Kwanini wanaume wa Tanzania wapo hivi?

my name is my name

JF-Expert Member
Jan 12, 2015
2,016
2,397
Mwanaume wa Tanzania akitongoza akijbiwa maneno machafu nae anatoa maneno machafu.

Mwanaume wa kizungu akijbiwa maneno machafu ananyamaza anazidsha upendo mpaka unaona aibu kwanini ulikuwa unamjibu vibaya mwishoni mnajikuta mmefall in love. Kwanini inakua hivi?
 
Hahaa ukuwatukana nao wanatukana kama hawana akili nzuri. Hem bibie na mimi nipeleke huko kwa wazungu na mie nikapendwe
 
Sasa unajibu uchafu ili iweje wakati unatongozwa na ni kawaida?Utajibiwa ovyo tu ukileta ushankupaku wako hapa ohooo!
 
Hahaa ukuwatukana nao wanatukana kama hawana akili nzuri. Hem bibie na mimi nipeleke huko kwa wazungu na mie nikapendwe

kwann wapo hivyo sasa? mwanaume wakizungu hata hajsumbui kujibu vbaya tena utashangaa amepajua had nyumban kwenu. unajiuliza amepajuaje?
 
mwanaume wa tanzania aktongoza akijbiwa maneno machaf nae anatoa maneno machaf. mwanaume wa kizungu akijbiwa maneno machaf ananyamaza anazidsha upendo mpk unaona aibu kwann ulkuwa unamjbu vbaya. mwishon mnajkuta mmefall in love. kwann inakua hv?

Hata mimi nashangaa,wanawake wa Kitanzania sijui wakoje.Ukiwapenda watakuzungusha kama hawataki wakati wanataka,ukiwashit utakuta wanapiga vijembe.
Wakati wanawake wa Kizungu,wako straight,kama wanakutaka hawazingui wanakuambia moja kwa moja.Kama hawajaelewa,pia wanakuambia NO,tena BIG NO.
 
Kuku wa kienyeji ukimtongoza lazima akutole maneno machafu.. Kuku wa kizungu ukimtongoza ndio kwanza anaongeza urafiki kama hakutaki.. Hivi kwann kuku wa kiswahili wanakuwa hivi jamani
 
Back
Top Bottom