ibra87
R I P
- Jul 22, 2015
- 5,614
- 5,351
Wasalaam
wana Jf......
Sijui kama hili ni tatizo ama ni hali ambayo inanitokea kutokana na mengi mabaya niliopitia katika mahusiano yangu.
Ni kweli mimi ni mwanaume lijali na kunawakati huwa nahitaji kuwa na mpenzi. Lakini nina tatizo kubwa. Tatizo lenyewe lilianza kipindi ambacho nilikumbwa na Misukosuko Ya kimahusiano na Kimapenzi. Misukosuko niliyopitia katika Mahusiano Ya kimapenzi niliyopitia nadhani ndio Sababu kubwa Ya Kutokewa na Hali hii ya Kutokutamani Tunda.
Nimejaribu kuingia katika Mahusiano kadhaa wa kadhaa na katika mahusiano hayo nimejikuta nikiwa mkali, mkorofi na Jeuri kwa niliyenae. Inafikia kipindi nashindwa hata kuitawala hasira yangu.. Nakuwa na Majibu ambayo hata wakati mwingine yananishangaza mpaka mimi Mwenyewe.
Naweza Nikawa naingia katika Mahusiano Ya kimapenzi lakini linapofikia Suala la Kugegeda nakuwa mtu tofauti kabisa.. Naonekana kama mtu ambaye sikuwa katika hali hiyo.. Kila msichana ambaye nilifanikiwa kuwa nae katika kipindi ambacho nilitoka kuumizwa nilijikuta nikishindwa kukutana nao kimwili kwa kuwa sikuwa nahisia kabisa juu ya Mapenzi.... Nilikuwa nikiwaonea huruma waliokuwa Wanalia kwa Ajili Yangu. Nilikuwa nikijaribu kwa hali na Mali kuondokana na Hali hii lakini Nimeshindwa...
Nahitaji kuingia katika Mahusiano lakini naogopa kumuumiza mtu
natamani kuwa na mpenzi kwasasa, lakini naogopa kutesa hisia za mtu...
Nimekuwa Ibrah wa Ajabu, nimekuwa Ibrah wakujitenga na Watoto wa kike... Imefikia hatua kuna binti anakuja mpaka kwangu na kuingia ndani. Atafanya kila Aina Ya kitu lakini Bado ibrah nitabaki kumuangalia tu... Atanifanyia kila kitu huku akiliona gegedo likiwa wima lakini kuna Maneno niliyowahi kutamkiwa katika mahusiano niliyopitia nikikumbuka tu basi palepale roho huingia nyongo na Kutamani kumfukuza.
Nateswa na Hali hii, nasumbuliwa na Hali hii. Nahitaji msaada wa kitaalamu au ushauri utakaonifanya niondokane na Hili tatizo kwani kunakipindi natamani kuwa na Mtu lakini maneno ya Kejeli na dharau kwa waliokuwa wapenzi Wangu yananiumiza na Kunitesa sana.
Nahitaji kutoka ndani Ya Minyororo Hii lakini nashindwa. Nashindwa kusimama kwa miguu Yangu naombeni msaada Wenu katika Hili.....
Hasira, dharau, kiburi vinanifanya nionekane ni mwanaume watofauti...
Naombeni Wana Jf wenzangu mnisaidie kunitoa katika hali hii..nahitaji kuwa na mwenza lakini sipo tayari kumuumiza Mwanamke aliyenipenda kwa Moyo Wake Wote...
Ingawa moyo Wangu Unahisia juu Ya Mapenzi lakini Kwenye Suala la Tendo ndio Sina Hamu kabisa
NITATOKAJE KATIKA HALI HII?
wana Jf......
Sijui kama hili ni tatizo ama ni hali ambayo inanitokea kutokana na mengi mabaya niliopitia katika mahusiano yangu.
Ni kweli mimi ni mwanaume lijali na kunawakati huwa nahitaji kuwa na mpenzi. Lakini nina tatizo kubwa. Tatizo lenyewe lilianza kipindi ambacho nilikumbwa na Misukosuko Ya kimahusiano na Kimapenzi. Misukosuko niliyopitia katika Mahusiano Ya kimapenzi niliyopitia nadhani ndio Sababu kubwa Ya Kutokewa na Hali hii ya Kutokutamani Tunda.
Nimejaribu kuingia katika Mahusiano kadhaa wa kadhaa na katika mahusiano hayo nimejikuta nikiwa mkali, mkorofi na Jeuri kwa niliyenae. Inafikia kipindi nashindwa hata kuitawala hasira yangu.. Nakuwa na Majibu ambayo hata wakati mwingine yananishangaza mpaka mimi Mwenyewe.
Naweza Nikawa naingia katika Mahusiano Ya kimapenzi lakini linapofikia Suala la Kugegeda nakuwa mtu tofauti kabisa.. Naonekana kama mtu ambaye sikuwa katika hali hiyo.. Kila msichana ambaye nilifanikiwa kuwa nae katika kipindi ambacho nilitoka kuumizwa nilijikuta nikishindwa kukutana nao kimwili kwa kuwa sikuwa nahisia kabisa juu ya Mapenzi.... Nilikuwa nikiwaonea huruma waliokuwa Wanalia kwa Ajili Yangu. Nilikuwa nikijaribu kwa hali na Mali kuondokana na Hali hii lakini Nimeshindwa...
Nahitaji kuingia katika Mahusiano lakini naogopa kumuumiza mtu
natamani kuwa na mpenzi kwasasa, lakini naogopa kutesa hisia za mtu...
Nimekuwa Ibrah wa Ajabu, nimekuwa Ibrah wakujitenga na Watoto wa kike... Imefikia hatua kuna binti anakuja mpaka kwangu na kuingia ndani. Atafanya kila Aina Ya kitu lakini Bado ibrah nitabaki kumuangalia tu... Atanifanyia kila kitu huku akiliona gegedo likiwa wima lakini kuna Maneno niliyowahi kutamkiwa katika mahusiano niliyopitia nikikumbuka tu basi palepale roho huingia nyongo na Kutamani kumfukuza.
Nateswa na Hali hii, nasumbuliwa na Hali hii. Nahitaji msaada wa kitaalamu au ushauri utakaonifanya niondokane na Hili tatizo kwani kunakipindi natamani kuwa na Mtu lakini maneno ya Kejeli na dharau kwa waliokuwa wapenzi Wangu yananiumiza na Kunitesa sana.
Nahitaji kutoka ndani Ya Minyororo Hii lakini nashindwa. Nashindwa kusimama kwa miguu Yangu naombeni msaada Wenu katika Hili.....
Hasira, dharau, kiburi vinanifanya nionekane ni mwanaume watofauti...
Naombeni Wana Jf wenzangu mnisaidie kunitoa katika hali hii..nahitaji kuwa na mwenza lakini sipo tayari kumuumiza Mwanamke aliyenipenda kwa Moyo Wake Wote...
Ingawa moyo Wangu Unahisia juu Ya Mapenzi lakini Kwenye Suala la Tendo ndio Sina Hamu kabisa
NITATOKAJE KATIKA HALI HII?