Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Maan utakuta mwanaume kagomba n mke wake kitu hakun hata mantiki halafu anavimba Kameza chura sababu wala haina kichwa Wal miguu kama haitoshi baasi status za whatasp zinabasilishwa Ka nguo huyo n...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Katika kundi la wanawake ninaopenda kuanzisha nao mahusiano au ninaopenda kua nao ni wenye mikia na wasio wanene, wanawake wanene niliwa exclude kwenye preference zangu na wasio na mikia. Lakini...
9 Reactions
94 Replies
24K Views
Habari wana bodi, Mimi ni miongoni mwa watu waliokuwa waumini wa kufunga ndoa duniani.Nilikua nikimuona mtu anaoa nilikua namsikitikia sana na kumuona kapotea maboya.Lakini baada ya kuishi maisha...
17 Reactions
52 Replies
6K Views
Hi my name is Princess aged 31 looking for a serious male friend, am a single mother and i am in need of single dad so that we can make a good relationship.
3 Reactions
54 Replies
6K Views
Wakati namtongoza nilivutiwa na sura yake nzuri lakini kwa kweli kuna jambo moja naliona kama haliko perfect kabisa.Ni binti wa miaka 24, tatizo lake ana matiti madogo yaani sijui ni ugonjwa au ni...
7 Reactions
245 Replies
22K Views
House girl alitandika kitanda cha bosi wake kama sehemu ya jukumu lake la kila siku. Alipomaliza akakitazama sana kile kitanda cha bosi wake akasema naweza kufa bure bila ya kulalia kitanda kama...
2 Reactions
20 Replies
4K Views
Jamani wana JF,naombeni msaada wenu. Kuna shemeji yangu ana mtoto wa miezi 10, sasa mke wake kapata kibarua sehemu flani,kaniomba nishinde na mtoto wake siku mbili mi nikakubali,na mimi na mtoto...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Yaani siku hizi imekua fashion kudanganyana hasa katika mapenzi. Yaani wanawake wamefikia hatua wanafake mpaka maisha mradi tu kuficha ukweli. Unakuta mwengine kinywaji chake Castle Lite lakini...
7 Reactions
58 Replies
7K Views
Wanawake wenye kati ya umri wa miaka 23 mpaka 33 wanaongoza kuwa na wanaume wengi kuliko wenye umri chini ya huo au zaidi ya huo. Sababu kubwa ni kwamba wakiwa katika umri huo wanakuwa...
2 Reactions
49 Replies
8K Views
Huyu Mwanamke kanshangza sana, tumekuwa tukiwasiliana kwa muda wa wiki moja hivi, pasaka nikamualika kwangu Aim yangu apajue, cha ajabu alivyokuja, nimwonyesha dalili zote kuwa mie sina haraka...
1 Reactions
141 Replies
15K Views
Hili jambo limeniuma sana tena sana, wanawake wengi wanaonewa na waume zao bila kusema popote wakijua ndio kuvumilia kumbe hawajui wanajiua pasipo kujua inaniuma sana. Nimeongea nawanawake zaidi...
9 Reactions
71 Replies
9K Views
Langumimi ni hili:Wadada please & please! Mkipendwa mpendeke, Money is not a love, Thamini Uwepo wa mwenzako, Yaani hadi stress nani utamuoa...everygirl is an moneyfirst,moneyloving. Where is...
5 Reactions
67 Replies
6K Views
Jamani uswahilini kuna vituko lakini raha. Kuna njemba imeshusha kipigo cha haja kwa mke akiwa bado hata shedo na lipstick za harusi hazija kauka. Ilikuwaje? Jamaa anasimulia kuwa wakiwa wachumba...
6 Reactions
117 Replies
14K Views
Kwa asilimia 99 wanaume wanaonitokea wengi wao ni choka mbaya halafu ndo wenye mapenzi ya kweli sijui kwanini. Ila nikimpata mwenye nazo ni mbahili, hatari ela yake kupata utaambulia elfu 30 au...
4 Reactions
126 Replies
13K Views
Hili suala linanitatiza kwakweli inafikia kipindi mpaka mtu unaogopa kununua viepe, kuhusu kuku inajulikana wengi ni matahira tena vibudu, hili la viazi limekaaje, ubovu wake hutokea kwenye viazi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Amani iwe nanyi ndg zangu. Leo nimeona nizungumzie kidogo hawa wakubwa zetu makazini kwani asilimia kubwa walioajiriwa wanakumbana na changamoto nyingi na wengine wanaenda kukabiliana nao kesho...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Baada ya kumaliza sherehe ya ndoa yao, mama wa bibi harusi alimpa binti yake notebook yenye namba mpya ya Akaunti ya benki ikiwa na kiasi cha shilingi laki tatu. Mama alimwambia hivi, "binti...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Habarini wanajf, Naomba maoni yenu tafadhali, kukaa kwanza kwa muda kwenye ndoa ndo muamue kutafuta mtoto ama kuwahi kuzaa; ipi sahihi zaidi!? Binafsi sijaoa na sitarajii kupata mtoto mapema...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Mimi ni mwanaume 31,naishi Dar. Nahitaji binti yeyote mwenye hofu ya Mungu aliye tayari kuanza maisha ya ndoa. Mimi ni Mweusi,mrefu,mwembamba wa wastan na mtanashati.nina elimu ya chuo na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Naomba kuuliza kuna zawadi nzuri zaidi ya pesa?kama ipo hebu kujeni humu mniambie maana nimeshangazwa sana.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom