Mi ni mvulana,umr miaka 24 np chuo kikuu natafuta marafiki wa kike..lengo ni kubadilishana mawazo.sibagui dini,kabila,elimu wala rangi..#ya cm 0714644512 sms zote nitazjib.ahsante.
Uko chuoni hakuna wanawake wa kuchat nao? By the way kwa nini huo muda wa kutaka kuchat usiutumie kusoma?
Mpaka umri huo huna marafiki facebook huijui au umetumwa uje kutumalizia members huku.Mbona mwandiko wako unaonekana mzee wewe wacha kudanganya watu