,hili nimekuwa nikiliwaza sana ni wadada wachache sana ambao unaweza kuwakuta na vifua vyao halisi na vinapendeza...wengine yaani kama ana watoto wa nne vile, kumbe hata ujauzito hajawahi...
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, natarajia kumalieza elimu ya chuo kikuu mwaka huu mwezi wa saba. ninampenziambaye kwa kiasi fulan tunapendana, ambaye yeye kwa sasa anamika 25, kwa bahati...
Nafikiri mmeshawahi kusikia watu wakisema "aah ukikuta mume ametulia mke lazima hajatulia"(and vise vesa) au kauli kama "kwenye miti hakuna wajenzi".Yote haya yanatokana na watu kupata...
Ule msemo wa 'people get the president they deserve' (watu hupata rais aliye stahili yao) una ujumbe muhimu katika MMU. Kama una mpenzi ujue yeye ndiye stahili yako. Hivyo, acha kudai eti oh huna...
Oooooh ooooh
I never needed you to be strong
I never needed you for pointin' out my wrongs
i never needed pain,i never needed strenght
My love for you was strong enough you should've known.
I...
...jamani mara moja moja kujipendelea muhimu. Hizi Romantic Retreats zinasaidia kupunguza usongo wa mawazo kwa wanandoa. Hakuna cha kusema '...Ooh, mambo ya wazungu hayo!'...Picha zote hizi ni...
Wabongo kwa kupeana moyo! Oh haijalishi mwili wako ukoje mradi una kidude cha kufanyia.
Oh haina shobo mradi mwili wako msafi na maneno mengi ya kupeana moyo na kufarijiana. Inakuaje sasa
kua...
Kwa mfano inatokea mkeo au mpenzi wako anakuletea taarifa kwamba ameteuliwa na kampuni anayofanyia kazi akasome nje ya nchi, inaweza ikawa Marekani, Canada au kwingineko ambapo itamlazimu akae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.