Wanaume amkeni acheni kulalama

miss chagga

JF-Expert Member
Jun 7, 2013
57,821
48,987
Habari wanaJamiiforums,

Kichwa cha habari cha jieleza.

Leo nataka kuwakumbusha ninyi wanaume wa dot.com na wazamani msiojitambua bado na kulalama lalama tu, unakuta mwanaume amekaa kabisa unapigia bajeti mfuko wa mpenzio au mkeo wewe huna akili? wanawake tunamajukumu yetu kubeba mimba na kulea familia.

We take a lot of risk during this time sema hamuelewi tu, alafu mwanaume unalalamika.

Kama ni kusaidiana mbebe mimba na ninyi, na mlee familia siye tukasake chapa.

Wanawake tumetoka kwenda kuanza kufanya kazi kwa sababu ya mambo matatu:

  • Wanaume kutokujielewa na kusahahu majukumu yao.
  • Upendo
  • Hali ya uchumi.
Kwa hiyo kutokana na hayo mambo matatu ndipo vibinti na wamama tukaamua kutafuta riziki tusije kufa na wenetu mgongoni, ila kubwa lilipelekea kuanza kutoka ni hilo la kwanza wanaume kutojitambua.

Mwanaume unashinda bar unalewa unajiloweka kwenye papuchi tu jumatatu mpaka jumatatu alafu unakaa unasema mwanamke asiyefanya kazi ni mzigo huna adabu wala heshina na HAUSTAHILI KUITWA MWANAUME kabisa.

Mwanaume mwingine lege lege tu ndiyo maana now days mnaliwa tigo tu na wanaojitambua acheni kulalama fanyeni kazi.

Huwa napata hasira sana kuona jianaume linalalamika kumuhudumia mkewe, ulitongoza ya nini?

Mwanaume anayejielewa he can stand by himself, lakini si unakikazi cha laki 3 kinyumba cha room tatu na bahati kigari ume relax unashinda bar halafu hapo hapo unategemea hela ya mwanamke.

Sikatai wanawake kufanya kazi, ila pia napinga upuuzi wa wanaume kukaa na kulalama kabisa wanapohudumia wake zao au wapenzi wao unatongoza ya nini kama wewe mwenyewe kujihudumia huwezi?

Unaongeza mtu mwingine tena kwa kumwomba na kumpigia misele halafu uje ulalame hapa babu ee ukitongoza jiandae kwa majukumu mengine.

Ninaaga wazazi ndugu nakuja kwako wakati mwingine natoroka alafu nakuja ili utumie pesa yangu mfyuuuu koma kabisa mwanaume amka mwanaume si kujua kitundu cha papuchi bali mwanaume ni MAJUKUMU.

Weekend njema ujumbe wa leo "TONGOZA UKIJUA KUNAKUHUDUMIA"
 
hahhahaha duh hivi vita sijui mwisho wake nini? maana kila siku ni thread za makombora toka kila upande, naona leo akina mama/dada nao wameamua kujibu mashambulizi! Yangu macho tu
 
Bhita ni bhita mura.
Mi mwenyewe sipendi hawa wenzangu kuwa wazembe hadi kusaidiwa na wake zao
 
anahudumiwa mke na ili mke astahili kuhidumiwa basi lazima awe na plasta. short of that u r useless and deserve.to b treated like sh.it
 
daahh, mi mwanaume,
licha ya kua umetumia lugha kali yenye maneno makali, ila ni ukweli,
ck ya pili tumia lugha laini tutafahamu upesi
otherwise chukua like

mkuu lazima niwe mkali tunakoelekea ni kuwa wanawake wote humu duniani
 
habari wanajf..
kichwa cha habari cha jieleza .... leo nataka kuwakumbusha ninyi wanaume wa dot.com na wazamani msiojitambua bado na kulalama lalama tu... unakuta mwanaume amakeaa kabisa unapigia bajeti mfuko wa mpenzio au mkeo wewe huna akili... wanawake tunamajukumu yetu kubeba mimba na kulea familia ....we take a lot of risk during this time sema amuelewi tu......alafu mwanaume unalalamika. kama ni kusaidiana mbebe mimba na ninyi, na mlee familia siye tukasake chapa.........wanawake tumetoka kwenda kuanza kufanya kazi kwa sababu ya mambo matatu:

