Natafuta binti wa kuoa

Natafuta binti wa kuoa

jay-millions

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2015
Posts
4,588
Reaction score
11,843
Sifa muhimu
1. Awe mweupe hata kama ni kwa mkorogo
2. Awe na kazi halali inayomwingizia kipato
3. Umri miaka 25- 45
4. Kama ameelimika kuanzia diploma mpaka PHD huyo atapewa kipaumbele

Mimi nina miaka 30 naishi Dar kama upo single kama mimi nicheki pm
 
Pia uwe tayari kupima ngoma na maradhi nyemelezi, karibu mchumba
 
Kumbe kuna wanaume bado wanahitaji wenye mikorogo maeee....
 
Back
Top Bottom