Habari za Weekend wana MMU,
Kuna swali nimelisikia jana wakati tuko kwenye party kuna jamaa alikua ana muliza mpenzi wake"Eti nani zaidi kwenye
sita kwa sita mimi au hao walio pita mwanzo...
Kwa wale waliooa, kupata tendo la ndoa ni haki ya kimsingi! Ikitokea mwenzio hakupi haki hiyo, basi unawezakwenda mahakamani kudai haki yako!
Mahakama yaweza kufanya nini?
Kwanza itatamka wazi...
Jamani nafahamu kuwa Jamii forums ina wadau wengi tena wenye taaluma tofauti na nyazifa mbalimbali. Mimi kwa taaluma ni Mwalimu, namalizia my first degree (Bed. Science (Chemistry & Biology))...
Ninahitaji rafiki wa kike aliye mstaarabu umri kati ya miaka 18 hd 25,dini na kabila sio kikwazo ila awe mtu asiyjichubua au kutumia vipodozi hatarishi. mtu ambaye sio tegemezi na anayejituma...
Msema ukweli kipenzi cha Muumba hivyo sikani!
Ya kuwa mie nawe tulikuwa beneti sana tena sana!
Nakumbuka tulivyokutanishwa na aliyetutambulisha!
Unyenyekevu wako ulinikoga na Kiswahili kuniyeyuka...
Walionena kuwa mapenzi ni ya wawili waliona mbali. Tena mbali sana. Wengi hujaribu kuomba ushauri hapa na pale, huku na kule lakini haisaidii kwa kuwa huwezi kueleza kilichojiri kati yako na...
Hebu wana JF tujadili hili,mnapoanza mapenzi kila mtu anakua na matarajio yake.maana hua ameumba picha ya aina ya mwenzi anaemuitaji akilini mwake.Na mnapoanza kujuana deep huku msha du ndo...
Wana wa Bodi , habarini za usiku.
Mwanamke iwe mnafanya kazi pamoja, au umesafiri nae, ama iwe mmeshazoena kwa muda.
Na ikawa hujamtongoza, mtaongea vizuri na atakua kawaida.
Mistake pale...
Baada ya shutuma kali kuhusu dhana ya kwamba mapenzi bila pesa yamekufa sasa nimerudi na dhana ya mapenzi bila kuaminiana yamekufa. Ndio. Love without trust is dead. Au ukipenda unaweza kuiweka...
Hii nimeikuta kule kwa wavuti.com. Mtoto wa kike hata kiss hataki. Hata hug hataki. Lakini mtoto wa kiume bado ni king'ang'anizi tuu. Haondoki. Anasukumwa, anaanguka lakini bado yupo tuu. Mtoto wa...
Hii nimeinyaka kwenye gazeti la 'mwananchi' la leo uk 11:
AUAWA BAADA YA KUFUMANIWA
Joseph Lyimo,Kiteto
mkazi wa kijiji cha Weza wilayani Kiteto mkoani Manyara ameuawa kwa kuchomwa visu mwili...
Sina shida ya kumuwaza mtu kila mara sababu huwa nawaza watu 7 ama 8 kwa mpigo.
Yaani naweza mkumbuka mmoja kwa ucheshi, hapo hapo nikamkumbuka mwingine jinsi alivo handsam,
huku nikimkumbuka...
Elton John Nikita - YouTube
Hey Nikita is it cold
In your little corner of the world
You could roll around the globe
And never find a warmer soul to know
Oh I saw you by the wall
Ten of your...
siku hizi bwana karibia kila msichana ambaye utamtongoza atakwambia umechelewa nimeshawahiwa....hivi hili linaukweli au ndio njia siku hizi wasichana wameamua kuitumia kuwakwepa wanaume
habari zenu wote humu ndani...mm ni mschna tangu nimeolewa ni mwaka mmoja tu! cjawah kugombana na mume wangu hata cku moja! nawapenda wifi zangu na shemeji zangu pia! jinsi ninavyoishi nao ni kama...
Ni miaka sita sasa tangu niishi na mpenz wangu ninaempenda kwa dhati.lakini naona ameanza kunibadilikia.ni kawaida yetu kuonana kila weekend.lakini cku hizi hana mda wa kuonana na mm,cmu...
Hivi kwann mke wa mtu, kwa nini Mume wa mtu?!?!?!
Starehe ya mda mfupi hiyo kumbuka, na ni kwamba unashindwa kucontrol ur desires!!!aaggggrrrrrrhh,achaaaa!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.