Nimekuwa nikimshauri ni nini ninahitaji yeye afanye: Awe humble, awe anaongea na mimi sauti ya chini, awe ananisikiliza kile ninachoongea na hata kama ni kukanusha/kukosoa basi awe anafanya...
Nimekuja kugundua wanaume wengi ni wafuasi wa punyeto.
Baadhi yao wameoa na wengine ni ma single.
Punyeto husababisha unafika kilelen mapema na unachoka kabla mwenza wako hajafika kileleni...
Inapotokea mtu akawa msaada kwa mtu mwenye shida fulani mara nyingi utasikia maneno kama 'nisaidie nikusaidie' sana sana kwa wanaume.
wengi ambao wanakuwa wameonelea kwamba hawana jinsi...
wadau,mi waifu wangu sio mtu wa mitandao kabisa japokuwa ni graduate na ana kazi yake.hata acc fb hana,anapenda vitu simpo simpo sana kasoro kuvaa ndo anapenda avae vizuri.amekuwa akiniona mi...
Ni mwaka wa tatu ama wa nne hivi toka mume wa wifi yangu atengane na mke wake. Hawa watu waliona kanisani tena kwa hiyari yao. Hadi hivi sasa wana watoto watatu wazuri tu. Mkubwa yuko chuo Kikuuu...
Haijawahi kutokea mkoa na hasa jiji hili kupata harusi kubwa na yenye shamrashamra kebekebe kama ya leo.
Member mwenzetu YNNAH ametoroka rasmi kambi ya mabachela. Bila kumung'unya maneno...
Kwa moyo mkunjufu napenda kuwasalimuni nyote mabibi na mabwana...................!!!!!
Fridays are the hardest in some ways:u're so close to freedom (ngoja niwawahi kabla kila mtu hajaanza hii...
Habari zenu wana MMU.kwa mara ya kwanza nawashirikisha ktk siku hii muhimu kwangu;siku ya kuzaliwa kwangu ambayo mimi kadoda11 niliwasiri Duniani.Ilikuwa ni alasiri ya alhamisi,tarehe 19 mwezi wa...
Kama kuna mtu anaweza kunipa ufafanuzi kidogo, jinsi ya kupata passport ya kusafiri.... nimejaribu kuingia website ya wizara ya mambo ya ndani ila haifunguki kabisa... labda kama kuna mtu anaweza...
Kuna jamaa yangu kaniomba ushauri nikasema ni vzr nilifikishe hapa mezani wanaJF walichambue!
Huyu mshkaji ni mwalimu wa chuo Kikuu fulani ana Masters yake nzuri tu! ila ni yanki tu hata 30yrs...
Kimaumbile inaelezwa kwamba, mwanaume hahusishi tendo la kujamiiana na kumpenda mwanamke. Kwa mwanaume, kupenda ni jambo moja na tendo la kujamiiana ni jambo lingine. Hii ni tofauti na wanawake...
1. Umepatwa na ugonjwa wa zinaa, unaulizwa ilikuwaje umeukwaa wakati ulionekana ukinunua kondom??? Jibu,..... Kondom ilipasuka, (moyoni unajua fika kuwa kondom uliisunda chini ya mto)
2. Umempa...
Katika pitapita yangu nimegundua kuwa wanawake/wasichana hawajui vizuri mzunguko wa hedhi zao, na hii inapelekea kuwa na hofu ya mimba kila wakati na pengine kupata mimba. Inafika kipindi nawapa...
Ni matumaini yangu wote mu wazima wa afya na mnaendelea vema na majukumu yenu ya kila siku.
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka. Nimeamua kuwa na aina tofauti ya kufunga na kuanza mwaka...
Kama kuna kitu ambacho huwa napata tabu kukielewa ni hiki cha mtu kumrudia X wake hasa baada ya kumuacha kwa vituko vya kila aina.
Kuna kesi moja ilitokea kati ya binti na jamaa yake. Walikuwa...
What was meant to be a moment
of joy for a bride in Wante Village
in Mayuge District (about 125km
southeast of Kampala) turned into
sorrow after her groom arrived on
a boda boda (motorcycle)...
Kwa wale wanao kumbuka Garage party party one, watakuwa walifurahi sana kwa nondo zangu za ukweli na zisizo na chembe ya shaka. Leo vijana nakuja na hili,
Seriously, Usioe mwanamke ambaye...
Waungwana khali zenu,
Leo nakuja na maada ambayo inaigusa jamii hasa ya waliokwenye mahusiano
(kwa maana ya mapenzi) mjadala huu umetawala hisia za wengi na hata Toleo la juzi la RAIA Mwema Toleo...
Habari za ijumaa?
Inawezekana kwa kijana wa kike au wa kiume kuwa na rafiki aliyekuzidi sana umri?,kwa mfano wewe una miaka 15 halafu rafiki yako let's say ana miaka 28,is it...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.