  • wanaume kutokujielewa na kusahahu majukumu yao.
  • upendo
  • hali ya uchumi.
kwa hiyo kutokana na hayo mambo matatu ndipo vibinti na wamama tukaamua kutafuta riziki tusije kufa na wenetu mgongoni.....ila kubwa lilipelekea kuanza kutoka ni hilo la kwanza wanaume kutojitambua...... mwanaume unashinda bar unalewa unajiloweka kwenye papuchi tu jumatatu mpaka jumatatu alafu unakaa unasema mwanamke asiyefanya kazi ni mzigo huna adabu wala heshina na HAUSTAHILI KUITWA MWANAUME kabisa.....

mwanume mwingine lege lege tu ndiyo maana now days mnaliwa tigo tu na wanaojitambua.... acheni kulalama fanyeni kazi.. huwa napata hasira sana kuona jianaume linalalamika kumuhudumia mkewe, ulitongoza ya nini?

mwanaume anayejielewa he can stand by him self..... lakini si unakikazi cha laki 3 kinyumba cha room tatu na bahati kigari umerelax unashinda bar alafu hapo hapo unategemea hela ya mwanamke.....

sikatai wanawake kufanya kazi, ila pia napinga upuuzi wa wanaume kukaa na kulalama kabisa wanapohudumia wake zao au wapenzi wao.... unatongoza ya nini kama wewe mwenyewe kujihudumia huwezi?????? unaongeza mtu mwingine tena kwa kumwomba na kumpigia misele alafu uje ulalame hapa.....babu ee ukitongoza jiandae kwa majukumu mengine........

ninaaga wazazi ndugu nakuja kwako wakati mwingine natoroka alafu nakuja ili utumie pesa yangu mfyuuuu koma kabisa mwanaume amka ... mwanaume si kujua kitundu cha papuchi bali mwanaume ni MAJUKUMU....

Weekend njema >........ ujumbe wa leo "TONGOZA UKIJUA KUNAKUHUDUMIA"

Yamekukuta nini?
 
miss chagga basi sasa tumesikia.....ahsante kwa kutuchapa bakora za makalio. Hiii ndio AIIIIII....toka kwangu. (imenipata)
 
Last edited by a moderator:
atakaye like huu uzi nitamshangaa sana!!! yaani huyu miss chagga haelewi kabisa:
1.papuchi siyo dili siku hizi zinapugua ladha siku hadi siku!
2.unapotoroka kwenu kuja kwangu wewe ndo ----- siyo mimi...
3.kuzaa kwa uchungu siku hizi hatutaki watoto wanakuwa mapanya road tu!
4.nakushangaa kipindi sijakutongoza ulikuwa unaishi vizuri kwenu na unahudumiwa kila kitu nilivyokutongoza mimi basi shida zote unanishushia mimi kisa nakutia tu!!! acheni hizo mtu anapokuhudumia shukuru ilibidi akuhudumie akikuoa!!!
5.kwa mlioolewa poleni sana yaani ukweli huwa tunakinai na papuchi aina moja ndo maana mtu anashinda bar coz haoni tena ladha imetanuka sana mpaka uingize gegedo na mkono mmoja sasa ya nini yote hayo!!!
 
haijalishi u need to stand as a man....

it matters...sifa namba moja ya kuitwa mke ni kwamba yule anaye kuoa akukte wewe bado bikra. sasa wewe tayari used product tayari umeshuka thamani, huwezi ata siku moja kusema kuwa mwanamke anayeolewa akiwa bikra ni sema value kama ambaye tayari kashagegedwa. kuwa bikra kuonyesha huyo mtu anajithamini sana na kwamba na mvumilivu.

ni kweli mwanaume lazima ahudumie but in return anategemea kupata that gift ya virginity. its a give and take. sasa wewe the very gift ambayo alikuwa anaitegemea umegawa then obviously thamani yako imeshuka. lazima tujifunze kuishi na madhara ya uchaguzi wetu.
 
