saddyy
Member
- Dec 28, 2014
- 58
- 54
unakua mke bora unapomsaidia
mumeo katika malengo yake ya
kimaisha. unampa support wakati
hana kitu mfukoni. wamsaidia kupata
mafanikio. wacha kumkera na mambo
asoyaweza. ridhika na akupacho. mtie nguvu na umsifu wakati mawazo
yamemzonga. kuwa naye bega kwa
bega asijihisi mpweke. mkumbushe
kuhusu subra kwenye ndoa, kupata na
kukosa yote yatoka kwa Mungu. ukijua
umemkosea jaribu kumskiza mumeo hata kama anahasira nawe.
anapokukosoa omba samahani kisha
mtulize kwa upole na unyenyekevu
ukiahidi hutorudia kosa hilo.
mumeo katika malengo yake ya
kimaisha. unampa support wakati
hana kitu mfukoni. wamsaidia kupata
mafanikio. wacha kumkera na mambo
asoyaweza. ridhika na akupacho. mtie nguvu na umsifu wakati mawazo
yamemzonga. kuwa naye bega kwa
bega asijihisi mpweke. mkumbushe
kuhusu subra kwenye ndoa, kupata na
kukosa yote yatoka kwa Mungu. ukijua
umemkosea jaribu kumskiza mumeo hata kama anahasira nawe.
anapokukosoa omba samahani kisha
mtulize kwa upole na unyenyekevu
ukiahidi hutorudia kosa hilo.