Mwanamke anaposema anachezewa!

Mwanamke anaposema anachezewa!

sirluta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2012
Posts
6,324
Reaction score
2,494
Hivi mwanamke anaposema "unamchezea" yupo sahìhi kweli wakati wote mnavua chupi?
 
Mods peleka hii MMU naona kijana keshaharibu anataka kutiwa moyo
 
Jamani jamani na wewe umeanzisha thread.... Hii ina mahala pake naona wewe bado mgeni unatakiwa ujifunze kwanza humu ndani vitu vinaendaje
 
Hata mimi hili huwa linanichekesha sana! Eti umemchezea? Nimekuchezea kivipi wakati wote mnagegedana tena mwanaume ndiye anaye-loose energy zaidi, sasa hapo ni nani kachezewa mwanaume au mwanamke?
 
humfikishi! unalambalamba unamwacha! kilele cha mt. k'njaro humfikishi! umeelewa? haya kafie mbele nenda kwa waliokufunda wakakufunde vizuri! malabuku!:crazy:
 
Sijawah kusikia hiyo kauli toka kwa mwanaume mkuu!
 
Pili pili Kichaaa huwa unatumia kinywaji gani? Mana nilikuwa nataka nikualike ikiwezekana. Huyu dogo amenifanya nijiulize maswali mengi sana kabla ya kufikiria kumjibu. Halafu nikahisi nitamkomaza na hii mineno yangu. Mana kwa mwanaume rijali na mwenye akili timamu, anaweza akaangua kilio akiambiwa na mwanamke kuwa amemchezea.

SENKYU VERY MUCH KWA KUNIFUNDIA MWALI WANGU
 
Pili pili Kichaaa huwa unatumia kinywaji gani? Mana nilikuwa nataka nikualike ikiwezekana. Huyu dogo amenifanya nijiulize maswali mengi sana kabla ya kufikiria kumjibu. Halafu nikahisi nitamkomaza na hii mineno yangu. Mana kwa mwanaume rijali na mwenye akili timamu, anaweza akaangua kilio akiambiwa na mwanamke kuwa amemchezea.

SENKYU VERY MUCH KWA KUNIFUNDIA MWALI WANGU

usipende kuongea utumbo mwingi kabla hujaelewa swali...... anachouliza ni kwamba uko na demu miaka kadhaa kwenye urafiki ila unapomuacha ndo malalamiko ya kwamba ulikua unamchezea yanaanza kuja sio kwa cku iyo mliyotoka ku do!!!

jibu langu!!! ile ni desperation tu ya kutaka usimuache hamna la maana hapo kama ushapiga moyo konde yaishe we tupa kule plea zote izi akajipange upya!!!
 
mh...umemchezea au mmechezeana???kwani yeye ulikuwa unamfunga kamba mikono??
 
Hivi mwanamke anaposema "unamchezea" yupo sahìhi kweli wakati wote mnavua chupi?


Hayupo sahihi kama Malengo yenu nyote ni mamoja na yupo sahihi Kama mwenzio anasubiria ndoa wewe Unampotezea muda huku ukijua huna lengo la Kumuoa.
 
Back
Top Bottom