atakaye like huu uzi nitamshangaa sana!!! yaani huyu miss chagga haelewi kabisa:
1.papuchi siyo dili siku hizi zinapugua ladha siku hadi siku!
2.unapotoroka kwenu kuja kwangu wewe ndo ----- siyo mimi...
3.kuzaa kwa uchungu siku hizi hatutaki watoto wanakuwa mapanya road tu!
4.nakushangaa kipindi sijakutongoza ulikuwa unaishi vizuri kwenu na unahudumiwa kila kitu nilivyokutongoza mimi basi shida zote unanishushia mimi kisa nakutia tu!!! acheni hizo mtu anapokuhudumia shukuru ilibidi akuhudumie akikuoa!!!
5.kwa mlioolewa poleni sana yaani ukweli huwa tunakinai na papuchi aina moja ndo maana mtu anashinda bar coz haoni tena ladha imetanuka sana mpaka uingize gegedo na mkono mmoja sasa ya nini yote hayo!!!

we ndiyo kati ya wale msiojitambua
 
Wamekusikia, usipomuhudumia mke wako unataka ahudumiwe na nani, hii kweli ni kutojitambua, for me my woman comes first aisee mpaka hapo atakapoamua kinisaliti ndio haka kautaratibu katasitishwa(God forbid)..
 
Kuhudumia mke ni jukumu la mume, awe ana uwezo mkubwa au mdogo. Hata vitabu vya Mungu vinasema hivyo. Mke azae kwa uchungu na mume ale kwa jasho. Lakini miss chagga, je mwanaume kuhudumia mtu asiye na future nae ni kosa la nani?

We always pay for our mistakes, na nyie wadada jaribuni kuwaasa vidume wenu wawekeze badala ya kuwahonga, unategemea kijana aliyemaliza chuo, anaanza na mshahara wa 300K na ndio kipato pekee cha mwezi, aje kukuhudumia vizuri baadae kama wewe ndio wa kwanza kuchukua 60% ya kipato chake leo? Msilalamike kuwa vijana hawawahudumii, wahimizeni wawekeze ili waweze kuzihudumia familia zao baadae.

Mtu ambae sio mke wangu, sina jukumu lolote nae, yuko chini ya wazazi/walezi wake. Pesa yangu ni kwa ajili ya kujiendeleza, kuwekeza ili kuitunza familia yangu baadae...!
 
Last edited by a moderator:
it matters...sifa namba moja ya kuitwa mke ni kwamba yule anaye kuoa akukte wewe bado bikra. sasa wewe tayari used product tayari umeshuka thamani, huwezi ata siku moja kusema kuwa mwanamke anayeolewa akiwa bikra ni sema value kama ambaye tayari kashagegedwa. kuwa bikra kuonyesha huyo mtu anajithamini sana na kwamba na mvumilivu.

ni kweli mwanaume lazima ahudumie but in return anategemea kupata that gift ya virginity. its a give and take. sasa wewe the very gift ambayo alikuwa anaitegemea umegawa then obviously thamani yako imeshuka. lazima tujifunze kuishi na madhara ya uchaguzi wetu.

bikra ni sawa kujithamini na uvimilivu.... lakin bado haibadilishi majukumu ya mwanaume....
 
Kuhudumia mke ni jukumu la mume, awe ana uwezo mkubwa au mdogo. Hata vitabu vya Mungu vinasema hivyo. Mke azae kwa uchungu na mume ale kwa jasho. Lakini miss chagga, je mwanaume kuhudumia mtu asiye na future nae ni kosa la nani?

We always pay for our mistakes, na nyie wadada jaribuni kuwaasa vidume wenu wawekeze badala ya kuwahonga, unategemea kijana aliyemaliza chuo, anaanza na mshahara wa 300K na ndio kipato pekee cha mwezi, aje kukuhudumia vizuri baadae kama wewe ndio wa kwanza kuchukua 60% ya kipato chake leo? Msilalamike kuwa vijana hawawahudumii, wahimizeni wawekeze ili waweze kuzihudumia familia zao baadae.

Mtu ambae sio mke wangu, sina jukumu lolote nae, yuko chini ya wazazi/walezi wake. Pesa yangu ni kwa ajili ya kujiendeleza, kuwekeza ili kuitunza familia yangu baadae...!
kwa nini uwe na mtu usiyekuwa na future naye? kama mtahudumiana mahitaji ya mwili mnasema kupunguza uzito ... basi muhudumie na yeye atakayoyahitaji....hapa siongelei wanawake wachunaji naongelea mwanaume kuwa responsible... mwanaume kuchunwa ni kutokana na we kushindwa kufanya majukumu yako kwa hiyari
 
Back
Top Bottom