Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Rejea tu kichwa cha habari hapo juu na karibu katika kuchangia.
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Wasalaam wana Jf...... Sijui kama hili ni tatizo ama ni hali ambayo inanitokea kutokana na mengi mabaya niliopitia katika mahusiano yangu. Ni kweli mimi ni mwanaume lijali...
0 Reactions
62 Replies
9K Views
Kheri ya Noeli kwa wana familia wa jamiiforums. Tuombeane kheri ili panapo Majaliwa ya Mwenyezi Mungu tuone mwaka ujao. Kama wahenga walivyosema, "ukubwa dawa". Kuna ndugu na rafiki yangu kaja...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Kuna mgogoro wa kimaslahi kati yangu na mke juu ya mwelekeo wa kiimani wa watoto wetu, hii ni kutokana na sisi wazazi kuwa na dini tofauti Wakati mwingine watoto hawa huudhuria ibada kwenye dini...
0 Reactions
176 Replies
19K Views
A lady 27 yrs of age,beautiful,God fearing,educated,employed,n classy,but still single with no hope of getting her Mr right..Deep down inside my heart i see myself a wife material n i envy any man...
0 Reactions
131 Replies
13K Views
Mwanaume akimtongoza demu, pia huwa haonyeshi kuwa amekufa kiviile akiamini kuwa, demu atamsumbua. Hali kadhalika demu aliyetongozwa nae huwa haonyeshi amemshobokea jamaa kwani anaamini...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu kaka, dada, mama na baba zangu. Jana nilitoka out na msichana wangu (nategemea kumfanya mke) nikampeleka mahali Fulani penye hadhi kidogo kwa chakula cha jioni, basi katika story za...
5 Reactions
180 Replies
23K Views
Mwanaume wa Tanzania akitongoza akijbiwa maneno machafu nae anatoa maneno machafu. Mwanaume wa kizungu akijbiwa maneno machafu ananyamaza anazidsha upendo mpaka unaona aibu kwanini ulikuwa...
0 Reactions
95 Replies
12K Views
Tuwasiliane kwa sekenemboh@gmail.com
0 Reactions
0 Replies
1K Views
umewah kuwatch cartoons ukalia. mi nliwah inaitwa alvin and chimpmunks- the chipmunks adventure. we inaitwaje ilokutoa machoz?
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Nina mchumba nilimpata humu humu jf ila nahitaji marafiki wa kike kwa ajiri ya kushauriana...kuelekezana kimaisha n.k Wenye elimu kuanzia STD VII na kuendelea hasa ndio hitaji langu. Ni pm...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hii ni habari mbaya kwa wale wenzangu na mie msiotaka kufunga ndoa hadi utie mimba kwanza kwa kuogopa kuuziwa mbuzi kwenye gunia... Muongozo huo ulitolewa na kanisa moja mjini mbeya (jina kapuni)...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Kutokana na sababu kadha kwa kadha unaweza kujikuta upo ndani ya uhusiano ambao hauna future yeyote,yaani unakuwa na mwanamke kwaajiri ya kupasha ring tu... Sasa hapa nilichokiona kwa.muda sasa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wote wanajukwaa nawakalibisha tushelehekee pamoja x mass
0 Reactions
6 Replies
2K Views
ANGALIZO LA LEO Mkeo akisema atatoka na Watoto tu kwenda beach. using'ang'anize kuungana nae, huenda watoto wanaenda kuonana na Baba yao. Si mnajua tena mambo ya 49% ya dna
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Nimeona mada nyingi humu zinazingumzia masuala ya kulea watoto wasio wao na kusingiziwa watoto, mara nyingi mwanamke humsingizia mtoto mwanaume yule mwenye malengo nae au mwenye uwezo wa kulea...
2 Reactions
11 Replies
6K Views
Mimi ni mwanamke, nina mtoto mmoja i am 32, nilitengana na mume kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu nimeamua kutumia jf kutafuta mwenza maana walio mtaani ndo hawa hawa walio JF aliye tayari...
3 Reactions
37 Replies
8K Views
Mie Kijana natafuta marafiki Wa kike wakubadirishana mawazo miaka 17-35 0765294111
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana JF, Kuna kitu huwa kinanichanganya hasa kuhusu kuoa au kuolewa yaani ndoa.Si mara moja wala mbili nimekuwa nakatishwa tamaa na kujihoji je huwa upo ukomo wa mapenzi ? Kuna mashauri...
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Emmanuel MichaelkmNapenda nitoe maneno yafuatayoMtu mwenye sifa zifuatazo anafaa kuwa mke wangu au mkeo au mmeo 1.Awe mwenye heshima 2.Anaye mjua mungu japo mara moja kwa wiki 3.Asiwe mwepesi...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Back
Top Bottom