Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Inakuwaje unapokuta mkeo ana tatoo yenye jina la hawara yake wa zamani ambayo umeigundua baada ya kumwoa? Kazi kwenu kudadavua
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Mjini kuna kina dada wamegundua mbinu mpya ya kitangaza biashara yao ya umalaya/ukahaba kwa njia ya mitandao. Kuna msemo usemao kila mwanamke ni malaya by default isipokua mama yako, lakini kuna...
0 Reactions
15 Replies
10K Views
Wish to get a true lover, nimekua single n lonely for so long...I think imetosha sasa na umri nao haunisubiri mimi, tatizo linakuja "who!?..mmmh!
2 Reactions
37 Replies
5K Views
Habari zenu ndugu zangu! Mimi ni kijana ambaye nilikua kwenye mahusiano na msichana mmoja ambaye kwa sasa ni mwanachuo wa chuo kikuu cha Mzumbe. Uhusiano wetu ulidum kwa miaka miwili lakini...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Ewe mwanaume ukioa mwanamke: Mrefu, jua kwamba utaoa mwanamke mpenda maendeleo, mchapa kazi na mkarimu ila hawajui mapenzi na ni wavivu kujiweka safi kimazingira. Mfupi kiasi, jua ya kwamba...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Toka uzaliwe baadae ukawa unaota maruweruwe unamuona dada yako anakujia usiku, umeenda kwa "wataalaam" wawili watatu wakakwambia unachoona ni ukweli ni ni...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Ndugu wana nzengo nawasalim, Wiki mbili au zaidi zilizopita, niliwaeleza kuhusu binti ambae mama alikuja nae kwenye uzi huu: Mama kaniletea mke kutoka kijijini bila ridhaa yangu, nifanyeje? Kwa...
3 Reactions
49 Replies
6K Views
ACHA KUJIPIMA KWA UBIZE ULIONAO JIPIME KWA KILE UNACHOZALISHA Kuwa bize na kuzalisha ni vitu viwili tofauti kabisa.Mara nyingi wale wanaoonekana kuwa bize sana huwa wanakuwa na uzalishaji mdogo...
6 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari za juma pili wadau Kwanza nianze kwa kutoa pongezi zangu za dhati kwa wachangiaji nawaleta mada ndani ya jukwaa ili kubadilishana uzoefu kwenye mambo mbalimbali yakijamii na kifamilia...
1 Reactions
88 Replies
6K Views
Nina umri wa miaka 22 nipo chuo,natafuta rafiki wa kike wakubadilishana nae mawazo umri 18-25.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
USIWE MUONGEAJI SANA KUNA KIPINDI UNATAKIWA KUSIKILIZA Katika jambo lolote lile, yule anayeongea sana ndiye anayepoteza. Iwe ni kwenye kufikiana makubaliano au hata kwenye biashara, anayeongea...
14 Reactions
28 Replies
3K Views
Rafiki yeyote wa kike anayejihisi kuwa rafiki mzuri anakaribishwa. Any age, nia ni kuchat na kubadilishana mawazo, you are welcome. Ni PM nikupe no zangu.
0 Reactions
1 Replies
993 Views
Hivi mna birthday ngapi kwa mwaka? Inakuwaje birthdays zenu zinaangukia weekend tu? Kwanini mkianza uhusiano mpya haipiti wiki inakuwa birthday yako?
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Nimetoka kazini namauchovu yangu ya kuzidi nikaamua kuingia bafuni kuoga simu yangu nimeicha mezani. Nimemaliza kuoga narudi chumbani simu inaita napokea nashangaa mke wangu kastaajabu kaonesha...
2 Reactions
55 Replies
5K Views
Jana nikiwa kwenye mizunguko nikaitwa na mama mwenye nyumba wa shoga yake mke wangu,akaniambia hivi mahusiano kati ya mke wangu na huyu mpangaji wake yapo? Nikaituma yes akaniambia alikuja juzi...
2 Reactions
64 Replies
9K Views
Kama kichwa kijielezavyo. Mimi ni kijana wa kitanzania nina miaka 23 sasa hivi nipo mwaka wa mwisho chuo kikuu UDSM -undergraduate. Baada ya mama kufariki, nimeishi bila mama hivyo basi natafuta...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Mmeamkaje wanajukwaa? NUKUU; Mimi ni mvulana mwenye miaka 21 na nimeanza kujihusisha na masuala ya mapenzi nikiwa na umri wa miaka 19. Nimekuwa mzoefu kuhusu mapenzi. Lakini kuna jambo ambalo...
1 Reactions
79 Replies
12K Views
Wapendwa habarini za kwenu. Kwa muda mrefu sasa tumekuwa tunashuhudia matendo ya ajabu ambayo hayakuwepo kwa kiasi hiki kwa wanandoa. Wanandoa wengi wa kike wamekuwa wakilalamikiwa kuwa na...
1 Reactions
168 Replies
36K Views
Alishawahi kuniambia kwamba mwaka huu atafanya kila awezalo nisiendelee na kazi yaani mkataba wangu wa kazi usitishwe, ilikuwa bado kidogo kweli usitishwe. Lakini nikatumia plan B namshukuru...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Stori yenyewe ipo hivi, Nina rafiki yangu ambaye tunaheshimiana sana na tunaishi mtaa mmoja mara kwa mara amekuwa akisafiri kibiashara, sasa hivi karibuni alikuwa amesafiri akawa anapiga simu ya...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…