Hakuna haja ya kuoa/kuolewa zama hizi

Kigodoro

JF-Expert Member
Apr 25, 2014
1,660
1,679
Lengo kubwa la kuoa/kuolewa ni tendo la ndoa (pigia mstari- tendo la ndoa) mengine mbwembwe tu. Ndiyo maana kidini ndoa hubatilishwa endapo mwanaume ni hanithi ama mwanamke hana tundu linalo ruhusu ngono kufanyika (congenital abnormality).

Sasa katika zama hizi tendo la ndoa liko nje nje unaoa/kuolewa ili iweje? Huwezi ukakomaa na mwenza wako wakati maumbile yenu yanazidi kupoteza mvuto kutokana na kuzoeana, umri kusonga na kuzaa. Halafu atokee kigori ama serengeti boys amekuzimia na kuonyesha utashi ama mwenyewe ukafanya kama kumtega akaingia laini halafu uchomoe kisa una ndoa. Haiwezekani...!! Narudia HAIWEZEKANI...!!

Tusiwaone wazungu ni wazembe kuruhusu ndoa za mikataba. Walishayaona haya. Nasi tutafika tu, maana ni kawaida yetu kubisha kwanza kabla ya kukubali vinavyopendekezwa na wazungu.

1. Tulibishia dini zao
2. Tulibishia elimu yao
3. Tulibishia mifumo ya vyama vingi

Sasa hivi tunabishia
1. Ndoa za mikataba
2. Ushoga
3. Utoaji mimba

Tutakubali tu......!!
Kila siku vilio vya usaliti kila kona. Ndoa hazina maana tena maana tendo la ndoa a.k.a mgegedo uko nje nje. Kwann ugandane na mmoja?? Halafu mbaya zaidi ukute unaye gandana naye anakosa sifa mojawapo ya mchepuko;-
1. Usafi
2. Utundu kwenye 6*6
3. Shepu na sura
4. Umri mdogo kuliko mwenza wako
5. Nyama ya ulimi (maneno matamu)
..n.k
Utakimbia tu kwenda kwa mchepuko na kumtupa kule mwenza wako.
Unagandana na mtu maisha yote mpk appetite inakatika!!!? Ya nn kujitesa?? Ikilazimu tuoane kwa mikataba bhana... Ili kila mtu akikutana na kipya kinyemi anasepa na kula ile kitu roho inataka. Kimsingi ndoa hazina tens ulazima zama hizi.
NAWASILISHA.
 
Am Man has a Point....
Nilikuwa nasoma kitabu kimoja two days ago..
b2c6271b34ef0e43fae041e95003f494.jpg


Nahisi muanzisha thread na ww umesoma hichi kitabu sio bure....

Sikubaliani na ww kwa Asilimia 100 lakini kuna sehemu umeongea point...
 
Lengo kubwa la kuoa/kuolewa ni tendo la ndoa (pigia mstari- tendo la ndoa) mengine mbwembwe tu. Ndiyo maana kidini ndoa hubatilishwa endapo mwanaume ni hanithi ama mwanamke hana tundu linalo ruhusu ngono kufanyika (congenital abnormality).

Sasa katika zama hizi tendo la ndoa liko nje nje unaoa/kuolewa ili iweje? Huwezi ukakomaa na mwenza wako wakati maumbile yenu yanazidi kupoteza mvuto kutokana na kuzoeana, umri kusonga na kuzaa. Halafu atokee kigori ama serengeti boys amekuzimia na kuonyesha utashi ama mwenyewe ukafanya kama kumtega akaingia laini halafu uchomoe kisa una ndoa. Haiwezekani...!! Narudia HAIWEZEKANI...!!

Tusiwaone wazungu ni wazembe kuruhusu ndoa za mikataba. Walishayaona haya. Nasi tutafika tu, maana ni kawaida yetu kubisha kwanza kabla ya kukubali vinavyopendekezwa na wazungu.

1. Tulibishia dini zao
2. Tulibishia elimu yao
3. Tulibishia mifumo ya vyama vingi

Sasa hivi tunabishia
1. Ndoa za mikataba
2. Ushoga
3. Utoaji mimba

Tutakubali tu......!!
Kila siku vilio vya usaliti kila kona. Ndoa hazina maana tena maana tendo la ndoa a.k.a mgegedo uko nje nje. Kwann ugandane na mmoja?? Halafu mbaya zaidi ukute unaye gandana naye anakosa sifa mojawapo ya mchepuko;-
1. Usafi
2. Utundu kwenye 6*6
3. Shepu na sura
4. Umri mdogo kuliko mwenza wako
5. Nyama ya ulimi (maneno matamu)
..n.k
Utakimbia tu kwenda kwa mchepuko na kumtupa kule mwenza wako.
Unagandana na mtu maisha yote mpk appetite inakatika!!!? Ya nn kujitesa?? Ikilazimu tuoane kwa mikataba bhana... Ili kila mtu akikutana na kipya kinyemi anasepa na kula ile kitu roho inataka. Kimsingi ndoa hazina tens ulazima zama hizi.
NAWASILISHA.

Naunga mkono hoja
 
Kwenye ndoa umepatia kabisa, mikataba itahusika muda si mrefu....

Ila kwenye ushoga, think twice... sio jambo la kuliweka kitaifa!!!
 
Naunga mkono hoja mimi nataka hata watoto wangu niwapate kwa mkataba kama Cristiano Ronaldo na Michael Jackson...... maana sioni sababu ya kuoa kabisa yaani...... maana wanawake wenyewe doooooh........ ni malori kama mtu mmoja alivyosemaga humu yaani o level alikua na mtu advance mwingine chuo ndo kila semester na mtu wake sasa mpaka mda wa ndoa yupo hoi sasa unamuoa wa nini
 
Am Man has a Point....
Nilikuwa nasoma kitabu kimoja two days ago..
b2c6271b34ef0e43fae041e95003f494.jpg


Nahisi muanzisha thread na ww umesoma hichi kitabu sio bure....

Sikubaliani na ww kwa Asilimia 100 lakini kuna sehemu umeongea point...
Mkuu hichi kitabu nakisoma
Am Man has a Point....
Nilikuwa nasoma kitabu kimoja two days ago..
b2c6271b34ef0e43fae041e95003f494.jpg


Nahisi muanzisha thread na ww umesoma hichi kitabu sio bure....

Sikubaliani na ww kwa Asilimia 100 lakini kuna sehemu umeongea point...
Mkuu hichi kitabu nakisoma
1462901046217.jpg

Naipenda chapter 5 imenipa knowledge kubwa sana
1462901287229.jpg
 
Bado damu yako mbichi sana mtoa mada. Basi endelea tu kubadilisha vimada. Kugegeda . Kufunga ndoa za mikataba.
Umri ukienda kidogo utakaa chini ujitafakari upya wapi unakwena na umepata faida gani kwa uliyofanya
 
Am Man has a Point....
Nilikuwa nasoma kitabu kimoja two days ago..
b2c6271b34ef0e43fae041e95003f494.jpg


Nahisi muanzisha thread na ww umesoma hichi kitabu sio bure....

Sikubaliani na ww kwa Asilimia 100 lakini kuna sehemu umeongea point...
Mmh! Umehitimisha kwa kusema nimeongea point halafu huniungi mkono 100%..!!!!????
 
kuoa/kuolewa ni MUHIMU ili binadamu akupe mapenzi ya dhati na akuamini,kukuthamini anahitaji kujisikia wa pekew kwako yaan wewe na yeye milele otherwise hata hyo ya mkataba hutaifurahia.

Halafu kama mtaiahi pamoja kimitego hivyo ina maana hamfanyi maendeleo ,hamuwekezi pamoja kila mtu kivyake maana mtaachana mda wowote! is that a family nor comedy?? kuwa na mwenzako mnashare vitu mbalimbali vina raha yake bahna
 
Back
Top Bottom