angalizo kwa wake zenu sikukuu hiz

angalizo kwa wake zenu sikukuu hiz

Mh! Inawezekana kuna kaukweli fulani.
 
kwa hali hii unadhani wanaume tutaacha kufa mapema kwa presha na strec na mishtuko
 
Hivi tuwape nini wanawake ili waache kutuchanganyia habari?
 
Haha mbona wengine tunawaaga wenza wetu tunaenda bar kupata mbili Tatu na washkaji kumbe tumeshaipanga michepuko tuonane nayo...
 
Kuna mzee moja jirani yangu.. asubuhi ya leo nimempa lifti kufika shekilango akasema smahani naomba unsimame kuna watu nawachukua... kusimama akainga mdada na watoto wawili akanitambulisha kama mke wake na wale watoto zake... wakati mke wake na watoto watatu kawacha nyumbani. Sikutia neno nikasalimia kama sijui kinachoendelea.
 
ANGALIZO LA LEO
Mkeo akisema atatoka na Watoto tu kwenda beach. using'ang'anize kuungana nae, huenda watoto wanaenda kuonana na Baba yao.
Si mnajua tena mambo ya 49% ya dna

haaaahaaaaa xo amz'"
 
Back
Top Bottom