EVERY WOMAN SHOULD READY
1) Usimpandishie mumeo sauti kwa namna yoyote ile ni ishara ya kukosa hekima. Tafuta mbinu mbadala ya kumueleza alipokosea.
2) Usitoe madhaifu ya mumeo kwenye familia...
KANUNI YA KUWA NA FURAHA
Dhumuni letu kubwa kwenye maisha ni furaha.
Tunafanya kile tunachofanya kwa sababu tunajua kitatuwezesha kuwa na furaha zaidi.
Hakuna mtu anayefanya kitu huku akijua ya...
Yaani imekua kero ,mke wake ana mtoto mdogo wa mwaka mmoja na mwezi 1,huyu jamaa hajiamini kabisa tunakaa nae nyumba moja , ananichunguza kuanzia vidole hadi nywele ,To be honest me sijaonja...
Habari za sikukuu wanajamvi,
Natumaini kumeisha salama,mwenzenu hapa sina lakufanya imebidi niombe msaada,nimewahi kukaa na housegirl kama miaka kumi hivi kiasi kwamba nilimuona ni mdogo wangu...
Nina mchumba ambaye tunaishi mikoa tofauti tarehe 23 mwezi wa nne alikuja kunitembelea mkoa ninaoishi akakaa kama wiki baada ya muda kama wa wiki 3 akaniambia hajaona siku zake nikamwambia nenda...
Habarini za wekend wadau,
Naombeni mnisaidie kimawazo.umri wang ni miaka 24 ni muajiriwa serikalin huku Dodoma, wilaya ya Mpwapwa,lakini home ni Iringa nina girlfriend wangu ambaye yupo chuo cha...
watu wengi usema kijana akiwa mkubwa si vizuri kuendelea kuishi nyumban ila mimi niko tofauti kidogo japo si pingi.
kuna mazingira yanaweza kumfanya kijana aendelee kuishi nyumban ata kama ni...
Ni zaidi ya miaka 12 sasa tangu aliponiambia kuwa huyu si mwanao, nilikusingizia tu. Lakini kiukweli kila mmoja aliyemuona yule mtoto (wa kiume) hata bila ya mimi kuwepo, mradi ananijua, alisema...
Wasalaam wanajf
Mchumba wangu kipenzi ananishangaza sijajua hata nimueleweje!
Iko hivi mchumba wangu anarafiki yake ambaye yeye na rafiki yake niliwafahamu wote wakiwa pamoja wakati tukifanya...
Wana MMU,habari zenu ni kuwa kuna msichana nilikutana nae siku ya ufunguzi wa baraza la madiwani ktk halmashauri fulani,huyu binti alitokea kunivutia sana hivyo nikawa namlia mingo.Tulikuwa...
Kwa kawaida, mtu anaporukwa na akili, anaweza kuitwa Zuzu. Anaweza kuitwa Punguani. Katika hali ambayo nipo nayo sasa, una haki ya kuniita mo ya majina hayo, kwa wasamariwema wenye huruma, labda...
Wadau,
Hopefully mmesheherekea vizuri sikukuu hii ya leo. Back to our topic mimi kuna mdada namfukuzia, naona kama anaelekea kuingia king na infact nataka niweke ndani kabisa. Hapa juzi-kati...
Kwa yeyote anaye mjua naomba ani PM !
Tulisoma wote miaka ya 1991 _ 94, Lugalo(jwtz) sec. School kwa sasa inaitwa makongo sec. School
Miaka hiyo alikuwa anaishi na baba ake mdogo mzee kimambo...
ni msichana mrembo sana kamehitimu degree juzi juz tu
nilimfuatilia mda mrefu sana ila hataki kukubaliana nami
now anatoka na jamaa mmoja hiv mwenye tabia ya kutambulisha wanawake kwa ndugu...
Ma ladies na ma gentlemen.....
Kama nilivosema hapo juu hiki nikisimuliacho nimekosa jina au neno la kuweka kama kichwa cha habari au uzi.
Iko hivii......
Week end hii iliyoisha nilienda Mbeya...
Hawayuuuni!!
Mimi ni kijana under 25,nina mpenzi nilianza nae uhusiano soon after six b4 joining university.
Nilimpenda sana na nafikiria kuwa awe yf wngu,ktk mapenzi yy alikuwa mgeni kwani mm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.