Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Life can get out of control pretty quickly without a reason, yes...without an excuse. How are you prepared? what's your Plan B when the world turns against you by suddenly losing everything you...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Aisee guys mwenye ujuzi na hili naomba anielekeze ,yaan nikikutana kimwili na mwanamke nikijaribu kuvaa mpira mashine haisimami. Nikijitahidi sana labda kwa bao la kwanza ila hata hilo bao la...
0 Reactions
46 Replies
8K Views
TAFSIRI YA SHUKA KITANDANI KWA MWANAMKE ALIYEFUNDWA SHURTI SHUKA LIONGEE KITANDANI....,SI WAJITANDIKIA TU KITANDA KAMA MSUNGO HAPANA........ TUANGALIE ZILE SHUKA ZENYE MAANA KUNA ZENYE MAANA NA...
2 Reactions
70 Replies
29K Views
Habari zenu wanaJf, Ebana mimi nna girlfriend, nimedumu nae almost mwaka mzima sasa, lakini kila nikimwambia nampenda au nimemmiss huwa najibiwa majibu kama k, thanx. Kiukweli haya majibu ya...
1 Reactions
151 Replies
18K Views
Hizi hapa hatua muhimu kabisa za kumtomgoza mwanadada ndani ya dakika chache tu atakuwa amekubali. Mwanamke huwa navutiwa sana na mwanaume ambaye ni mkorofi kiasi fulani. 1. Hakikisha mara ya...
7 Reactions
115 Replies
91K Views
Ashukuriwe Mungu aliye tupa neema hii ya kuumaliza mwaka 2015, na sasa zimebaki siku chache kabla hatujaingia 2016! Mwito wangu kwako mwana JF, fanya kila uwezalo kuwasamehe waliokukosea,kukuudhi...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Lll
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mke
Umri wangu 37. Nahitaji mke
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wakuu, Mada tajwa hapo juu yahusika. Nazungumzia harusi sio ndoa, naomba kueleweka na kuweka wazi hilo. Mimi ni kijana ambaye bado sijaingia kwenye ndoa lakini hali ya ndoa ambapo harusi...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Khaaaa eti unataka kumnunulia nguo mpenzi wako unaanza kumpigia simu na yale majina yenu eti "sweetie kiuno unavaa namba ngapi?" ala! inapunguza ladha ya zawadi wewe. Sikia. Katika mahusiano...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Mwanaume mmoja huko Mara amefikishwa mahakamani kwa kosa la kumuambukiza ukimwi kwa makusudi mpenzi wake. Msichana huyo alimkuta mpenzi wake akinywa ARV usiku . Chanzo Magaazeti
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habarini za asubuhi wapendwa katika bwana.Naomba nichukue fursa hii takatifu kutoka kwenu wana jamiiforums wenzangu kuwa nawatakia kheri ya Christmas na mwaka mpya popote pale mlipo.Amen.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wanajamvi.Ni takribani siku nne sasa nimeletewa binti wa kazi toka Tanga.alipofika nilimwacha azoee mazingira kabla hajaanza kazi rasmi hivyo shughul zote nilikuwa nafanya mwenyewe huku...
1 Reactions
193 Replies
35K Views
Habari kwa wale waliomaliza malecela sekondari iliyopo morogoro wilaya ya Kilombero tukutane hapa plz tuma namba ya simu tufahamiane vizuri asanten naomba ushirikiano wenu Kwanzia mwaka...
0 Reactions
0 Replies
901 Views
Mabibi na mabwana, Ni matumaini yangu hamjambo. Kuna hii drama inaendeleakatika maisha yangu na leo hii nimefikiria sana na kuamua kuanika ukweli hapajamvini ili nisikie maoni yenu nap engine...
2 Reactions
202 Replies
23K Views
Nimedate zaidi ya wasichana na wanawake 15,jamani mwenzenu nikishamtongoza msichana akikubari uzuri wake kwangu unaanza kupungua,nikishapewa kiboga tu hata hamu ya kumuona inaisha kabisa,sasa hivi...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
KAMA UNAJALI UTAMWAMBIA UKWELI HUTOACHA APOTEE Moja ya vitu vinavyotufanya tunaendelea kuwepo duniani kama binadamu ni kujali. Ndio tunajali sana kuhusu sisi wenyewe na hata wale wanaotuzunguka...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Hi Wakuu!! Kuna Kisa Kimemtokea rafiki yangu anaomba ushauri wenu wadau,ni mdada mzuri 2 lakini mapenzi yanamtesa kutokana na hulka aliyonayo hana makuu Bestito huyu ila kuna mkaka...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Hii ni tabia ya wanaume wengi kushindwa kukubaliana na hali ya uzee pale ujana unapo watupa mkono, ndio hapo unakuta mtu anafanya mambo tofauti na umri wake kama kutongoza watoto wadogo ikiwa ni...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom