Alikuwa ni mpenzi ambaye tulidumu kwa muda wa mwaka mmoja na nusu. Niligundua kanificha mambo mengi muda wote niliokuwa naye. Aliwahi zaa mtoto akafariki, ila mimi alinidanganya kuwa ana mtoto na...
Imefika mahali imenibidi niingie humu huenda nitapata mawazo mbadala ya kunisaidia kuondokana na hilinipo katika ndoa yapata miaka saba sasa.
Lakini hivi karibuni nimeanza kumuwaza sana mpenzi...
Mke wangu kipenzi,
Watu wote wameenda nyumbani kwao , mziki umezimwa, shamrashamra zimeisha. Harusi yetu ilikua nzuri mno ila sasa imepita. Tumemaliza harusi sasa ni muda wa kujenga familia yetu...
1. KUHONGA HUBORESHA MAPENZI:
Fahamu kuwa unapomhonga mpenzi wako unamfanya ajihisi kama ni wapekee kwako, atajiona kama ni mmoja wapo kati ya watu wenye thamani kwako na huamini kama kweli upo...
Kudos to all housewives.
hivi mlipimaje pimaje hadi mkafikia huo uamuzi?
nimepima weeee pamegoma kabisa.
kazi za nyumbani zinachosha sana. utachujika fasta! kila siku atakukuta na night dress...
Wadau habari za ujenzi wa Taifa,
Jumatatu nilikwenda kazini kwa mke wangu kuchukua ufunguo wa nyumbani kuna kitu nilisahau nyumbani hivyo niliitaji kukirudia, yeye ndo huwa anawahi kurudi...
Sina mifano mingi ila nimeona kwenye dada za rafiki zangu na majirani. Dada zao wamefanikiwa kwa kupata kazi nzuri sana, cha ajabu wadogo zao wanaishi kama mashetani.
Nyumba zao ziko vilevile...
Lengo kubwa la kuoa/kuolewa ni tendo la ndoa (pigia mstari- tendo la ndoa) mengine mbwembwe tu. Ndiyo maana kidini ndoa hubatilishwa endapo mwanaume ni hanithi ama mwanamke hana tundu linalo...
Imetokea si mara moja mbili au hata kumi, imekuwa ni kama uchawi sasa mwanamke yeyote nitakayetembea naye kama ni mpangaji mwenzangu hamalizi miezi mitatu lazima ahame nyumba kwasababu yeyote ile...
Nani keshawahi kuambiwa hivyo na mtu ambaye anataka kutoka naye?
Nimefanya kautafiti kadogo kasiko rasmi na kugundua kwamba, hususan kwa wadada, kama kuna mkaka kawatokea na kama wao hawamfeel...
Hizi siku tatu hasa kuanzia siku ya Ijumaa nilikuwa mapumzikoni kidogo, baada ya kuchoshwa na kazi ngumu ya kujenga hili Taifa la Tanzania. Sasa nimekuwa nafanya mambo ya kupumzisha akili ikiwemo...
Haya kama kawaida, wale tusiokuwa na viburudisho tushinde hapa.
Kama wewe ni mwanaume una swali lolote kuhusu sisi wanawake uliza
mashost zangu wamewasili tena kutoa majibu.
Ila angalizo...
"Nataka Ramadhan ijayo wewe ndo uwe wa kunipikia futari. tena zuuuri, unaonekana unajua sana"
nikatamani nimuulize jina lake la JF nimtag thread yangu ya I''m too lazy to be a housewife.
hivi...
Mhhhm kama bado mna still struggling to find a husband at an old age...because you're looking for a perfect man, Mhhm I think something is certainly wrong with you...Hivi bado hamjasikia ule msemo...
Mimi sina ma EX katika maisha yangu lakini kuna mwanamke niliwahi kumpenda na sijawahi kumuambia nampenda, sasa nime move katika another section na na yeye ndo kawa kama team leader wetu, sa mara...
Ninaishi Shinyanga mjini. Naangalia na kutafuta fursa ya kumpata rafiki wa kike katika viunga vya mjini hapa. Urafiki huu utalenga kufikia ushirikiano wa kirafiki kulingana na mahitaji ya pande...
Asalam Alaykum,
All praise is to Allah, the most beneficent, the most compassionate, the Sustainer and Cherisher of the Worlds, the Supreme.May His blessings be on Prophet Muhammad (SAW), his...
Habari wanajamvi,baada ya kutemana na kale kabinti kanakonuka mdomo,na kutemana na mama watoto wangu kwa sababu watu walimfumua sehemu zisizohusika(0713..).nikaona nitafute mtoto mwingine,nikapata...
Hii ni miguu ya yule mama ambaye amekuzaa na kukulea handsome wewe unayeng'aa na kuzungusha round ya laki na ishirini huku mkononi unazungusha kiufunguo chako cha alteza uliyokopa baada ya...