Hi there,
I am man from Tanzania, and I am 23years of age, 65kg and 178cm tall. By now am still a student attending my studies at a certain institute at Dar es salaam.
I am a caring, truthful...
Tulipotoka chuo mwanzoni mwa miaka ya 2000 mimi na rafiki yangu kipenzi tulipata kazi nzuri na yenye kulipa vizuri sana, kazi hiyo tulitafutiwa na Mchumba wa huyo shosti wangu, tulipomaliza...
Wandugu nawasalimu
Mchumba ambae ninaishi nae ni mjamzito wa miezi karibia nane sasa anapata maumivu tukikutana kimwili, tumeacha kukutana kama miezi 2 nyuma sababu hiyo
Sasa mm Hali yangu...
Inasemekana wadada wana tabia tofauti katika mapenzi kulingana na maumbo ya miili yao.
1. Wasichana wafupi wanaongoza kwa
wivu wa mapenzi na kuwajali wapenzi wao
2. wasichana warefu huwa...
RIWAYA: PUMBAZO
NA: George Iron Mosenya
SEHEMU YA KWANZA
ILIKUWA yapata majira ya saa tatu na dakika zipatazo
kumi na mbili kwa mujibu wa saa yangu ya mkononi.
Nilikuwa nimegida chupa za pombe...
Habari wakuu,
Hii kitu imenitokea kwangu na ninahisi mwanaume mwezangu simtendei haki, kuna binti mmoja nilikuwa naye kwenye mahusiano kipindi cha nyuma, tukapotezana takribani miaka miwili...
What do girls first notice in a guy as soon as they set eyes on him? The shoes? The car-keys? The body language?
These are the first 5 things a girl notices in a guy the first time she meets...
imetokea kasumba kuona wengi wakitoa ushauri kwa wanaotaka wapenzi kuwa ni vyema wakaenda kujaribu bahati yao facebook ama kwingineko.
Mimi nawaambia hata hapa ni sokoni,watu wapo kazini,wateja...
"Yuko wapi? Yuko na mwanamke mwingine? Inakuwaje ameniweka hapa muda mrefu hivi? Mke mwenye hasira alikuwa akijiuliza wakati akimsubiri mumewe.
Mahusiano yake na mumewe hayakuwa mazuri kwa miaka...
Wanaume wenzangu mlio kwenye ndoa au mahusiano yoyote, nafahamu mnatafuta pesa kwa kila namna asubuhi mpaka jioni, kwa ajili ya hao mnaowaita wapenzi wenu! Swali hili huwa linaniumiza kichwa sana…...
Mabibi na mabwana heshima kwenu,
Nimekuwa nikisikia tu watu wakisema ama kwenye vyombo vya habari kuhusu wanaume kupigwa na wanawake, lakini jana nimejionea kwa macho, jinsi bwana alivyokuwa...
Dahh, Wakenya ni hatari sana.
Yaani Mbaba ameamua kuvulia kwenye tenga. Na mbaya zaidi huyo Samaki ni Mtoto wake.
Inatia Kinyaa pale Samaki anapoanza kusema "I Love my Father so much...."
Ila...
Habari zenu wakuu,
Mimi nina mchumba wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa. Lakini kuna jambo moja dogo sana ambalo kwakweli huwa simuelewi yaani hapendi nimshike kiuno kitu ambacho mimi napenda...
Pamoja na kwamba ukimwi unaonekana kama vile ni ugonjwa wa kawaida, lakini, Ah wapi, ukimwi bado ni noma sana, ukiupata ndio utanielewa. Kuna jamaa zangu fulani walishawahi kunipigia simu kila mtu...
Binamu yangu aliolewa na kuishi na mume wake kwa raha, walijaliwa kupata watoto wawil, wa kwanza alikuwa wa kiume, na wakike. Wote wakikwa waajiriwa.
Weekend moja wakati binamu yangu anafua nguo...
Sifa muhimu
1. Awe mweupe hata kama ni kwa mkorogo
2. Awe na kazi halali inayomwingizia kipato
3. Umri miaka 25- 45
4. Kama ameelimika kuanzia diploma mpaka PHD huyo atapewa kipaumbele
Mimi nina...
Habari zenu wakuu,
Mimi niko njema kabisa.
Ningependa kuwauliza wanaojua kuhusu hili janga la UKIMWI lilipofikia
manake siku hizi watu wanaishi na hawana uoga wowote na ndo vile kinga kila...
Mwezi January niliamia mji mmoja nyanda za juu kusini kimasomo,katika Wakati huu wote nimekuwa Mara nyingi nikipata chakula hasa cha jioni katika mgahawa mmoja karibu na chuoni kwangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.