Wanawake wa siku hizi mna bahati

Wanawake wa siku hizi mna bahati

JEKI

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
4,845
Reaction score
2,967
Wiki iliyopita nikiangalia kipindi cha Television na mama yangu, Mtangazaji akawa anasimilia kisa cha dada mmoja kumwacha mume wake na kurudi kwao kwa kisa cha kukuta meseji ya mapenzi kwenye Simu ya mumewe.

Haya ndio maneno alosema mama, kwanza aliguna kwa masikitiko makubwa kisha akasema meseji tu! huku akishangaa, akaongeza enzi zetu tulikuwa tunaletewa ndani hata wanawake wanne na hatukuthubutu kurudi, wa siku hizi wana bahati kubwa.
 
mtazeekea kwa baba zenu nani awaoe wanawake wabishi hatari ...uvumilivu hamna..yaani unanikuta napiga goli moja tu house girl unanuna? mxxxx

ha ha ha kazi ipo.
 
mtazeekea kwa baba zenu nani awaoe wanawake wabishi hatari ...uvumilivu hamna..yaani unanikuta napiga goli moja tu house girl unanuna? mxxxx

You are right...
 
mtasota sana, hadi mtakapomfufua bibi.

ha ha ha ha naona siku hizi mmeshakubaliana na hali mnaoa kibishi [ia ... ha ha ha ha unalalamika wakati unakaribia kuoa libondea lako ... jiandae kwa ligi ya mdomo........ maisha lazima yaende
 
Back
Top Bottom