Hivi kwanini mwanamke akikosea na ukianza kumrekebisha anaanza kukumbusha mambo ya kuumiza ya nyuma na mengine hujawahi fanya? mara mie naondoka tafuta mwanamke asiye na makosa, mara naenda...
habari zenu wana jamvi..... samahani jamani naombeni msaada wa mawazo mimi natumia skype kama mwezi mmoja hv kuna mzungu mmoja akashare contact na mimi tumeendelea mpaka tukaanza relation za...
Jamani kuna mwanaume alikuwa akilalamika eti kuna mtu kamrusha elfu kumi ataenda kumkatakata na panga mi mkamwambia mbona hiyo hela siyo kubwa kihivyo kwani yeye ni mwajiriwa sehemu fulani na ana...
Pata
Nyumba ya familia moja huko mtaa wa ugombolwa Kata ya Segerea ikiwa inateketea kwa moto usiku huu mara baada ya Baba wa familia hiyo kuhisi kuwa mke ana mahusiano ya kimapenzi...
quit bad habit Kama vile kusema uongo,zinaa, kulewa sana, (uvivu,) kupiga ok mmenielewa i want to be a good boy
good health mazoezi (1 to2 hours 4days a week), kula vizuri.
kujifunza mambo mapya...
Kila mwanaume amekuwa asisema lake kutokana na maumbo ya wanawake.je wewe mdau unasema nini? Upande wangu nimekutana na haya.
1.Mwanamke mrefu mwembamba- mashine yake nayo ndefu sana...
wadau,hasa kwa wale mliooa na kuolewa,na wengine wote kwa ujumla,wikend iliyopita nilikuwa napiga stori na waifu,baada ya kuniambia ananipenda sana akasema,siku akijua nina mcheat ataniwekea sumu...
Wakuu,
hali hii hunipata mara kwa mara panapo tokea mkwaruzano kwa Ke
ninaempenda. Hata kosa dogo tu nimekua nakasirika hadi mapigo ya moyo
huongezeka.
Je, nifanyeje ilikuepukana na hali...
kwa kuwa huwa sipati wasaha wa kuingia PM kwa muda huu nitajibu chochote kuhusu mimi kwa mwenye swali linalonihusu ama amekuwa akijiuliza swali kuhusu mimi bila majibu.
pia swali linaweza kuhusu...
Wanajamvi hi kwenu eti kna mwanaume tulikuwa tunakaa jirani nyumba ya kupanga kama miaka 6 iliyopita. Kipindi hicho alinitongoza akitaka tuu papuchi na siyo otherwise mie mkakataa na baadae...
wadau nataka kupata uzoefu kidogo,jamaa yangu mmoja analalamika kuwa amekuwa na mahusiano na mpenzi wake kwa mwaka mmoja na nusu sasa,imefikia hatua wametambulishana na amemvalisha pete ya...
Mhhhh! Baada ya kuwa mpweke kwa muda mrefu, uzalendo ulinishinda nikaamua angalau na mimi nitafute binti wa kuniliwaza. Mchakato huu ulianza kwa binti mmoja ambaye tulikutana kwenye dala dala...
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Namshukuru Mungu kwa kudra zake mpaka leo nakuja kuandika hapa. Sasa bwana bado nakomaa na jiji! Tutabanana hapa hapa! Huku na...
Nasikitika nimepata taarifa za kunishtua cha kifo cha rafiki yangu tulikuwa sote kitambo udsm, amefariki baada ya kuwekea sumu kwenye beer, mshikaji alishaoa ila inasemekana alikuwa anatoka na mke...
Embu niambieni bandugu mnapendelea mwanamke wa aina gani kati ya hawa unapotongoza?
1) Yule ambaye anakukatalia na kujibu kashfa na matusi huku akifoka unapomtongoza?
2) Msumbufu na umempata...
Habari zenu. mwenzenu ninabwana nampenda sana kiumri ana miaka 55 na yeye ananipenda kupita maelezo lakini kuna tatizo moja ambalo kidogo huwa linanirudisha nyuma pale kwenyekunanihiliu dakika...
Umepata binti wa kibongo mkawa kwenye urafiki yeye ameajiliwa mjini amepanga chumba ndugu zake wanakaa mwanza na ameishakwambia kule kuna shangazi tu na baadhi yandugu lakini uwezo wao kimaisha ni...
MAPENZI KWA HISANI YA WHATSAPP...CHEZEA
WEYE
MKAKA: Hello Babe.... (11:45pm)
MDADA: (last seen at 11:46pm)
MKAKA:Nijibu tafadhali ( 11:50pm)
MDADA: (last seen at 11:52pm)
MKAKA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.