Pita hapa utoe ushauri: Hii inawezekana?

Pita hapa utoe ushauri: Hii inawezekana?

geometry

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2014
Posts
466
Reaction score
359
Habari za Jumatatu wanajamvi,

Direct to the topic,Je inawezekana kuwa na mahusiano na mwanamke alienizidi umri wa miaka 5, yani nikitembea nae huwezi kugundua kama tuna date, utahisi tu ni mtu na mdogo wake, hii huwa inanifanya nihisi inferiority na kutokujiamini.

Naombeni ushauri wenu
 
Sasa unaomba ushauri wa nini?anenda ka-like page fb na instagram
 
Mbona umeweza kudate nae mpaka mkaongozana


Kamuulize almas kawezaje kudate na demu aliyemzidi karibu miaka 10
 
Utaweza tu lakini baadaye utakimbia tu
 
Miaka mitano ni mingi aisee physically tu gepu linaonekana, lkn anyway endelea tu kama mnapendana, halafu nataka kujua wewe ni ke au me?
 
aiseee mi na hii miaka 17 yangu hiyo bahati si inipate uone tutakavyo jimwayamwaya kitaa yaani utasema mm ndo mkubwa kwake........nimemaliza!
 
Mmmmh sasa unaomba ushauri huku chenza ushalimega? Endeleza libeneke.
 
Habari za Jumatatu wanajamvi,

Direct to the topic,Je inawezekana kuwa na mahusiano na mwanamke alienizidi umri wa miaka 5, yani nikitembea nae huwezi kugundua kama tuna date, utahisi tu ni mtu na mdogo wake, hii huwa inanifanya nihisi inferiority na kutokujiamini.

Naombeni ushauri wenu
duuh kama amekuzidi miaka 5 lakini haonyeshi hapo poa, lakini kama anaonyesha waziwazi kua amekuzidi bro achana nae, wanawake wapo wengi, au huyo ana nini hadi umeamua ku trade hiyo ishu ya kuzidiwa umri? is it worth it??
 
Back
Top Bottom