Kwanini watu wanaoana?

njugilo

Member
Feb 8, 2010
58
26
Wana JF,

Kuna kitu huwa kinanichanganya hasa kuhusu kuoa au kuolewa yaani ndoa.Si mara moja wala mbili nimekuwa nakatishwa tamaa na kujihoji je huwa upo ukomo wa mapenzi ?

Kuna mashauri nimeyafanya na wanafamilia zaidi ya sita na kero kubwa ni kwamba upendo umepungua baina ya wana ndoa na hii hujidhihirisha hasa wanapokuwa na watoto .

Mara nyingi mapenzi ya mwanamke yanahamia kwa watoto zaidi kuliko kwa mwenzi wake.

Sasa naomba tusaidiane kuijadili hili je unaoa au kuolewa ili kupata au kushiriki tendo la ndoa kwa uhalali au mtu anaoa au kuolewa ili kupata watoto ? Je mtu anatoa mahali ili kupata watoto au kupata mapenzi ?

Nawakilisha
 
Kila mtu anaoa na kuolewa kwa lengo lake, na wengi hufanya hiyo kwasababu ya mapenzi ila kumbuka Hakuna chenye mwanzo kikakosa mwisho!
 
mi kwa upande wangu sijawah ona umuhmu wa kuoa na nina mpango nisioe kbs na hata watt ctak nitajitaid nsaidie wasiojweza bas
 
Binafsi I would get marry , it will not be because I want kids only No.. There are many reasons will push or give a desire ili nitake kuolewa.. So let's get back to your thread .. Dear we are different people from different backgrounds so its hard kujua moyo WA MTU unless you Pray in order God to reveal to you .. What I want to advice you is : Kama una nia ya kuowa usipende kusikiliza ya watu because these days most of the people are tired with this life ,. They just are living because basi tuu they have to live.. Kaa chini my dear Discuss this with your God so He can reveal lots things unto you. Mwambie Mungu unavyo feel and they you desire things to be .. And I'm sure atakupa a wife ambaye absolute ataziba Yale unayohisi na kuogopa right now .. Dear walk by Faith and not by sight.. Usiogope jiulize kama ndoa ni yakuogopa why God insisted us to get married ? Na ukija kuhusu swala la uzazi for us wanawake inakuwaga ni temporary feelings kuhusu our kids vile wakiwa wadogo na hii inatokana na the way kutwa wanavyokuwa na kids by themselves but kama mume akionyesha ushirikiano na upendo mbona huwa tunabadilika ingawaje huwezi kubadili uchungu alioupata.. So marriage and kids is all about Harmony , love ,joy and the way how two keep solid on each other.. Honestly is not good to focus too much on the kids mpaka mnajisahu nyinyi wenyewe ambao mliowaleta hao kids in this world .. Kumbuka mume ni mtoto WA kwanza, that's what I have been taught with my parents .. Kuwa mume ni mtoto WA kwanza hivyo women must remember that always.. And na nyie waume zetu , wake zenu sisi ni first Jasmine flower no matter what .. So twende mbele turudi nyuma tukumbushane on things made us fall in love at the first time we have met to keep our marriage sparkle and spicy na Hii itatusaidia not to let anyone kututenganisha including our own kids.. I hope nimejibu okay dear.. Good luck.. Thanks..
 
Marriage is a social consent for the people to have sex...
 
je hili lingekuwa wazo la baba yako?

mkuu swali lako ni la kuchangamsha akili.....ila angekuwaje baba yake kama angekuwa na mawaz kama ya huyu mwanae?.....jibu ni wasingekuwepo wote mana wana mawazo kama ya babu yake mshikaji.kusingekuwa na UKOO wa huyu jamaa
 
NDOA ni mpango na kusudi la Mungu kwa mtu Mume na mtu Mke.

Sababu ya kuoana:-

1) KUMPATA MSAIDIZI:-

"Mungu akamfanyia Adam mwanamke kutoka kwenye ubavu wake ili awe "MSAIDIZI WAKE" na kuna ukweli kuwa Wanaume waliofanikiwa sana maishani kiuchumi wanakiri wake zao wameplay role kubwa.

2) KUEPUKA TAMAA,UZINZI NA UASHERATI:-

Haimaanishi kuwa waliooa hawatamani au hawazini NO! ila kusudi la ndoa ni kuzuia hilo pia na hapa mwanamke akisimama vizuri kiibada Mumewe Hatochepuka kamwe.

3) KUZAA WATOTO NA KUIJAZA DUNIA:- ingekuwa watu hawazaliwi ila wanakufa tu dunia ingeshaisha watu...ila Mungu anataka watoto wazaliwe lakini katika ndoa kwani watapata na baraka kabisa na malezi mazuri then na wao watakuwa msaada kwa dunia.
 
