Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Wadau ni Sahihi kumpeleka mtoto mdogo 3-12yrs)Shule ya bweni huku wazazi wakiwa hapahapa mjini?
2 Reactions
58 Replies
8K Views
FRIES. Kama chips na vyakula vyote vya kufry. Vinafanya level ya testosterone kushuka na hata blood pressure ambayo huleta uchangamfu katika mechi.Blood pressure ya chini ufanya hata dyudyu...
1 Reactions
8 Replies
9K Views
Habari wana JF, Mimi ni mtu mwenye umri wa makamo tuingie kwenye mada Mke wangu mara kwa mara nimemuona ana mahusiano ya karibu sana na huyu binti yani muda wote wako wote, hii haikunipa shida...
3 Reactions
210 Replies
39K Views
"Je utakubali kuolewa na mimi?" Akamuuliza mpenzi wake ambae ni mtarajiwa wake katika ndoa. Mwanamke akainua kinywa chake kutaka kuzungumza lakini mwanaume akamzuia na kumwambia yafuatayo...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema. Bila kudanganya, ushawahi kulia kwa mapenzi?
1 Reactions
93 Replies
12K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,mimi ni kijana above 30yrs, ninafanya kazi hapa hapa Dar, naishi maisha ya standard,yaani nina nyumba na nina gari, natafuta mchumba ambaye baadae baada ya...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Ninamfahamu Deo kwa miaka zaidi ya mitatu sasa tangu ameajiriwa kwenye kampuni yetu, nimfahamu mke wake na watoto kwani katika shughuli za kifamilia mara nyingi ananialika, mke wake ni mcheshi na...
2 Reactions
76 Replies
8K Views
Wanaume wengi ikiwemo Dar hupiga kamoja tu na kuwa hoi. Wengi wao ni kujenga six packs alafu kwenye game holla. Hebu jaribuni kula vizuri basi mnatuaibisha bhana.
1 Reactions
71 Replies
9K Views
Wadau naomba mnijuze ni kwa kiasi gani kipimo cha ultra sound kinaweza kujua tarehe ambayo msichana alipata ujauzito,z accurate
0 Reactions
0 Replies
831 Views
Kwa mabinti sio wote ila wachache ambao wameweka pesa kama ndo kipaumbele cha kwanza kwenye mahusiano! Ndo maana wengi mnatumika na wenye pesa na siku mkitaka kufika nchi ya ahadi (kwenye ndoa)...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
p { margin-bottom: 0.1in; line-height: 120%; } Husika somo hapo juu Kama hilo tatizo lilikukuta au uko nalo sasahivi usijali Haupo mwenyew.wengi tumekuwa tukionewa kwa sababu mbalimbali na wake...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari Jf, Kijana kama muda wa kuoa umefika usijaribu kuoa mwanamke mwenye mtoto au watoto kwa kujipa moyo kuwa inawezekana. Madhara yafuatayo utapata baada ya kuoa na yatakuathiri...
1 Reactions
56 Replies
8K Views
Kipindi utakapokubali kutoka kimapenzi na mme wa mtu, utakuwa umekubaliana kuwa mwanamke wa daraja la pili. Na siku zote mtu wa daraja la pili ni mtu wa daraja la chini ukilinganisha na daraja la...
17 Reactions
61 Replies
9K Views
◈ To Get Away with Stuff This is the reason why most women lie as well, right? It is often just easier to give a very simple and easy answer, as compared to saying the truth. Often, in saying the...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu, Kuna mama ntilie flani hapa Arusha kaniganda hatari,nilikuwa na lengo la kuchapa tu na kuingia mitini,lakini naona kaniganda na hana mpango hata wa kuachana na mie. Kiumri kanizidi kama...
5 Reactions
86 Replies
11K Views
1: ASIWE KWENYE UHUSIANO Jambo lingine la kuzingatia kwa mwanaume huyo wakati wa harakati za kumweka mikononi mwako ni kuhakikisha hayupo kwenye uhusiano na mtu mwingine. Kunabaadhi ya wanawake...
4 Reactions
137 Replies
19K Views
kundi hili ni wahanga zaidi kuliko wanaume,hebu soma yaliyompata huyu mama. Ni mama wa heshima zake na mwajiriwa wa kampuni fulani,bahati mbaya hakuwa na mtoto,alienda kwa mganga katika jitihada...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Ambacho mabinti wanatakiwa kustuka , ni kwamba wengi wataolewa na bodaboda, wafanya biashara, ukibahatika mwanasiasa, kwa sababu wasomi hawana ajira, hivyo atakwambia nisubiri nipate kazi ...
3 Reactions
33 Replies
5K Views
Wakuu, Kuna binti wa mama mwenye nyumba ananinshangaza,kuna kipindi nilisafiri kwenda Uingereza na tangu nirudi huyu binti nimekuta ana tabia ya kuanikia chup.i zake karibu na mlango...
0 Reactions
70 Replies
11K Views
Nina nyumba ndogo ambaye nimezaa naye mtoto mmoja,namhudumia kwa kiasi kikubwa na chumba nimempangia. Juzi kati akaniaga kuwa anaenda kumsalimia mama yake,nikampa na nauli mida ya mchana...
2 Reactions
137 Replies
12K Views
Back
Top Bottom