Dalili zipi za mtu aliyechepuka?

Dalili zipi za mtu aliyechepuka?

Mr. MTUI

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
8,129
Reaction score
8,378
Kwa wajuzi wa mambo hivi unawezaje kumgundua mpenzi aliyetoka kuchepuka.Najua wengi tutajifunza hapa na lengo hasa ni kupeana uzoefu na kupeana mbinu mbadala za kukabiliana na wachepukaji coz michepuko ni janga kuu.
 
Inategemeana ni mda gani ambao wewe unataka kufanya huo uchunguzi coz kila mda una dalili zake kama nusu saaa baada, saa moja baada masaa mawili ,ila zaid ya masaa 12 huwezi kugundua coz anakuwa emesha rudi normal ila kuanzia nusu saa hadi masaa 6 ni rahisi zaidi,
 
Mm nilikua nazingatia tightness ya papuch na kunasiku niligombana na mtu wangu mara baada ya kugundua nanii imekua lose wakati hatukukutana kwa muda ......but nahisi hicho siyo kigezo tosha ....
 
Inategemeana ni mda gani ambao wewe unataka kufanya huo uchunguzi coz kila mda una dalili zake kama nusu saaa baada, saa moja baada masaa mawili ,ila zaid ya masaa 12 huwezi kugundua coz anakuwa emesha rudi normal ila kuanzia nusu saa hadi masaa 6 ni rahisi zaidi,
Funguka basi...kulingana na hayo masaa
 
Cjaelewa kama mleta uzi umelenga upande wa wanawake peke yao au hata kwa wanaume, au wanaume hawachepuki
 
Cjaelewa kama mleta uzi umelenga upande wa wanawake peke yao au hata kwa wanaume, au wanaume hawachepuki
We jibu kwa upande ambao unaufahamu....itasaidia zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom