Simtetei mwanamke

Dr.nathan

Member
Feb 17, 2014
76
31
Simtetei mwanamke lakini naongea ukweli waswahili walisema "Nani kama mama"

Wasomi wakasema "Ukimsomesha mwanamke mmoja umesomesha taifa zima"

Wazungu wakasema "Ladies first"

Biblia imesema "Tupate wapi wanawake waombolezaji"

Mimi nasema "Ukimuumiza mwanamke mmoja umemuumiza MUNGU na taifa zima"

Wanaume tuwaheshimu wanawake ndipo tutafanikiwa katika kila tulifanyalo.
 
Yaah ni kweli mama zetu na wanahitaji heshma kubwa kutoka kwetu walipata tabu mara mbili kutubeba miezi kadhaa tumboni mwao kisha kutunyonyesha kwa siku kadhaa.Pepo ipo chini ya nyayo zao hapo ina maananisha tuwanyenyekee kwa heshma ila pia tukae nao kwa akili kwani wana mapungufu yao.
 
Mna complicate mambo sana siku hizi. By the way, Biblia haijampa nafasi sana mwanamke ... Mwanamke yuko ranked chini kabisa katika mtiririko.

Lakini, Biblia imekaza kuhusu kuwaheshimu WAZAZI (WOTE BABA + MAMA - Soma Kutoka 20:12). Ukifanya hivyo utapata baraka ya kuongezewa miaka. Hakuna sehemu iliyosema usipomheshimu mwanamke sijui itakuwa nini!

Anyways, nawaacha na andiko hili hapa chini mlitafakari;

"Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mpumbavu ni mzigo kwa mamaye." - Mithali 15:20

Kwa nini mtoto akiwa na hekima, baba husifiwa lakini akiwa mpumbavu mama hulaumiwa?

Siku njema.
 
Mna complicate mambo sana siku hizi. By the way, Biblia haijampa nafasi sana mwanamke ... Mwanamke yuko ranked chini kabisa katika mtiririko.

Lakini, Biblia imekaza kuhusu kuwaheshimu WAZAZI (WOTE BABA + MAMA - Soma Kutoka 20:12). Ukifanya hivyo utapata baraka ya kuongezewa miaka. Hakuna sehemu iliyosema usipomheshimu mwanamke sijui itakuwa nini!

Anyways, nawaacha na andiko hili hapa chini mlitafakari;

"Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mpumbavu ni mzigo kwa mamaye." - Mithali 15:20

Kwa nini mtoto akiwa na hekima, baba husifiwa lakini akiwa mpumbavu mama hulaumiwa?

Siku njema.


Wanawake ni chanzo cha matatzo katika huu ulimwengu....akili kumnyayo
 
Hahahaa walikukosea nini?
From 18-25 ni jipu, wengi hawajatulia. Wanajiona wako kwenye peak ya uzuri. Wanapenda kujaribu kila mtu, hata walotulia akili za maisha hawana kwasababu ya uzuri.

Usijipe 100% eti kwamba umepata mchumba maana akili zinakupwa na kujaa kama bahari ya hindi. Wanaumiza wengi!!
 
Mna complicate mambo sana siku hizi. By the way, Biblia haijampa nafasi sana mwanamke ... Mwanamke yuko ranked chini kabisa katika mtiririko.

Lakini, Biblia imekaza kuhusu kuwaheshimu WAZAZI (WOTE BABA + MAMA - Soma Kutoka 20:12). Ukifanya hivyo utapata baraka ya kuongezewa miaka. Hakuna sehemu iliyosema usipomheshimu mwanamke sijui itakuwa nini!

Anyways, nawaacha na andiko hili hapa chini mlitafakari;

"Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mpumbavu ni mzigo kwa mamaye." - Mithali 15:20

Kwa nini mtoto akiwa na hekima, baba husifiwa lakini akiwa mpumbavu mama hulaumiwa?

Siku njema.

Heeeeh! Leo ndio nimejua kumbe Biblia imemkandamiza mwanamke kiasi hicho!!!?
Khaaaaah!
 
Kumuheshimu mwanamke ni muhimu sana,mwanamke ni Mama,Dada,Mkeo,mwanamke ana moyo wa imani mwenye sifa ya uwana wake.
 
Heeeeh! Leo ndio nimejua kumbe Biblia imemkandamiza mwanamke kiasi hicho!!!?
Khaaaaah!
Haijamkandamiza ... Kuna kitu kinaitwa submission, kipo pia hata katika "GOD HEAD." Cha msingi kila mmoja anapaswa kusimama katika nafasi yake, wote mwanamme + mwanamke.

Je! Unajua kwa nini shetani alienda moja moja kumjaribu mwanamke & alimkwepa mwanamme kule Edeni? Mmeumbwa kumtegemea mwanamme kwa kiasi kikubwa ... Alone you are prone to attacks.
 
hawa viumbe bana hutawaweza unaweza ukawaheshimu lakini bado ukaonekana zoba
 
Back
Top Bottom