Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,883
- 2,763
Katika pitapita yangu nimegundua kuwa wanawake/wasichana hawajui vizuri mzunguko wa hedhi zao, na hii inapelekea kuwa na hofu ya mimba kila wakati na pengine kupata mimba. Inafika kipindi nawapa lekcha hadi wanakubali kana kwamba utadhani mi ndio ninayo hiyo period. Nafikiri kuwe na kampeni ya kitaifa kuwaamsha mabinti kujua mizunguko yao na si kutumia haya madawa ambayo mwisho wa siku ni masaratani tu, tena ya kizazi