Asilimia 70 ya ndoa Uingereza ni za serikali

The Tomorrow People

JF-Expert Member
Jul 11, 2013
2,675
2,807
Habari wakuu,

Juzi kati nilipata kusikia kwenye BBC kwamba ndoa nyingi siku hizi Uingereza takribani aslimia 70 ni za serikali nilishtuka kidogo, ina maana Ulaya watu hawataki tena kufunga ndoa kidini? Ama wao sio wadini tena? Na kama ndoa nyingi ni za serikali divorce rate si zitakuwa kubwa sana? Maana imani nyingi zan dini hakuna kuachana.

Mwisho kabisa hili suala linatufundisha nini sisi tulioletewa dini na hao wazungu?

Ni hayao tu wakuu
 
Tanzania ndoa zote ni za serikali sema kanisani na msikiti zinafungisha ndoa kwa niaba ya serikali...that why cheti cha ndoa kinachotambuliwa ni cha serikali
 
hizi ndoa hizi.......Mungu atusaidie tufike nchi ya ahadi mapema....... ndoa ni ni ile ile....masjid, kanisani au bomani......hakuna tofauti..........
 
Habari wakuu,

Juzi kati nilipata kusikia kwenye BBC kwamba ndoa nyingi siku hizi Uingereza takribani aslimia 70 ni za serikali nilishtuka kidogo, ina maana Ulaya watu hawataki tena kufunga ndoa kidini? Ama wao sio wadini tena? Na kama ndoa nyingi ni za serikali divorce rate si zitakuwa kubwa sana? Maana imani nyingi zan dini hakuna kuachana.

Mwisho kabisa hili suala linatufundisha nini sisi tulioletewa dini na hao wazungu?

Ni hayao tu wakuu

Mi nafkiri uliskia na kufahamu vibaya, si dhani kama upo sahihi kwamba kwa mfano muislamu kwa sababu yupo nchini kwa watu Uingereza atake kuoa au kuolewa aende huko serikalini badala ya kufuata sheria za dini yake na hili halijakatazwa popote ulimwenguni na ikibidi kutokea hicho unachokifkiria wewe na nadhan dunia nzima waislamu ama dini nyengine wataandama na kupinga utaratibu huo ambao si katika misingi ya dini zao. itakuwa ni ubaguzi.

Mimi nimeoa juzi juzi tu hapa London nimefanya taratibu zote ambazo dini yetu imeamrisha katika taratibu za ndoa na sijaenda serikalini kama unavyosema wala sijafanya kwa siri ilikuwa mchana kweupe.

Kuhusu kuletewa dini ni wazungu. Wewe mwenyeo changanya na akili zako vipi mzungu atakuletea dini wakati mzungu mwenye akienda haja hujifuta uchafu na kinyesi kwa makaratasi badala kujisafisha kwa maji? wanaita Toilet Paper jua likikupata na jotojoto unakuwa hufikiki. Ni vyema kusoma na kujuwa uhalisia wa dini yako ata kama ulirithi kw wazee wako uliwakuta nayo tafuta uhalisia. Tafuta masuali magumu kwenye hiyo dini halafu taka majibu yake.

Kwa mfano: Katika ukiristo tunaambiwa Yesu alizaliwa taka kujua kabla yesu kuzaliwa dunia ilikuwa kwenye himaya ya nani? na yeye wakiristo wanamuita Mungu?
 
Back
Top Bottom