Natafuta / Nataka Kampani !!!

Natafuta / Nataka Kampani !!!

Ndeye

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2013
Posts
214
Reaction score
82
Ni matumaini yangu wote mu wazima wa afya na mnaendelea vema na majukumu yenu ya kila siku.

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka. Nimeamua kuwa na aina tofauti ya kufunga na kuanza mwaka. Natafuta kampani awe ke au me awe anauwezo nami na uwezo wangu wa kushare chochote kama drinks na maongezi yaendane pia. kama utakuwa me naomba uwe walau una 38 yrs najua hakutakuwa na mambo ya kihuni huni. Pia tutashauriana tutaenda wapi. Karibu kwa aliye siriaz tu.

Nawasilisha.
 
Angalia posts za watu,utakayependa posts zake mPM muwasiliane,it will be easier for you.but remember
know your enemies,watch your friends.
 
Angalia posts za watu,utakayependa posts zake mPM muwasiliane,it will be easier for you.but remember
know your enemies,watch your friends.

Sijui nianze na wewe, ila ngoja kwanza.
 
haya wengine tupite tuuu hatuna elaaaaaaaa.ipo ya kununulia bando tuu.vinywaji mhh labda soda na maji madogo...kila la heri na utakao wapata..
 
Haya jamani fursa ndio hizooo changamkieni sio oooh mimi sina bahati na sikukuu hii yote sijapata mwaliko . Mwaliko huoooo umejileta wewe tu ushindwe kutimiza vigezo kama uko under 38 imekula kwako .
 
Hamjui siku zinaisha, au zereu? ni wachache wamejitokeza nataka muwe wengi ili nichague vizuri lol. sitaki zereu mjue au hamna hela?
 
Hamjui siku zinaisha, au zereu? ni wachache wamejitokeza nataka muwe wengi ili nichague vizuri lol. sitaki zereu mjue au hamna hela?
Tatizo hujasema uko wapi maana mtu anaweza kua na nia lakini hajui Yuko umbali gani toka ulipo wewe. Sema upo mji/jiji gain?
 
Tatizo hujasema uko wapi maana mtu anaweza kua na nia lakini hajui Yuko umbali gani toka ulipo wewe. Sema upo mji/jiji gain?



Oooooh!!! kumbe. Nipo Bongo Dsm.
 
kaama ni ke awe na umri gani? maana nahitaji kampani pia.
 
Lakini wahuni wapo kuanzia miaka 3 mpaka miaka 100 umri sio kigezo cha uhuni bali uhuni ni tabia isiojalisha umri.Utapenda tujumuike wapi?
 
kaama ni ke awe na umri gani? maana nahitaji kampani pia.

Kwa upande wa ke walau awe anaanzia 30 yrs maana najua umri huo wengi ni waelewa na wako vizuri. Pia kuna mengi ya ku-share kama. Ujasiriamali, kazi, biasharasha, maisha na n.k.
 
Lakini wahuni wapo kuanzia miaka 3 mpaka miaka 100 umri sio kigezo cha uhuni bali uhuni ni tabia isiojalisha umri.Utapenda tujumuike wapi?

Maelewano yatakapofikiwa hata chombo chaweza jazwa wese na kwenda nje ya mji pia yawezekana.
 
Back
Top Bottom