Binafsi I would get marry , it will not be because I want kids only No.. There are many reasons will push or give a desire ili nitake kuolewa.. So let's get back to your thread .. Dear we are different people from different backgrounds so its hard kujua moyo WA MTU unless you Pray in order God to reveal to you .. What I want to advice you is : Kama una nia ya kuowa usipende kusikiliza ya watu because these days most of the people are tired with this life ,. They just are living because basi tuu they have to live.. Kaa chini my dear Discuss this with your God so He can reveal lots things unto you. Mwambie Mungu unavyo feel and they you desire things to be .. And I'm sure atakupa a wife ambaye absolute ataziba Yale unayohisi na kuogopa right now .. Dear walk by Faith and not by sight.. Usiogope jiulize kama ndoa ni yakuogopa why God insisted us to get married ? Na ukija kuhusu swala la uzazi for us wanawake inakuwaga ni temporary feelings kuhusu our kids vile wakiwa wadogo na hii inatokana na the way kutwa wanavyokuwa na kids by themselves but kama mume akionyesha ushirikiano na upendo mbona huwa tunabadilika ingawaje huwezi kubadili uchungu alioupata.. So marriage and kids is all about Harmony , love ,joy and the way how two keep solid on each other.. Honestly is not good to focus too much on the kids mpaka mnajisahu nyinyi wenyewe ambao mliowaleta hao kids in this world .. Kumbuka mume ni mtoto WA kwanza, that's what I have been taught with my parents .. Kuwa mume ni mtoto WA kwanza hivyo women must remember that always.. And na nyie waume zetu , wake zenu sisi ni first Jasmine flower no matter what .. So twende mbele turudi nyuma tukumbushane on things made us fall in love at the first time we have met to keep our marriage sparkle and spicy na Hii itatusaidia not to let anyone kututenganisha including our own kids.. I hope nimejibu okay dear.. Good luck.. Thanks..

Too romantic to be in real world
 
kuoa ina malengo mengi kama yafuatayo
kukuza familia
kujikinga na zinaa
kujikinga na maradhi
jupata watoto
kupata msaidizi katika maisha
 
NDOA ni mpango na kusudi la Mungu kwa mtu Mume na mtu Mke.

Sababu ya kuoana:-

1) KUMPATA MSAIDIZI:-

"Mungu akamfanyia Adam mwanamke kutoka kwenye ubavu wake ili awe "MSAIDIZI WAKE" na kuna ukweli kuwa Wanaume waliofanikiwa sana maishani kiuchumi wanakiri wake zao wameplay role kubwa.

2) KUEPUKA TAMAA,UZINZI NA UASHERATI:-

Haimaanishi kuwa waliooa hawatamani au hawazini NO! ila kusudi la ndoa ni kuzuia hilo pia na hapa mwanamke akisimama vizuri kiibada Mumewe Hatochepuka kamwe.

3) KUZAA WATOTO NA KUIJAZA DUNIA:- ingekuwa watu hawazaliwi ila wanakufa tu dunia ingeshaisha watu...ila Mungu anataka watoto wazaliwe lakini katika ndoa kwani watapata na baraka kabisa na malezi mazuri then na wao watakuwa msaada kwa dunia.

Ahsante mpendwa. Jitahidi na wewe usimame kiibada ili usichepuke. Hamna kitu kizuri kama kufanya maombi ya mapatano. Usimuachie tu mkeo suala zima la maombi
 
Naomba ujue kisaikolojia iko hivi,mwanaume anaona nia yake kubwa ni kuwa Na Mke ila upande wa mwanamke nia kubwa huwa ni kupata watoto.
 
Ahsante mpendwa. Jitahidi na wewe usimame kiibada ili usichepuke. Hamna kitu kizuri kama kufanya maombi ya mapatano. Usimuachie tu mkeo suala zima la maombi

Dada tuombeane tu kwsbb wengi tunapenda kusimama na kuwa na ndoa nzuri na familia kabisa ila vikwazo vipo vingi,ikiwa ni pamoja na Anasa nyingi za dunia hii yetu.
 
Dada tuombeane tu kwsbb wengi tunapenda kusimama na kuwa na ndoa nzuri na familia kabisa ila vikwazo vipo vingi,ikiwa ni pamoja na Anasa nyingi za dunia hii yetu.

Kuombeana muhimu, ila na wewe inabidi usimame ujue. Kila kitu kinapita, hizo anasa zina mwisho wake
 
  • Thanks
Reactions: Art
Back
Top Bottom