Mjane natafuta mgane

Mjane natafuta mgane

mamitod

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
914
Reaction score
385
Natafuta mgane 50+ kama upo serioua just PM me.
 
unawaua mabwana zako. we sema unatafuta sugar dady.
 
Hii dhana ya mjane na mgane iliwahi kuibua mjadala mahali fulani.... Kuna watu walikuwa wanadai eti mwanaume ni mwanaume tu hata kama amefiwa hapewi jina. Wakaenda mbali zaidi na kudai eti mwanamke anapewa jina ili ijulikane kuwa pale kuna nafasi watu watume maombi...lakini mwanaume hatumiwi maombi kwa hiyo haina haja ya kuwa na label hiyo ya 'mgane'....whether kuna nafasi au hakuna watu wengine hawatakiwi kujua sana maana yeye ndo mtumaji wa maombi
 
Hii dhana ya mjane na mgane iliwahi kuibua mjadala mahali fulani.... Kuna watu walikuwa wanadai eti mwanaume ni mwanaume tu hata kama amefiwa hapewi jina. Wakaenda mbali zaidi na kudai eti mwanamke anapewa jina ili ijulikane kuwa pale kuna nafasi watu watume maombi...lakini mwanaume hatumiwi maombi kwa hiyo haina haja ya kuwa na label hiyo ya 'mgane'....whether kuna nafasi au hakuna watu wengine hawatakiwi kujua sana maana yeye ndo mtumaji wa maombi

Dhana kandamizi aiseeee....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom