Toria
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 1,177
- 700
Kwa moyo mkunjufu napenda kuwasalimuni nyote mabibi na mabwana...................!!!!!
Fridays are the hardest in some ways:u're so close to freedom (ngoja niwawahi kabla kila mtu hajaanza hii freedom kwa style yake)
"Nilikua nipo nipo kwanza" lakini nimeanza kufikiria kutokuwepo tena (though ubachelorette una raha zake)
Sasa bwana katika kulifanya hili liwezekane (ni pamoja na kumshirikisha Mungu) nimejaribu kuangalia walionizunguka magalasa,reserve zangu and the king of the jungle mwenyewe. Among kuna mu-east africa mmoja i must admit tumesoshalize tu vyema all the way na kanifanya nifikirie kuvuka boda tujenge familia ya mganda na mtanzania.
Ila zaidi ya kumjua yeye sijui tamaduni,mila na desturi za huko kwao and of course siwezi kumwuliza huyu mtu niexpect ataniambia ukweli kama hazipo so friendly.
So please does anyone knows waganda vizuri labda kama wana vitu flani flani hivi complicated kabla sijakurupuka mie!!!!
Fridays are the hardest in some ways:u're so close to freedom (ngoja niwawahi kabla kila mtu hajaanza hii freedom kwa style yake)
"Nilikua nipo nipo kwanza" lakini nimeanza kufikiria kutokuwepo tena (though ubachelorette una raha zake)
Sasa bwana katika kulifanya hili liwezekane (ni pamoja na kumshirikisha Mungu) nimejaribu kuangalia walionizunguka magalasa,reserve zangu and the king of the jungle mwenyewe. Among kuna mu-east africa mmoja i must admit tumesoshalize tu vyema all the way na kanifanya nifikirie kuvuka boda tujenge familia ya mganda na mtanzania.
Ila zaidi ya kumjua yeye sijui tamaduni,mila na desturi za huko kwao and of course siwezi kumwuliza huyu mtu niexpect ataniambia ukweli kama hazipo so friendly.
So please does anyone knows waganda vizuri labda kama wana vitu flani flani hivi complicated kabla sijakurupuka mie!!!!